Uzi gani una-trend hapa Jamii Forums lakini haukuvutii?

Uzi gani una-trend hapa Jamii Forums lakini haukuvutii?

1. Kwanni utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini

2. Uzi wa kupeana likes

3. Uzi wa vyakula: Mwanzisha uzi alipost mkate una panya ndani yake. Hiyo picha ilinifanya niuchukie uzi mzima.
WheresMyMouse.jpg
 
Kuna Uzi wa kula tunda kimasihara haunivutii hata kidogo Kuna Uzi za mashoga, Kuna ule wa kutupia picha na baadhi ya news MMU Zina trend ila hata sijawahi ona Cha maana.
N.B mwisho wa siku Kila mtu na interest zake
 
[emoji28] halafu kibaya zaidi kila niki-login, threads ninazokutana nazo on trending lazima ziwepo tatu au nne tajwa hapo juu daah [emoji16]
Ndio maana niliomba JF wawe na option ya mtu ku block mada asizozitaka maana sikuhizi mada za kijinga Kwa vile Zina commentiwa sana ndio zinakuwa Zina trend sana na unakuta hazina jambo la maana la ku feed ubongo. Wangeboresha app au website vile mtu anacho comments zaidi ndio awe analetewa vitu design hyo ka walivofanya Instagram page unazopenda ku visit unaletewa vitu vya aina hyo hyo.
Sasa humu nyuzi za hovyo ndio zina pop up hapo juu
 
Back
Top Bottom