Kwa hiyo dust mask ndo Le professeri anatumia kujikinga na uviko, duh! kweli watu walipuyanga enzi covid inashika kasi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo dust mask ndo Le professeri anatumia kujikinga na uviko, duh! kweli watu walipuyanga enzi covid inashika kasi.....
Makundi yote yamejaa wajinga snila, current hali ni tofauti, kundi linaloongoza kwa ujinga ni vijana.
Utakuta wewe unashindia mlo mmoja hayo madaraja waachie wenye magari wawahi foleniKila nikipita pale Ubungo natamani jamaa arudi tu aendelee na kazi yake.
Chadema akili Hamna kwani hao Wenye magari sio watu mnaposema mnataka maendeleo ya watu? Hao wamiliki wa magari sio watu? Pili kwani magari yanayopita hapo wanaopita Ni wamiliki magari tu vipi kuhusu abiria kwenye daladala ,bajaji na bodaboda kwani abiria hawatumii wakiwa kwenye huo usafiri?Utakuta wewe unashindia mlo mmoja hayo madaraja waachie wenye magari wawahi foleni
Chadema tunasema tunataka maendeleo ya Watu kwanza.
Wewe unaogopa kupoteza nini? Ujinga wahed!!Kwa sasa hana cha kuogopa maaana hana cha kupoteza
Ndugu hebu tembelea Vijijini ukaone watu wanavyokunywa matope na umasikini wa kutisha.Chadema akili Hamna kwani hao Wenye magari sio watu mnaposema mnataka maendeleo ya watu? Hao wamiliki wa magari sio watu? Pili kwani magari yanayopita hapo wanaopita Ni wamiliki magari tu vipi kuhusu abiria kwenye daladala ,bajaji na bodaboda kwani abiria hawatumii wakiwa kwenye huo usafiri?
Hiyo mifano ya vita unaitoa wapi.kuna mtu kakwambia yupo vitani?
Niwe sina gari nitapanda daladala.. tehe..Utakuta wewe unashindia mlo mmoja hayo madaraja waachie wenye magari wawahi foleni
Chadema tunasema tunataka maendeleo ya Watu kwanza.
Huyo ni Mrundi hana tofauti na Kibu DenisWala siyo uzee nadhani nchi yetu inaongoza kwa kuwa na wazee wajinga na wanafiki kuliko nchi zote duniani, ni hawa wachache tu ndiyo wanaojielewa
Hebu tembelea Ndugu zako huko Vijijini ukawaone wanavyokunywa juisi ya matope ya typhoidNiwe sina gari nitapanda daladala.. tehe..
Hilo daraja ni maendeleo ya kina nani?.
mifanoni..Hiyo mifano ya vita unaitoa wapi.
Mbona hueleweki sasa?Hebu tembelea Ndugu zako huko Vijijini ukawaone wanavyokunywa juisi ya matope ya typhoid
CHADEMA tunasema Maendeleo ya Watu kwanza.
Peoples Power
Bila hela mfukoni ni kazi bure ndugu, hata Ethiopia wana ma flyover lakini watu ni masikini wa kutupwa hadi wanaikimbia Nchi yao.Foleni ya Ubungo ilikuwa kwikwi?. Maendeleo ya watu ni pamoja na daraja hilo.Maji.Umeme.Barabara.
,Nimeamini kuwa uzee ni dawa na kuishi kwingi ni kuona mengi.
Msikilizeni huyu mzee wetu alafu lazima utajifunza kitu cha kukusaidia maishani mwako.