Uzi gani wa JF ulikuvutia na unatamani kila mtu apate nafasi ya kuusoma

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,857
Reaction score
3,593
Habari wakuu

Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma.

Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na ulitamani wengine wapate nasaha ya kuusoma pia.

Mimi binafsi ni huu:-

Karibu.
 
wewe huna hata wa mfano tukausoma?
Huu naufuatilia mpaka kesho
 
Uzi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…