Dah manzunza na family yake wanatia huruma sana.
Sasa wanafukuzwa kwenye nyumba yao wenyewe ili li pastor nkosi likae, halafu hili lipasta kwanini linawachukia sana mdletshe's? Mimi nahisi limebadili hati ya nyumba ionekane pastor mdletshe aliandika kwa ajili ya kanisa,, 😥😥
Mama huyu ataenda wapi jamani? Na lile li ma mlahmbo nalo linafki sana ndio lina organize yote haya na li pasta lao, pasta lenyewe lipo kama jambazi, midevu ile.
Mk kashachokoza huko, katengeneza bifu na kaua mlinzi mmoja, huyu jamaa bwana na ka smangele akaona amfate sponsa wake huko huko ofisini.. 😁😁😁mwanakwaya malaya huyuuu
Jagiya