Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
Michelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa
Huu hapa uzi wangu bora kabisaa..
Huu hapa uzi wangu bora kabisaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si kunogesha penzi hata saa ya 50kSasa mimi wa kike nahongaje?
Yani naanzia wapi kwanza?
Huu mi mwenyewe naukubali sana aiseeMichelangelo; Genius aliemchallenge vikali Leonardo Da Vinci kwenye kazi za Sanaa
Huu hapa uzi wangu bora kabisaa..
Hii yote sijawahi kutana nayo humo ungeishare mkuu na sisi tukafaidikaUle wa Analyse"hajivunii lile limama alilozaa nalo".Na kuna ule "first date"(huu Uzi ulinichekesha Sana watu walivokua wanatoa shuhuda zao).
Mbinu ya kivita WIN/LOSE😂😂😂Naam, ukiusoma huo uzi lazima ugain MBINU mbali mbali zitakazokusaidia, mojawapo ikiitwa WIN/LOSE 😄😄🤒
Usiiweke kama kuhonga sasasi kunogesha penzi hata saa ya 50k
Huu uzi bwana niliushindwa unapingana na sayansi yangu ninayo ifahamuSiri nzito kuhusu dunia tambarare,
dark days
Ndo unaweza kutoa hela ya kubet kunogesha penzi?😂😂😂Usiiweke kama kuhonga sasa
Uzi wa mshana wa chuo cha mamonk ni hatari sana aisee.Honestly huku ndio tumefika sa hivi,mtoa mada katoa wazo zuri sana la ku-summurize nyuzi bora za wakati wote zilizowahi kuletwa humu,lakini naona watu wanaleta nyuzi za masikhara. Binafsi kuna nyuzi za simulizi nazipenda sana,Kuna ile ya Khumbu,Simulizi za The bold karibu zote,Nyuzi ya mshana na mambo aliyoshuhudia wakati ameenda chuo cha Ma-monk,kuna nyuzi humu kuhusu UTT ilinishawishi nikaanza kusevu hela mpaka kwa mara ya kwanza nikafikisha 20 mil,Kuna nyuzi za Lala 1 story za weekend,sijui kapotelea wapi huyu mtu. Zipo nyingi kiukweli.
Nitautafuta huu nisikose utamuUzi wa Heaven on Earth
"Safari yangu ya kupanda mlima Kilimanjaro."
Nimeupreview chapchap una madini ya kutosha nikitulia nitaupitia nipate chakula cha ubongo.My best creation ever. Kabla sijaanza kuvuta bangi, akili niliyotumia kuandika huu uzi sijui niliitoa wapi😎
Likes Received 490.
Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?
SALUTE Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki unashanga. Yaani jambo fulani baya au zuri linakufata wewe tu kila siku hadi unajiuliza Why me? Mfano...www.jamiiforums.com
Hahahah ungeushare huo mkuu maana sijabahatika kukutana naoKuna ule Uzi wa tuliowahi kukutana na majambazi!!
Ule unaweza kujikuta unacheka kama umesizi bangi
Siwezi mkuuNdo unaweza kutoa hela ya kubet kunogesha penzi?😂😂😂
Uzi wa Mwasibu OKW BOBAN SUNZUHabari wakuu
Najua JF ni kisiwa cha habari na maarifa pia kumekuwa na nyuzi nyingi ambazo sisi kama member tumekuwa tunazisoma.
Basi mkuu ni hivi, wewe kama mwanaJF uzi gani ulikuvutia sana na ulitamani wengine wapate nasaha ya kuusoma pia.
Mimi binafsi ni huu:-
Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6. Mamlaka ya chakula na dawa 7. SSRA 8. NSSF/PSSSF 9. BOT 9. Bunge 9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali...www.jamiiforums.com
Karibu.
😂😂😂😂😂😂Uzi wa Mwasibu OKW BOBAN SUNZU