DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Huo Uzi hauwezi pita siku sijapitia kujua habar za wababe wa dunia[emoji4]Mimi Uzi wa mgogoro wa Russia na Ukraine nauchukia Sana,Kuna siku nilijaribu kufungua nakuta Ni liuzi lirefu na vitu havieleweki nikasema siwezi shoboka na mambo ya nchi za watu.
Tangu siku hiyo huo Uzi huwa naupita kwa Kasi ya 5G