Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Huo uzi mzuri sana, anza mwanzo kipindi JF haijavamiwa ndio kuna genuine stories. Una mafunzo sanauzi wa tuliowahi kupata fedha na kufilisika.......dah naona hadi kichefu chefu
Bahati mbaya hau-trendHuu uzi wako hata sijauelewa kwakweli
Eti ni isidingo🤣🤣🤣ila watu wana matumaini kuleUzi wa wazee wa mikeka ni kama tamthilia ya isidingo au days of our lives......yaani ni maisha ya kila siku yenye mikasa tele! Huwa hauna mwisho
Ushoga na ushoga vinaongezeka Kwa Kasi yaani sijawahi hata usogeleaMimi ni huu uzi wa wazee wenzangu njooni tuweke mikeka
Sielewi wanachojadili maana kila nikifungua nakuta ni maumivu tu watu wanasema kesho lazma tumle muhindi. Sijaelewa kwanini uzi unatrend sana lakini mazungumzo mengi kule ni ya majonzi.
Uzi mwingine una-trend ila sijawahi kuulewa ni ule wa "Tupia picha ya mdada wowote mzuri" ule uzi ukiuendekeza utakuwa Diego Maradona kila siku.
Wewe ni uzi upi huuelewi lakini muda wote una-trend na comments za kutosha?
Huu una stori Moja Kali sana muulize bwana Glenn"Hatima ya maisha yangu iko mikononi mwa kijana wa Buguruni" 🤔 Huu uzi una trend kweli! Ila sijawahi kuulewa unahusu kitu gani hasa.
Kuna siku nilijaribu kuufungua, nikakuta watu wanatukanana! Nikabakia tu mdomo wazi.
😂😂😂wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
wa walevi by jr.mshana
Nilijua tu sitasalimika hapa[emoji23]
, 😂😂😂😂wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
wa walevi by jr.mshana
Nilijua tu sitasalimika hapa[emoji23]