Jagiya
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,206
- 1,828
hahahah pole aseh nilikua nataka nikuwahi mapema nikupe pole maana umewakosa wotee sio nosi sio smaa hahahah pole sanaNaona kabisa mywangu nosi anaenda kutafunwa na mastermind..!
Anajilengesha sana. Malaya huyu.
Na sma kachukuliwa na Mk sijui nakwama wapi jamani..
Itabidi niende kwa Jagiya autibu moyo wangu