iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
Ni kweli ndio maana ni vizuri kumwona gyno for check up incase if you have any irregularities and then for advice. Nakumbuka enzi sindano za depo provera zinatua bongo wasichana wengi walizivamia kwasababu ilipromise 4 periods a year. Duh wengi wali suffer bleed kupotea kabisa na kuwa ngumu kushika mimba hata walipo acha matumizi. Dawa zingine zina sababisha early menopause na hata cancer especially ukiwa 35 yrs and above.mh,inamaana mkuu there is no method that can be suitable to all?
mh,inamaana mkuu there is no method that can be suitable to all?
Ni kweli ndio maana ni vizuri kumwona gyno for check up incase if you have any irregularities and then for advice. Nakumbuka enzi sindano za depo provera zinatua bongo wasichana wengi walizivamia kwasababu ilipromise 4 periods a year. Duh wengi wali suffer bleed kupotea kabisa na kuwa ngumu kushika mimba hata walipo acha matumizi. Dawa zingine zina sababisha early menopause na hata cancer especially ukiwa 35 yrs and above.
Karibu[emoji4]MUNGU AKUBARIKI,AKSANTE SANA.
Njoo nikufundishe ni very simple mkuu
Calendar. Ndo mpango alafu ujue.siku za kushika mimba zipo chache.Wakuu,naomba kueleweshwa njia nzuri za uzazi wa mpango.
Naogopa nisije bebanisha watoto kama timu ya mpira.
Njia nizisikiazo ni kama vile SINDANO,VIJITI AU KITANZI na VIDONGE
ila faida na hasara ya njia hizo ndo sizijui.
hii ya kupanga kalenda kwa kuangalia siku za mwanamke inanichanganya,naomba nielekezwe nayo!
Natanguliza shukrani zzangu kwa imani kuwa tatzo langu limetatuliwa.
Calendar. Ndo mpango alafu ujue.siku za kushika mimba zipo chache.
Tumia app kama Ladytimer zipo playstore....hii nimeielewa mno,nashukuru sana .mkuu
Kuwa makini,usije ukategeshewa.tarehe za hatari ukipiga tu mimba.ASA ASA .tarehe 14.hii nimeielewa mno,nashukuru sana .mkuu
Sasa huyo aliweka cha miaka mi5 hajakaa hata mwezi kaenda kutoaKuna mtu nimekutana nae alilazwa Kwa ajili ya tumbo akaambiwa kitanzi kimemchimba kizazi wamempiga masindano ya kutosha antibiotics wamemwambia pakipona wanamtoa. Na anadai ameweka Kama miezi mitatu tu
Achana na elimu za kitaa!muone mtoa huduma atakueleza njia zote zipo zaidi ya 10,zote zina faida na hasara pia na zinategemea na hali yako.nzuri kwangu inaweza kuwa mbaya' kwako hivyo tukigeneralize tutakosea.Wakuu,naomba kueleweshwa njia nzuri za uzazi wa mpango.
Naogopa nisije bebanisha watoto kama timu ya mpira.
Njia nizisikiazo ni kama vile SINDANO,VIJITI AU KITANZI na VIDONGE
ila faida na hasara ya njia hizo ndo sizijui.
hii ya kupanga kalenda kwa kuangalia siku za mwanamke inanichanganya,naomba nielekezwe nayo!
Natanguliza shukrani zzangu kwa imani kuwa tatzo langu limetatuliwa.
Mods peleka JF Doctor plzNaomba kufahamu mbali na njia za kawaida za kupanga uzazi mfano condom na kalenda no njia ipi ambayo ni salama zaidi kati ya vidonge,Sindano,kitanzi,nanjiti?