Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #741
Mmhh ni ya wazungu hiyoo?😄kwakweli wanakatisha tamaa bora niamie kwenye love to death ya saa nne😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmhh ni ya wazungu hiyoo?😄kwakweli wanakatisha tamaa bora niamie kwenye love to death ya saa nne😒
xulu na yeye anambebisha tu mkewe 😁😁hahaa umeonaee
labda ni kutokana na umaarufu wa hili neno piaLabda nimekosea translation ya hilo neno, maana kwa waislamu inabidi kuoga mwili mzima kuondoa.
wewe naona unataka mabishano na watu tuu.Kuna sehemu nilisema wakionyesha kapimwa dna, walienda kwa Dr Ayanda alitaka mtoto wake afanyiwe partenity test sijui Kama ninepatia majibu na wakaelezwa wasubiri Hadi mtoto azaliwe baada ya hapo wakionyesha Mama ya Ayanda anawauliza kuhusu hospital Kama pia walipewa picha zozote baadae tunaonyeshwa mama Ayanda akimfariji Nombuso baadae Ayanda anaomba msamaha hivi inashindwa kuunganisha matukio kujua Nini kilitokea
bhas skuona maana nilikuta ndio wametoka hospitalKuna sehemu nilisema wakionyesha kapimwa dna, walienda kwa Dr Ayanda alitaka mtoto wake afanyiwe partenity test sijui Kama ninepatia majibu na wakaelezwa wasubiri Hadi mtoto azaliwe baada ya hapo wakionyesha Mama ya Ayanda anawauliza kuhusu hospital Kama pia walipewa picha zozote baadae tunaonyeshwa mama Ayanda akimfariji Nombuso baadae Ayanda anaomba msamaha hivi inashindwa kuunganisha matukio kujua Nini kilitokea
mexican kama sikoseiMmhh ni ya wazungu hiyoo?
😄😅unaona wivuu... 😜xulu na yeye anambebisha tu mkewe 😁😁
Laana bado inatembeaHapo ndio utata mkubwa dada yake Nombuso alitaka kutoa Siri naye alipigwa risasi
Sio zulu aliyemshutkama xulu alimshoot nombuso... je xulu alijuaje kuwa nombuso anajua siri hiyo..?
Hii kitu nakumbuka enzi za isidingo aliambiwa Nikiwe na Frank,baada ya Frank kupata wasiwasi kuwa sio mimba yake bali ya jamaa mwingine aliyekuwa anadate na Nikiwe,lkn wenyewe walifanikiwa mtoto hakufaKuna sehemu nilisema wakionyesha kapimwa dna, walienda kwa Dr Ayanda alitaka mtoto wake afanyiwe partenity test sijui Kama ninepatia majibu na wakaelezwa wasubiri Hadi mtoto azaliwe baada ya hapo wakionyesha Mama ya Ayanda anawauliza kuhusu hospital Kama pia walipewa picha zozote baadae tunaonyeshwa mama Ayanda akimfariji Nombuso baadae Ayanda anaomba msamaha hivi inashindwa kuunganisha matukio kujua Nini kilitokea
sijajua kwakweli maana skubahatika kuangalia jana.. japo hakuna uhakika wa kujulikana kwa aliemshootSio zulu aliyemshut
Wamemuondoa mapema sababu alijiona super staa full mashauzi mbali ya kuact ni mwimbaji alikuwa amepata mikataba akaanza nyodo na dharauKuongezea stori ya Vera ginger ni kwamba Ghabashe nae anataka kujidhihirisha lakini mkewe na yule Mabuza wanamtaharadhisha aendelee kusubiri. Lakini yeye anaona mambo yanakwenda ovyo kwenye business zake na informer wake ni Sbu.
Nosipho amemwambia mamake amesikia kama anaongea na mtu mwanamme chumbani lakini mama akakausha kabisa akajifanya kama yeye eti anaongea kwa sauti nzito, lakini bado Nosipho alikuwa na wasiwasi.
Nombuso ndiyo hivyo tena bai bai (sijui kwa nini wamemuondoa mapema hivyo kwenye series) mashine imenyoosha mstari.
Ndiyo shida ya vijana, hata umaarufu haujakolea yeye tayari amejiona superstaa.Wamemuondoa mapema sababu alijiona super staa full mashauzi mbali ya kuact ni mwimbaji alikuwa amepata mikataba akaanza nyodo na dharau