DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

DOKEZO Uzembe wa Hospitali Kuu ya Mkoa Morogoro umesababisha kifo cha Mwanafunzi wa SUA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Lazima waangalie ni kweli huyo daktari alikuwa na kazi kiasa cha kushindwa kuhudumia wengine. Inawezekana kuna upungufu kweli wa madaktari.
Serikali inatakiwa kuajiri madaktari wengi zaidi wawepo wa ziada kabisa. Au waruhusu tu kuwepo na wataalam binafsi ambao watakuwa wanaweza kutoa huduma za dharura kwenye hospital za umma kunapokuwa na uhitaji wa dharura.
 
Km mama wa mgonjwa ni Dr, na aliomba vifaa afanye upasuaji mwenyewe, kwann walimkatalia? Dr wa hospital si yuko na majukumu mengine, sasa kwann wamkatalie Dr ambaye yuko available kufanya huo upasuaji?

Inauma sana [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Si rahisi kihivyo,angekufa wakati anafanyowa upasuaji namama yake ingekuwa msala
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Lazima aumie kuna vitu kama taifa vinaepukika.

Mfano Shortage ya madaktari wakati tuna vijana wengi wanao hitaji ajira wako wengi mtaani .
Kituko ni kwamba mwisho wa mwezi uliopita kuna tangazo la ajira ya daktari bingwa lilichapishwa, alikuwa akitafutwa ambae anaweza kuingia mkataba wa kujitolea, sasa kama madaktari wetu tunao wategemea wanajitolea ufanisi utatoka wapi.?

Shida ya nchi yetu kila kitu tumekifanya siasa.
 
Lazima aumie kuna vitu kama taifa vinaepukika.

Mfano Shortage ya madaktari wakati tuna vijana wengi wanao hitaji ajira wako wengi mtaani .
Kituko ni kwamba mwisho wa mwezi uliopita kuna tangazo la ajira ya daktari bingwa lilichapishwa, alikuwa akitafutwa ambae anaweza kuingia mkataba wa kujitolea, sasa kama madaktari wetu tunao wategemea wanajitolea ufanisi utatoka wapi.?

Shida ya nchi yetu kila kitu tumekifanya siasa.
CCM must go
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

View attachment 3033205
Hii ni mbaya, (MKUMBUKE KULA ASEE SHULE IPO TU IKIGA BASI) Sema balaa la bls sio poa
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

View attachment 3033205
Hospital ya mkoa morogoro ni takataka kabisa,hakuna huduma za maana pale, poleni sana, hii nchi imelaaniwa aisee,yaani wenyewe kwa wenyewe hatujaliani kabisa
 
Mama yake hawezi kuumia maana inaonekana kuna shortage ya madaktari na aliyekuwepo alikuwa anawafanyia upasuaji mama wajawazito,dont be judgemental kazini,mjamzito ni first priority
Who told you yaani torsion ya utumbo iwe sawa na mjamzito
 
wangempa ruferal akawahishwa hata Dar
mbaya sana
wanafunzi wenzake wamekaa tu kimya
Hapo Umenena mkuu. Wanafunzi wenzake Ndiyo walitakiwa kuanzisha valangati la kutaka majibu ya kina toka kwa ganga mkuu. Lakini wameufyata kwenye vimbweta eti wanajiandaa na final exams. Foolish!! Wenzao Kenya kupanda kwa mkate na chumvi walivamia Bunge na kunywa soda na bugger kwenye meza ya speaker. Hao wanafunzi ni Gen X.
 
Tusikilize na upande wa Pili.. nashauri Moderator tafuteni usahihi, au kuwasililiza upande wa pili.. maana habari imeandikwa kishakibi sana . kama ni emergency kwa sheria za nchi yetu angefanyiwa kule kule kwa laki nane....
nadhani kulikuwa na sitofahamu ... pengine madaktari walisha ona hakukuwa na uwezekano wa kupona hata wangefanya hiyo operation..
Hauna akili.
 
Intestinal Obstruction aint that life threatening condition unless otherwise with complications.

Kwa scenerio ya hapo juu ni kwamba mgonjwa alikua amewekwa kwenye matibabu ambayo ni non surgical kama kuendelea kufanya Iv resuscitation na monitoring.

Mpaka wanasema anaweza kusubiri that means hakua kwenye first priority
Lazima tukubali kwamba wataaluma tunapata shida sana na mazingira ya kazi

Doctor patient ratio mpaka sasa kwa nchi yetu bado hairidhishi kabisa

Kuhusu Mama kumpasua mwanaye ni Against code of ethics za kitabibu na sio kila daktari anaweza ku intervene IO
 
Juzi usiku tulimpeleka hospitali ya Nanguji mwanachuo mwenzetu ambae alizidiwa, wakamfanyia vipimo na kusema utumbo umejikunja hivyo anapaswa kufanyiwa upasuaji kwa haraka, kwa pale gharama zilikuwa ni laki 8 hivyo tukaombwa kupelekwa hospitali ya mkoa kwasababu ya unafuu wa matibabu, tukapewa ambulance ikatupeleka hadi Hospitali Kuu ya mkoa Morogoro, pia tukawasiliana na mama wa mwenzetu nae akaanza safari ya kuja.

