Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nifafanulie kidogo MkuuAbstinence ndo njia bora zaidi!
Hapa mtihani kwa kweliMatumizi salama ya condom.
Pull-out pia kama jamaa anaweza.
Ride on top. Hii bado wataalam wanaifanyia kazi lakini.
Nyie mbona siwaelewi sasaasubuhi hii mkuu?
umeitwa wewe?
Sijaikataa hakika, ila imenishinda Mkuu imenishinda kabisa maana niseme ukweli tungeizingatia nisingeingia kwenye jukumu la malez ya hivi, yanatesa sanaOngea na mwenza wako asiwe anamwagia ndani ni nzuri ikiwa tu ni mwelewa ingawa ina risk, umeikataa kalenda ila ndo njia best kuliko zote kwa mtu asietumia za hosp.
Mbegu zake naweza zipata wapi?Kunywa mbegu ya nyonyo moja ukimaliza bleed kila mwezi
Sasa utatumia njia ipi na ya hosp huzihiitaji?? Za asili? Kama za asili kuna ile ya mbegu ya mnyonyo ule kama mwekundu unakua unameza kila unapomaliza hedhi. ( hii niliiisikia ila sipo sure...)Sijaikataa hakika, ila imenishinda Mkuu imenishinda kabisa maana niseme ukweli tungeizingatia nisingeingia kwenye jukumu la malez ya hivi, yanatesa sana
Ntaitafuta Mkuu nijaribu, asanteSasa utatumia njia ipi na ya hosp huzihiitaji?? Za asili? Kama za asili kuna ile ya mbegu ya mnyonyo ule kama mwekundu unakua unameza kila unapomaliza hedhi. ( hii niliiisikia ila sipo sure...)
Huku niliko unajichumia tuu,but ukiulizia sokoni unaweza kupataMbegu zake naweza zipata wapi?
Shukran MkuuHuku niliko unajichumia tuu,but ukiulizia sokoni unaweza kupata
Kwani ina maana mwanamke anayenyonyesha HAWEZI kupata mimba? Mbona nasikiaga mwanamke kapata mimba huku ananyonyesha? Mwanamke anaanza lini kubleed baada ya kujifungua?
Hizi njia za kuzuia mimba zinachanganya sana!
hilo nalo neno tena zuri tu....Tumieni kinga tu (condom) hayo mengine ni upuuzi tu