Uzalo Special Thread

Uzalo Special Thread

Huyu pastor ni mpumbavu sana anataka kuwafyeka mdletshe wote kanisani.
Na huyu MK ameanza kuonesha rangi yake halisi..
Halafu xulu hajafa nyieee..
Dhlomo naona hajashawishika na bado anapambana kumtoa pastor na Xulu hajafa maana yeye ndiye pekee anayejua ukweli wote.
 
Huyu pastor ni mpumbavu sana anataka kuwafyeka mdletshe wote kanisani.
Na huyu MK ameanza kuonesha rangi yake halisi..
Halafu xulu hajafa nyieee..
weh itakua shwar sana kama ni mzm
 
Naona yule pastor hajui kuwa ile kwaya imefika pale ilipo kwasababu ya Ayanda na nombuso na mda si mrefu Kuna uwezekano mkubwa Nombuso akaisaliti familia ya mchungaji sababu ya mxolisi.
nombu anajisahau sana nae maana anasahau fadhila za familia ya pastor
 
Dhlomo naona hajashawishika na bado anapambana kumtoa pastor na Xulu hajafa maana yeye ndiye pekee anayejua ukweli wote.
Acha pavuje tujue wapi pabovu.
xulu sijui atajitokeza hadharani?
Matron zwane nae ana siri nyingi mno kaona aache kazi.
 
Dhlomo naona hajashawishika na bado anapambana kumtoa pastor na Xulu hajafa maana yeye ndiye pekee anayejua ukweli wote.
Lakini mabuza pekee anajua xulu alipo.
MK mshamba wa mademu sana yaani na limbukeni wa pesa, kawatolea bastola wateja Royal wa Kaka yake. Tena walitoa na pesa nyingine kama nyongeza,
Halafu zawadi na mapesa anafaidi sma.
Kwa kweli bora nibaki na nosipho wangu.
Smangele kawa gold digger 😁😁😁
 
Lakini mabuza pekee anajua xulu alipo.
MK mshamba wa mademu sana yaani na limbukeni wa pesa, kawatolea bastola wateja Royal wa Kaka yake. Tena walitoa na pesa nyingine kama nyongeza,
Halafu zawadi na mapesa anafaidi sma.
Kwa kweli bora nibaki na nosipho wangu.
Smangele kawa gold digger 😁😁😁
😂😂kwani hukujua mkono mtupu haulambwi😜
 
Dah manzunza na family yake wanatia huruma sana.
Sasa wanafukuzwa kwenye nyumba yao wenyewe ili li pastor nkosi likae, halafu hili lipasta kwanini linawachukia sana mdletshe's? Mimi nahisi limebadili hati ya nyumba ionekane pastor mdletshe aliandika kwa ajili ya kanisa,, 😥😥
Mama huyu ataenda wapi jamani? Na lile li ma mlahmbo nalo linafki sana ndio lina organize yote haya na li pasta lao, pasta lenyewe lipo kama jambazi, midevu ile.

Mk kashachokoza huko, katengeneza bifu na kaua mlinzi mmoja, huyu jamaa bwana na ka smangele akaona amfate sponsa wake huko huko ofisini.. 😁😁😁mwanakwaya malaya huyuuu
Jagiya
 
Dah manzunza na family yake wanatia huruma sana.
Sasa wanafukuzwa kwenye nyumba yao wenyewe ili li pastor nkosi likae, halafu hili lipasta kwanini linawachukia sana mdletshe's? Mimi nahisi limebadili hati ya nyumba ionekane pastor mdletshe aliandika kwa ajili ya kanisa,, 😥😥
Mama huyu ataenda wapi jamani? Na lile li ma mlahmbo nalo linafki sana ndio lina organize yote haya na li pasta lao, pasta lenyewe lipo kama jambazi, midevu ile.

