Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute mimi nikupe dawa ya Asili ili mpenzi wako au mke wako asiweze kushika mimba mpaka muda munaotaka.Ukihitaji dawa ya uzazi wa mpango ya Asili isiyokuw ana amdhara,Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169HBARI wanajamii nilikuwa nasikiliza chombo kimoja cha hbari kuhusu athari za njia hii ya kuzuia mimba ijulikanayo kma VASCATOMY yaani mirija ya mwanaume hufungwa ili isipitishe mbegu za mwanaume kuwa haina madhara ya kiafya kwa mwanamme .Je ni kweli wanajamii na je ni njia gani nyingine ambayo inaweza kuwa safe kwa watumiaji kwakuzuia mimba na kiafya .
Nitafute mimi nikupe dawa zangu za asili za uzazi wa mpango zisizo kuwa na madhara kwa afya ya binadamu. Ukihitaji dawa zangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Habar zenu waungwana mwenye ujuz kuhusu uzaz wa mpango na njia zake namuhitaj PM plz
Huo uchafu na dam unaozungumzia ni yai lililopasuka na kuharibiwa na hormone baada yakukaa mda mrefu kwenye mirija ya uzazi bila kurutubishwa,Inaweza kuwa njia nzuri,as an the kutufahamisha lakini kuzuia damu ya hedhi isitoke nawakati ni uchafu umbao utarundikana ndani ya tumbo haiwezi kuleta matatizo baadae.?
umemaliza yote...mimi sitii neno lingine hapoHuo uchafu na dam unaozungumzia ni yai lililopasuka na kuharibiwa na hormone baada yakukaa mda mrefu kwenye mirija ya uzazi bila kurutubishwa,
lilitoka kwenye kiwanda cha ovari ad kwenye mirija(fallopian tubes) ili lirutubishwe na mbegu za kiume kabla yakutua mfuko wa uzazi,
hivo ukitumia njia ya kijiti inazuia yai kutengenezwa kwenye kiwanda cha ovari hivyo hakutakua na uchafu wa kutoka maana uchafu ni yai lenyewe lililozuiliwa kutengenezwa kiwandan
Hapana haileti madhara haya...madhara machache kwa baadhi ya watu ni ya kihormonal tuInaweza kuwa njia nzuri,as an the kutufahamisha lakini kuzuia damu ya hedhi isitoke nawakati ni uchafu umbao utarundikana ndani ya tumbo haiwezi kuleta matatizo baadae.?
Mpira kwa wanandoa haijakaa vizur lkn, we unaonaje...mkipalamiana jikon au bafuni au knye korido (if u know wat i mean) inakuwa shida kuzitafuta hizo kondom pia unakuwa kama upo na mchepuko tuNjia hii bado ina maudhi kwa baathi ya wanawake mana hutumia mfumo wa hormone.....kwangu mimi njia bora ni kuweka loop(IUD) japo wanaweke wengi huogopa njia hii.
Kwa wanandoa nashauri kutumia kalenda(kama mwanamke mzunguko wake ni wa siku 28 hadi 30) na kondomu za dharula kwenye kabati lenu zisikosekane.
Kalenda inasemekana kuwa ni njia salama ukiweza kuifuata......
Sindano hapana...
Vidonge hapana....
Kitanzi nimesikia jana kutoka kwa mtu wangu wa karibu kuwa kimemletea shida ya tumbo ila alivyotoa halimuumi tena.....
Kijiti labda
Kijiti side effect yake utableed heavily tena mabonge bonge so sikushauri. My sis and some of my pals tried it, ilibidi watolewe. Nenda marie stopes mwenge utapata maelezo zaidi kutoka kwa gyno na atakupima on which method will fit u best. E.g. kama you are above 34, wanashauri uache vidonge.