Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahis inaendana na mwili nakila njia inamaudhi madogo madogo... Kama yanazid nibora kumuona Dr... Pole ndgMIMI WA KIUME NIMESEMA KUNA MWENZANGU NIKIMAANISHA MPENZI WANGU AMEFUNGA UZAZI KWA NJIA HIYO LAKINI DAMU HAIKATI MWEZI WA NNE SASA... NDIO MAANA NAITAJI KUJUZWA ILI NIMSAIDIE
Walio wengi...?? Huo utafiti umeufanya wapi mkuu. Mbona kalenda ni majanga mpaka washauri wa maswala ya ndo imewashinda wameishia kubeba ujauzito wakati mtoto ana miezi 7 tu.Nshawaona wengi wenye tatzo kama hilo.. fanya fasta mpeleke hospital wamtoe hivyo vijiti.. afu baada ya hapo kaa nae mkubaliane njia sahihi ni 2 tu.. kinga (condom) na kalenda.. wengi kalenda wanashindwa kuitumia kwa kupenda vyepes ila vyenye madhara makubwa sana.. lazima haujue vzur mzunguko wake na ww ukimsaidia.. hapo hapo unaweza kutumia withdraw siku ambazo ni danger. . Walio makini kalenda haisumbui hata kdg...
Mkuu nitafute mimi nikupe dawa za asili za uzazi wa mpango atumie mkeo pasipo kuwa na madhara yoyote yale. Ukihitaji hizo dawa zangu za uzazi wa mpango wa asiliDawa za mpango wa uzazi kiukweli zinawatesa sana Wake zetu, mama zenu na dada zetu.
Mfano wake zenu, kuna mambo makubwa yanayotia hofu, na ya kutisha, katika mustakabali wa Maisha yao kutokana na aina hizi za uzazi wa mpango.
Kama kuwa na kitambi, siku kupitiliza na mambo mengi, ambayo mengine imekuwa ngumu sana hata kuyabaini moja kwa moja.
Naomba kujuzwa, je mwanaume unaweza kutumia uzazi wa mpango badili ya mke wako?
Ni aina ipi nzuri kutumia kwa mwaume? kama aina hizo za uzazi wa mpango kwa mwanaume zipo zaidi ya moja?
NB: Namwonea mke wangu huruma, nataka mimi ndio nitumie, hivyo naomba msaada wenu tafadhali.
asubuhi hii mkuu?Njoo nikutombe.
umeitwa wewe?Khaaaaa
mkuu hivi ni wewe au acc yako imedukuliwa?