Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Daah aisee ππππJaza upya hi form, Kisha copy peleka kwa mwenyekiti dronedrake na katibu wake mshamba_hachekwi
View attachment 2858284
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah aisee ππππJaza upya hi form, Kisha copy peleka kwa mwenyekiti dronedrake na katibu wake mshamba_hachekwi
View attachment 2858284
Uki ijaza, Uta pokea Vaseline dozen nzimaππ€£ππDaah aisee ππππ
Cc Tresor Mandala π€£π€£Uzi wa jamiiforums usiku wa manane.
Usiku wa manane nishike simu niingie jf kutafuta nini?
Uzi wa kupeana likes sijui na comments.
Za kazi gani?
Uzi wa makapuku forum
Nani kapuku?
Uzi wa New admin under Samia sijui nini nini
Hahahaha, leo uje usiku wa manane tuchat, mie nyuzi zenu za kujadili maisha ya watu siwezi π π
Usiku hapana nakua nimelalaπ€£π€£Hahahaha, leo uje usiku wa manane tuchat, mie nyuzi zenu za kujadili maisha ya watu siwezi π π
Hahahahahaha,ukiamka kusali usiku njoo unisalimieUsiku hapana nakua nimelalaπ€£π€£
Zile wanazojadili sie wengine wasomaji tu,tunaishia kushangaa na kucheka!
Na kujua kuwa jf ni zaidi ya kuchat
πUzi usioupenda jua kwamba haukuhusu.
π€£π€£Hahahahahaha,ukiamka kusali usiku njoo unisalimie
Humu yupo jamaa humu humu nimsahau jina(UMUKHAGA) alikuwa anakula majini (anaiomba kiufasa)"Hatima ya maisha yangu iko mikononi mwa kijana wa Buguruni" π€ Huu uzi una trend kweli! Ila sijawahi kuulewa unahusu kitu gani hasa.
Kuna siku nilijaribu kuufungua, nikakuta watu wanatukanana! Nikabakia tu mdomo wazi.
Hahahaha,tutasali woteπ€£π€£
Nitapoteza connection bure
Huwez elewa bila D2Huu uzi wako hata sijauelewa kwakweli
huo uzi ni kama ISIDINGO the need au days of our lives...ni maisha ya kila siku. Mpaka pale JF itakaposizi kuexistMimi ni huu uzi wa wazee wenzangu njooni tuweke mikeka
Sielewi wanachojadili maana kila nikifungua nakuta ni maumivu tu watu wanasema kesho lazma tumle muhindi. Sijaelewa kwanini uzi unatrend sana lakini mazungumzo mengi kule ni ya majonzi.
Uzi mwingine una-trend ila sijawahi kuulewa ni ule wa "Tupia picha ya mdada wowote mzuri" ule uzi ukiuendekeza utakuwa Diego Maradona kila siku.
Wewe ni uzi upi huuelewi lakini muda wote una-trend na comments za kutosha?
ππππ«΅πΏKwanini utumishi wanachelewa kuita watu kazini
Warembo wakali worldwide na ule jf usiku wa mananeMimi ni huu uzi wa wazee wenzangu njooni tuweke mikeka
Sielewi wanachojadili maana kila nikifungua nakuta ni maumivu tu watu wanasema kesho lazma tumle muhindi. Sijaelewa kwanini uzi unatrend sana lakini mazungumzo mengi kule ni ya majonzi.
Uzi mwingine una-trend ila sijawahi kuulewa ni ule wa "Tupia picha ya mdada wowote mzuri" ule uzi ukiuendekeza utakuwa Diego Maradona kila siku.
Wewe ni uzi upi huuelewi lakini muda wote una-trend na comments za kutosha?
πΉπΉππππ«΅πΏ
Mkuu kuipata hiyo verification inacost kiasi gani? Na kuwa platinum member vigezo ni vipi?πΉπΉ
Verification badge haicost chochote platnum mebership nadhani inacost ila sijajua how much Active Maxence MeloMkuu kuipata hiyo verification inacost kiasi gani? Na kuwa platinum member vigezo ni vipi?
Bila shaka watanipa majibu Active Maxence Melo.Verification badge haicost chochote platnum mebership nadhani inacost ila sijajua how much Active Maxence Melo