CHIPASO
Member
- Jan 10, 2018
- 25
- 29
Hahahah, Joanah mzee wa over 2.5Ofkozi ni uzi wa kubet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah, Joanah mzee wa over 2.5Ofkozi ni uzi wa kubet
😂😂😂Ule yule mchepuko wake aliutafutia kazi petrol station ukaanza kumzingua akaupiga tukio aibiwe hela
Anavyoelezea inaonekana mwamba kayapatia sana haya maisha kwa akili nyingi na fedha.
Naomba linkUzi wa mshana wa chuo cha mamonk ni hatari sana aisee.
Yesssir!Hahahah, Joanah mzee wa over 2.5

INSIDER MANKuna nyuzi huwa natamani sana nijue zinahusu nini ila ni ndefu sana kusoma
Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane. Miaka ya fulani baada ya kumaliza shule ya sekondari,niliamua kwenda kumsalimia Ba'mdogo aliyekuwa mkuu wa shule fulani ya sekondari hapo kwenye hicho kijijini. Wana kijiji walikuwa wakimpa heshima kubwa Ba'mdogo kwasababu wanafunzi wote waliosoma...www.jamiiforums.com
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo. Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story...www.jamiiforums.com
Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy
Karibuni katika kisa hiki kilichoacha alama isiyofutika katika moyo na MAISHA yangu. Nitaanzia mwaka 2019 nilipojiunga na chuo x hapa nchini. Tukiwa first year nilipata mchuchu mmoja wa kuitwa Mercy mtoto wa Kilimanjaro. Mercy alikua mtoto wa kishua, alikua mwembamba mrefu sura nyembamba ndefu...www.jamiiforums.com
Uxi wetu pendwaMikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni ... - JamiiForums Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo
Bora mama ubet maana ukimwomba hela atakuingiza ule uzi wa 80%ya wanawake tanzania.........Endelea kutuogopa hivyo hivyo manake ukituzingua tunakubonda
Kwani wanaendelea kula kimasihara Bado😀Ulishawahi kula tunda kimasihara? | JamiiForums Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Tagg basi tukachekepoKuna ule Uzi wa tuliowahi kukutana na majambazi!!
Ule unaweza kujikuta unacheka kama umesizi bangi
Mwendo ni ule ule, ushindi 😅😅😅Kwani wanaendelea kula kimasihara Bado😀
Sawa mkuuAcheni kunizushia. Mi sio yule Komando. Mi ni muuza madafu tu.
Uzi wa ephen akiwa jeshini ndio uzi wangu bora wa muda wote.Ukitaka kujipima kama una upendo wa kweli na uvumilivu basi fuga mbuzi wa kienyeji
Hawa mbuzi wanakera wakianza kulia mfano hakuna kumbuka hapo umewapa chakula na tumbo zipo kama pipa lakin hizo kelele mfano hakuna. Basi enzi hizo tukiwa wadogo tukiona kelele zimezidi tunakoroga pilipili kichaa tuna wanywesha halafu mbio maana ni msala. Wanabaki kusugua midomo kwenye ukuta...www.jamiiforums.com
😹😹😹😹😹