Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hio panya nmecheka vibaya😹wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
wa walevi by jr.mshana
Nilijua tu sitasalimika hapa[emoji23]
Anakusalimia mjeda wako na amesema siyo vizuri kutwa kwenye mitandao.Huyu hayuko serious. Hivi kuna Uzi unafurahisha Kama ule? Mimi nikiona nimekuwa bored tu naufungua huo. Kuna watu walikuwa na mamilioni mule wamefilisika Hadi wamerudi kwa wazazi 😀😀😀
Kimsingi ni Uzi ambao hata mimi siukubali kabisa kuna mwamba huwa yeye anacomment tu Slava Ukraine.Mimi Uzi wa mgogoro wa Russia na Ukraine nauchukia Sana,Kuna siku nilijaribu kufungua nakuta Ni liuzi lirefu na vitu havieleweki nikasema siwezi shoboka na mambo ya nchi za watu.
Tangu siku hiyo huo Uzi huwa naupita kwa Kasi ya 5G
“Umevaa nini leo? Tupia uturingishie”Mimi ni huu uzi wa wazee wenzangu njooni tuweke mikeka
Sielewi wanachojadili maana kila nikifungua nakuta ni maumivu tu watu wanasema kesho lazma tumle muhindi. Sijaelewa kwanini uzi unatrend sana lakini mazungumzo mengi kule ni ya majonzi.
Uzi mwingine una-trend ila sijawahi kuulewa ni ule wa "Tupia picha ya mdada wowote mzuri" ule uzi ukiuendekeza utakuwa Diego Maradona kila siku.
Wewe ni uzi upi huuelewi lakini muda wote una-trend na comments za kutosha?
HakukoseaKuna ule uzi wa 'arsenal hatotwaa taji lolote msimu huu'
Huo uzi ukiwa una kazi uwezi kuuelewa kabisa lakini kwa wanao tafuta kazi serikalini wanaelewa sana maana yake!Huo uzi siupendi sana sana maana hata sijawahi kuuelewa na sijui watu gani humu huwa wanacomment humo na kuuweka on trending wakati wengi humu tumeonesha kutoupenda
Kwani form ya banyeta, uli rudisha mkuu😄😂🤒Uzi wa kula kimasikhara,
Huo wa wazee wenzangu... mi kila siku lazima niusaili.
Warembo world wide sio uzi wa kuingia kichwakichwa, kujiphotoa ni dakika 0 hasa ukiwa mwanachama hai wa chama.
Sizipedi zote ulizozitaja,na Huwa nazipita1.kula tunda kimasihara.
2. Jamiiforums usiku wa manane.
3. kupeana likes sijui na comments.
4. Kwanini utumishi……..
5.Uzi wa kubet
Hizo nyuzi sijawahi kufungua hata siku moja.
Hata hivyo uzi wangu pendwa wa Chakula kuna watu hawajawahi kuufungua, kweli mtu chake.
🤣🤣🤣🙌Uzi wa live update kinachojiri vita ya Russia na Ukraine.
Uzi umejaa fix, watu wana ripoti kama wapo Eneo la tukio vile.
Nilirudisha kaka.Kwani form ya banyeta, uli rudisha mkuu😄😂🤒
Jaza upya hi form, Kisha copy peleka kwa mwenyekiti dronedrake na katibu wake mshamba_hachekwiNilirudisha kaka.