Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Hivi Nombuso alifanywa kitu gani na mxo mpk anamwambia asiwaambia watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wali sex... Ila itv hawakuoneshaHivi Nombuso alifanywa kitu gani na mxo mpk anamwambia asiwaambia watu?
Nombuso si anajua mkhoto aliua mtu kule ofisini na hivyo anajua ujambazi wa familia ya mxo, ndio mxo hataki Nombuso akaropokeropoke hukoHivi Nombuso alifanywa kitu gani na mxo mpk anamwambia asiwaambia watu?
Oooh kumbeNombuso si anajua mkhoto aliua mtu kule ofisini na hivyo anajua ujambazi wa familia ya mxo, ndio mxo hataki Nombuso akaropokeropoke huko
Tena hiyo ndio sababu ya wao kuachana nombuso kamaindi kuwa mxo nae nae yumo kwenye ujambazi
PolePastor anazidi kujichimbia kaburi soon leo limekaa kifua wazi na boxer tu na nombu ana pajama, malaya huyu [emoji48][emoji48] soon tunamzika.
Ayanda akafumwa akimtongoza nombu na mama yake.
Kuna dada alisemaga hapa kuwa mabuza ndio anahusika kumshoot xulu, sasa nimemuelewa nakazia mabuza ni muhusika.!
Mxo naye kaanza kupata mashaka sana kuhusu mk kuwa ndio muuwaji..
Master kaanza kumkwepa nosipho safi sana mwamba.. Kazi nzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123]
Mabuza anapenda sana hela mshenzi huyuPastor anazidi kujichimbia kaburi soon leo limekaa kifua wazi na boxer tu na nombu ana pajama, malaya huyu [emoji48][emoji48] soon tunamzika.
Ayanda akafumwa akimtongoza nombu na mama yake.
Kuna dada alisemaga hapa kuwa mabuza ndio anahusika kumshoot xulu, sasa nimemuelewa nakazia mabuza ni muhusika.!
Mxo naye kaanza kupata mashaka sana kuhusu mk kuwa ndio muuwaji..
Master kaanza kumkwepa nosipho safi sana mwamba.. Kazi nzuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123]
malaya hawa jana ndio kama wameanza rasmi siwaangalii tena 😈😈Pole
Mapenzi ndio yanaanza
Mabuza kwenye pesa bwana anajua kutumia akili mnoo. Mtu kumbe ana miaka 20 kazini hajapanda rank tu nini kama sio rushwaMabuza anapenda sana hela mshenzi huyu
Daah pastor anabalaaHahahaha nombuso kajionea sasa kwamacho maana alikua anamtetea sana uyo nkosi mfyuuu...
sana yani nimrohoo sanaaDaah pastor anabalaa
hahaha ongeza nne kwaajili yangu 😅nilichosema kimetimia kuhusu huyu kichwamaji nombuso.. li pasta limefanya kweli..
Zweli na MK soon watazichapa..
Halafu MK alienda kufukua bastola ile sijui aliitumia kumshoot nani? Mambo sio mchezo.
Huyu nosi nataka nimpe talaka tatu nina moyo mie 🙌🏾🙌🏾
Yaani kamshikilia zweli hajui ni boyfriend wa mtu?hahaha ongeza nne kwaajili yangu 😅
poleee mwaya...
apo sasa, ujue kuchagua wanasema beauty with brain...Yaani kamshikilia zweli hajui ni boyfriend wa mtu?
Yote mawili na sma hayana akili
uyo pastor basiii.... mzinguaji tu.Leo pastor Nkosi amezingua sana
Pasta gani anatak kubaka
[emoji57][emoji2955]
Pastor muhuni yule..hata hiyo nyumba ya Mdletche ameichukia kuhuni huni tuuyo pastor basiii.... mzinguaji tu.
kabisaa ni fitna za wazi yeye na wauminiPastor muhuni yule..hata hiyo nyumba ya Mdletche ameichukia kuhuni huni tu