Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #301
Endelea kuangalia tu mkuu sisi bado tuko hapa na hii.Mimi nacheki Imbewu seeds na The Scandal ziko njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuangalia tu mkuu sisi bado tuko hapa na hii.Mimi nacheki Imbewu seeds na The Scandal ziko njema
inatia huzuni, hasira, huruma, dahDah manzunza na familia yake maskini dah
Hivi Why watu wanakuwa wakatili namna hii kama hili li pasta? Ayanda katolewa kwenye kwaya kwa sasa iko wazi. Sijui kosa lake kubwa ni lipi.
Nkosinathi dawa zimeisha nae mama anahisi mzigo kumuelemea kabisa.
Kanisa walilojenga wenyewe sasa wanakaa kwenye store ya kanisa kwa utapeli huu wa pastor fake huyu mamaeee zake..
Mxo naona mapenzi yanafanya aharibu biashara mbwa huyu dogo.
Hata hivyo nashukuru katemwa sasa it's my time now.. 😁😁
Huyu sma atageuzwa jambazi maana anapoelekea sasa..hasikii wala haoni kwa mk..
Ndio niko hapa nashushia Pepsi ya bariidiiiii. Nimefurahi sana yule janja fala kuachwa pimbi huyu alijifanya Mr lover kiko wapi?inatia huzuni, hasira, huruma, dah
Ila leo naona kabisa wiki imeanza poa sana kwa ndugu yangu
Its Pancho
hahahah uyo mpuuzi lazma aachwe tu kazd na uromantic wake wakishenz afu kichwa box tu apo kwa nosi atarudNdio niko hapa nashushia Pepsi ya bariidiiiii. Nimefurahi sana yule janja fala kuachwa pimbi huyu alijifanya Mr lover kiko wapi?
Zamu ya master kuniachia nosi wangu
😂😂afu yupogo kama anakontroliwa na remontIla yule captain wa kituo cha polisi bosi wa kina dhlomo na mabuza huwa anafurahisha sana anavyoongea, huwa anaonyesha na vitendo.. Kama mbongo. 😁😁
Yupo kama roboti yaani na macho yake kama goroli za wachawi.😂😂afu yupogo kama anakontroliwa na remont
Lakini nahangaikaga kote huko bondeni na wewe upo hapa hapa bongo Why unitese jamani.hahahah uyo mpuuzi lazma aachwe tu kazd na uromantic wake wakishenz afu kichwa box tu apo kwa nosi atarud
usiwaze
😂😂😂🤣🤣jamaniYupo kama roboti yaani na macho yake kama goroli za wachawi.
izo sindo favorites zako sasa"rangi ya mtume"Lakini nahangaikaga kote huko bondeni na wewe upo hapa hapa bongo Why unitese jamani.
Haya bwanaizo sindo favorites zako sasa"rangi ya mtume"
😊 aseh nikimuonaga hasira inanichemka jini kizoba yule..Haya bwana
Umenipiga chenga ya mwili, nasubiri pastor nkosi ateleze tumpe za uso jambazi yule.
Pigo za mk huwa sizielewi naona kila siku nguo zile zile😊 aseh nikimuonaga hasira inanichemka jini kizoba yule..
🤣🤣kwani katenda dhambi kusema hivyo au ni.. 🤔Pigo za mk huwa sizielewi naona kila siku nguo zile zile
Halafu huyu mlokole fake sma akamwambia mk "ai lavyuu" mammae zake huyu 😈😈
Utamwambiaje "ailavyuu" jambakuzi yule akati watakatifu na single tupo?🤣🤣kwani katenda dhambi kusema hivyo au ni.. 🤔
haaaaa Its Pancho kweli 😲Utamwambiaje "ailavyuu" jambakuzi yule akati watakatifu na single tupo?
😁😁😁unamtetea mwenzio siohaaaaa Its Pancho kweli 😲
aku nimemuuliza "mtakatifu aliyeko singo" jeh n kweli..?😁😁😁unamtetea mwenzio sio
Ndio ni Mimiaku nimemuuliza "mtakatifu aliyeko singo" jeh n kweli..?