Mk kashachokoza huko, katengeneza bifu na kaua mlinzi mmoja, huyu jamaa bwana na ka smangele akaona amfate sponsa wake huko huko ofisini.. 😁😁😁mwanakwaya malaya huyuuu
Jagiya
hili lipastor fake time yake itafika tu..na itakua aibu sana kwake na uyo mamlambo.
maskini manzuza namuonea huruma mnoo inamwia vigumu kuvaa viatu vya mumewe dah!
😅mkuu tuliza jazba acha sma ale maisha don't be that jealousy 😜
 
hili lipastor fake time yake itafika tu..na itakua aibu sana kwake na uyo mamlambo.
maskini manzuza namuonea huruma mnoo inamwia vigumu kuvaa viatu vya mumewe dah!
😅mkuu tuliza jazba acha sma ale maisha don't be that jealousy 😜
Huyu mk hawezi kuniibia kizembe hivi mtu mwenyewe anagombea mirathi ya Kaka yake.. 😁😁
 
sawa ila twende mbele turudi, wanasemaaa mwenye kisu kikali ndie...😅
Hizo nyama siku hizi tunakata na machine 😁
Mxo na nombu wana mapenzi ya kishamba sana yaani..
Nina imani mimi na nosipho tutatrend.. 😇😇

Pia wewe na mabuza mbona mnapendeza 😁😁😁
 
Hizo nyama siku hizi tunakata na machine 😁
Mxo na nombu wana mapenzi ya kishamba sana yaani..
Nina imani mimi na nosipho tutatrend.. 😇😇

Pia wewe na mabuza mbona mnapendeza 😁😁😁
😂😂😂 ety mtatrend mh iyo couple bado sanaa...
😅mabuza bado sana kuweza miliki hii pisi kali kwakweli.. hana cv
 
😂😂😂 ety mtatrend mh iyo couple bado sanaa...
😅mabuza bado sana kuweza miliki hii pisi kali kwakweli.. hana cv
Kumbe nani mwenye cv? Dhlomo au yule pastor nkosi?😁😁😁

Funguka tuuu naomba uchukue mk sma arudi kwangu jamani ataniua.. 🤕🤕
 
Kumbe nani mwenye cv? Dhlomo au yule pastor nkosi?😁😁😁

Funguka tuuu naomba uchukue mk sma arudi kwangu jamani ataniua.. 🤕🤕
hata mmoja amna mwenye cv konk apo...
😅😅😅mkuu kumbe unajifariji kwa nosi wakati umekufa na kuoza kwa sma.. oh jaman 😔pole pole sanaa subiri kidogo wataachana tu
 
Huyu pastor ni mpumbavu sana anataka kuwafyeka mdletshe wote kanisani.
Na huyu MK ameanza kuonesha rangi yake halisi..
Halafu xulu hajafa nyieee..
Jana au juzi alionyeshwa akiwa mgonjwa kwenye nyumba fulani. Mimi naamini yule askari mla rushwa anahusika kwa kiwango kikubwa. Alikwenda kudai mpango kwa Mangcobo.
 
hata mmoja amna mwenye cv konk apo...
😅😅😅mkuu kumbe unajifariji kwa nosi wakati umekufa na kuoza kwa sma.. oh jaman 😔pole pole sanaa subiri kidogo wataachana tu
Tatizo la sma ana tamaa sana huyu mwanamke,
Nosi ametuliaaa ila wote vishundu wanavyo, ila sma ana rangi ya mtume hivi.
Nombuso ni mke msikivu hata akinifumania atasema "Pole babe kwa kufumaniwa"..

Jikoshe tu ewe pisi kali siku utakaponasa kwa dhlomo ndio utaona haya hayana mwenyewe, 😁😁😁
Ukimzingua anakuweka selo
 
Jana au juzi alionyeshwa akiwa mgonjwa kwenye nyumba fulani. Mimi naamini yule askari mla rushwa anahusika kwa kiwango kikubwa. Alikwenda kudai mpango kwa Mangcobo.
Kwamba mabuza ndio amem shoot xulu bosi wake? Maybe mkuu.
Ninachoona mabuza anahangaika xulu apone ili aanze kupata cha mkononi kama kawa.
Yule mwanamke ndio anamtibia xulu nadhani.
Ila li mabuza linapenda rushwa.
 
Kwamba mabuza ndio amem shoot xulu bosi wake? Maybe mkuu.
Ninachoona mabuza anahangaika xulu apone ili aanze kupata cha mkononi kama kawa.
Yule mwanamke ndio anamtibia xulu nadhani.
Ila li mabuza linapenda rushwa.
Siyo Mabuza aliyeua lakini mchongo mzima anaufahamu. Na yule mama Sangoma wa Xulu naye pia anahusika.

Ila yule mama sangoma ni ndumilakuwili na hawapendi familia ya pastor.
 
Back
Top Bottom