binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Yaani hata sijui kinachojadiliwa humo, kila nikitaka kuufungua naona uvivu naghairi.Namba 2 una shida gani?
Utumishi again 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hata sijui kinachojadiliwa humo, kila nikitaka kuufungua naona uvivu naghairi.Namba 2 una shida gani?
Utumishi again 🤣
Kicheko ni ishara ya furaha japo kuna machozi ya furaha piaMbona unacheka
NAKAZIA.Huo uzi mzuri sana, anza mwanzo kipindi JF haijavamiwa ndio kuna genuine stories. Una mafunzo sana
Huo uzi siupendi sana sana maana hata sijawahi kuuelewa na sijui watu gani humu huwa wanacomment humo na kuuweka on trending wakati wengi humu tumeonesha kutoupendaHuu Uzi sijawahi kuuelewa kabisa[emoji116]
Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini
SanaaaaaInaonekana hamuwapendi Utumishi
Mimi ni huu uzi wa wazee wenzangu njooni tuweke mikeka
Sielewi wanachojadili maana kila nikifungua nakuta ni maumivu tu watu wanasema kesho lazma tumle muhindi. Sijaelewa kwanini uzi unatrend sana lakini mazungumzo mengi kule ni ya majonzi.
Uzi mwingine una-trend ila sijawahi kuulewa ni ule wa "Tupia picha ya mdada wowote mzuri" ule uzi ukiuendekeza utakuwa Diego Maradona kila siku.
Wewe ni uzi upi huuelewi lakini muda wote una-trend na comments za kutosha?
Nishamwambia mumeo aje aandike hizo nyuzi.Kama
Hupendi hizo nyuzi kwanini usimwambia baba ako au mama ako aje kuandika nyuzi utakazozipenda? Mbona mnakuwa mapopoma sana nyie
uzi wa tuliowahi kupata fedha na kufilisika.......dah naona hadi kichefu chefu
Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?www.jamiiforums.com
New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness
Lakini watu waliozaliwa na asili ya Tanzania Hii ni tungo tata TOA ufafanuzi By the way mwendokasi inaenda kubinafsishwa vipi umeshawahi tenda?www.jamiiforums.com
Hizo nyuzi...[emoji848]
Mwambie pia mume wa baba ako nae ajeNishamwambia mumeo aje aandike hizo nyuzi.
😂😂😂 ni uzi wetu wa wasakatonge serekaliniHuu Uzi sijawahi kuuelewa kabisa[emoji116]
Kwanini utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini
Unamuaibisha Mumeo hapa jukwaaniMwambie pia mume wa baba ako nae aje
Huo uzi mtamu sana kupunguza mikazo (stress)Mie kuna ule wa Vituko Mtandaoni, Tupia Cha Kwako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]