Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

Uzazi wa Mpango - Njia za kuzuia, aina ya Uzazi wa mpango na ushauri

mh,inamaana mkuu there is no method that can be suitable to all?
Ni kweli ndio maana ni vizuri kumwona gyno for check up incase if you have any irregularities and then for advice. Nakumbuka enzi sindano za depo provera zinatua bongo wasichana wengi walizivamia kwasababu ilipromise 4 periods a year. Duh wengi wali suffer bleed kupotea kabisa na kuwa ngumu kushika mimba hata walipo acha matumizi. Dawa zingine zina sababisha early menopause na hata cancer especially ukiwa 35 yrs and above.
 
Ni kweli ndio maana ni vizuri kumwona gyno for check up incase if you have any irregularities and then for advice. Nakumbuka enzi sindano za depo provera zinatua bongo wasichana wengi walizivamia kwasababu ilipromise 4 periods a year. Duh wengi wali suffer bleed kupotea kabisa na kuwa ngumu kushika mimba hata walipo acha matumizi. Dawa zingine zina sababisha early menopause na hata cancer especially ukiwa 35 yrs and above.

MUNGU AKUBARIKI,AKSANTE SANA.
 
Kalenda ndo njia salama na inayoaminika popote pale na usidanganyike eti huwa inabadilika mimi binafsi nakataa katu, kalenda ya mtu haibadiliki kamwe labda uwe na matatizo ya kiafya na ufuataji m'baya wa kanuni za afya kama lishe bora, mazoezi na mapumziko. ila njia nzuri ya uzazi wa mpango ni ya kalenda.
 
Wakuu,naomba kueleweshwa njia nzuri za uzazi wa mpango.
Naogopa nisije bebanisha watoto kama timu ya mpira.

Njia nizisikiazo ni kama vile SINDANO,VIJITI AU KITANZI na VIDONGE
ila faida na hasara ya njia hizo ndo sizijui.

hii ya kupanga kalenda kwa kuangalia siku za mwanamke inanichanganya,naomba nielekezwe nayo!

Natanguliza shukrani zzangu kwa imani kuwa tatzo langu limetatuliwa.
Calendar. Ndo mpango alafu ujue.siku za kushika mimba zipo chache.
5fee6248d4f9d4298e2c6ab57fa0d9c5.jpg
 
Kuna mtu nimekutana nae alilazwa Kwa ajili ya tumbo akaambiwa kitanzi kimemchimba kizazi wamempiga masindano ya kutosha antibiotics wamemwambia pakipona wanamtoa. Na anadai ameweka Kama miezi mitatu tu
Sasa huyo aliweka cha miaka mi5 hajakaa hata mwezi kaenda kutoa
 
Wakuu,naomba kueleweshwa njia nzuri za uzazi wa mpango.
Naogopa nisije bebanisha watoto kama timu ya mpira.

Njia nizisikiazo ni kama vile SINDANO,VIJITI AU KITANZI na VIDONGE
ila faida na hasara ya njia hizo ndo sizijui.

hii ya kupanga kalenda kwa kuangalia siku za mwanamke inanichanganya,naomba nielekezwe nayo!

Natanguliza shukrani zzangu kwa imani kuwa tatzo langu limetatuliwa.
Achana na elimu za kitaa!muone mtoa huduma atakueleza njia zote zipo zaidi ya 10,zote zina faida na hasara pia na zinategemea na hali yako.nzuri kwangu inaweza kuwa mbaya' kwako hivyo tukigeneralize tutakosea.
 
Naomba kufahamu mbali na njia za kawaida za kupanga uzazi mfano condom na kalenda no njia ipi ambayo ni salama zaidi kati ya vidonge,Sindano,kitanzi,nanjiti?
 
Back
Top Bottom