Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Nimesafiri DarWazo zuri
SiJapata muda kuangalia Uzalo wiki nzima.
Yaani saa Moja na nusu yanikuta kwenye hatihati barabarani 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesafiri DarWazo zuri
Ahsante sanaHeri ya krismass wadau wote wa uzalo...
nana_ Its Pancho Jackal Vera ginger abbycool HARAKATI ZOTE Proved Kimwerymdodo5
tunashukuru sana japo kheri bila pilau ni uongo 😀😀Heri ya krismass wadau wote wa uzalo...
nana_ Its Pancho Jackal Vera ginger abbycool HARAKATI ZOTE Proved Kimwerymdodo5
Asante yafaa nini ikiwa hutaki kutupa bia aseeh 😀😀Ahsante sana
Heri na kwako pia
Heri ya krismass wadau wote wa uzalo...
nana_ Its Pancho Jackal Vera ginger abbycool HARAKATI ZOTE Proved Kimwerymdodo5
shukranAhsante sana
Heri na kwako pia
😆😆kwa pesa jeh.. 😜tunashukuru sana japo kheri bila pilau ni uongo 😀😀
shukranasante, heri na kwako pia [emoji319][emoji3590]
Mangcobo beki hazikabi kuliwa lazimaNimeangalia marudio leo kuna mgeni anaitwa zakes inaonekana alienda jela ndio xulu aka takeover business ,mke
Jamaa alifukia pesa zake chini akaenda kuzifukua saivi ma ngcobo analiwa soon.
Nb wadada nyie vipi na huyu zakes hamchelewi kumnyapia [emoji3][emoji3]
Bia tamuuuAsante yafaa nini ikiwa hutaki kutupa bia aseeh [emoji3][emoji3]
Merry Christmas and happy new year!Heri ya krismass wadau wote wa uzalo...
nana_ Its Pancho Jackal Vera ginger abbycool HARAKATI ZOTE Proved Kimwerymdodo5