Baada ya kufika pale na jinsi situation ilivyokuwa ya dharura lakini tuliambiwa Daktari wa upasuaji hayupo available kwa muda huo kwasababu anahudumia wagonjwa wengine, tulisubiri pale mpaka asubuhi ilipofika na mama wa mwenzetu pia akawa ameshafika, still situation ya kumkosa Daktari ikaendelea, uzuri mama wa mtoto alikua ni Daktari pia hivyo baada ya kuangalia vipimo alivyokuja navyo mwanae kutoka hospitali ya Nanguji vilikuwa very clear kwamba hii ni emergency situation inayopaswa ishughulikiwe kwa haraka zaidi, wao wakazidi kusema Daktari wa upasuaji hayupo available.

Mama wa mwenzetu akaomba apewe room afanye upasuaji mwenyewe, niliondoka nilipoona wanampa vifaa kweli, na hiyo ilikuwa inaelekea jioni sasa, usiku nikampigia yule mama akasema hawakumruhusu na wamemwahidi kesho yake ndio atafanyiwa upasuaji.

Basi nikalala kwa amani nikijua asubuhi mwenzetu atapata huduma, lakini asubuhi nikapokea simu kwamba ndugu yetu, rafiki yetu ameaga dunia.

Kwakweli jambo hili limeniliza sana na nimeshindwa nikalia kimya.

Amefariki tarehe 4/Jul/ 2024 yaan leo.

Siku mbili zote mwenzetu anaishi kwa mateso mpaka umauti wake unamkuta, alikuwa bado wiki moja afanye final exams katika chuo cha SUA na alikuwa mwaka wake wa mwisho, kwakweli imeniuma naomba mpige sauti juu ya hili.

Morogoro hospital ni hospital ya kipumbavu probably kuliko zote za umma inchini. Hapo walikua wanataka rushwa. Niliwahi kwenda na mtoto ameishiwa damu hapo, walisema damu zimeisha. ila ikapatikana baada ya kulipa sh. 25,000. Hizi hospital za umma ifike time walipe mishahara Toka pesa wanayozalisha ndipo huo ujinga ujinga wanaouganya utakoma. Kwasasa hawana motivation ya kufanya vizuri maana mshahara uko pale awajibike asiwajibike
 
Tusikilize na upande wa Pili.. nashauri Moderator tafuteni usahihi, au kuwasililiza upande wa pili.. maana habari imeandikwa kishakibi sana . kama ni emergency kwa sheria za nchi yetu angefanyiwa kule kule kwa laki nane....
nadhani kulikuwa na sitofahamu ... pengine madaktari walisha ona hakukuwa na uwezekano wa kupona hata wangefanya hiyo operation..
Ccm ni mashetani
 
Intestinal Obstruction aint that life threatening condition unless otherwise with complications.

Kwa scenerio ya hapo juu ni kwamba mgonjwa alikua amewekwa kwenye matibabu ambayo ni non surgical kama kuendelea kufanya Iv resuscitation na monitoring.

Mpaka wanasema anaweza kusubiri that means hakua kwenye first priority
Lazima tukubali kwamba wataaluma tunapata shida sana na mazingira ya kazi

Doctor patient ratio mpaka sasa kwa nchi yetu bado hairidhishi kabisa

Kuhusu Mama kumpasua mwanaye ni Against code of ethics za kitabibu na sio kila daktari anaweza ku intervene IO
Huu udaktari wa kukariri huu. Practically, utumbo ukijikunja unaanza kuoza ule upande ambao haupati damu ya kutosha , unless unaleta story za Google hapa
 
Hayo ndio maisha ya watu wa tabaka la chini kila siku lakini nani anajali maana hata victims wenyewe huamini "ndio ashakufa kama ahadi ya Mungu, kifo hakizuiliki"..

Na wengine wakisikia wizara ya afya inalalamikiwa, si ajabu wakaitetea kwa sababu tu alietoa maneno ni mange au mwanaharakati yoyote. Mbaya zaidi, watu huwa tunashtuka pale tu linapotufikia directly Ila kama halituhusu tunakaa kimya, hii ndio system
Sasa kama Sua hapo ni Moro mjini mambo yako hivyo je huko ndani ndani si washkaji wanadondoka kibao tu.
 
Inauma sana, mama mzazi kwa kushuhudia kifo cha mwanaye kutokana na uzembe wa hospitali itakabaki kuwa kumbukumbu mbaya kwake.
atupe kazi hao waliomkatalia kumfanyia mwanae upasuaji tuwateke tuwatese kwa maumivu makali na kuwakatakata vipande mpaka kifo.
 
Back
Top Bottom