Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Tuanze hapo kwanzaUna uhakika wanajf wanakujua mwamba???
Una uhakika wanajf wanakujua
Nini kifanyike ili nijulikane? Maana mm hata wewe sikujui zaid ya kusoma nyuzi zako hapa ndaniUna uhakika wanajf wanakujua mwamba???
Hizo ninazo Sana kwa siku napokea pm zaid ya 30Aisee humu sasa nani akujue kama haujatengeneza koneksheni hata huko PM, JF ya miaka ya nyuma usipomuona uliyemzoea unamfuata PM kumuuliza kulikoni
Mwanangu mimi sijulikani humu kama mtoa mada. Ni rahisi kuokota pesa kkoo kuliko kuonanmitagiwa/taggedWengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Mimi ntakua nakutag napenda zile story zake ndefu ndeeeefu kusoma zisizo na bipande bipande, uwe unatuandalia nyingi nyingi mkuuMwanangu mimi sijulikani humu kama mtoa mada. Ni rahisi kuokota pesa kkoo kuliko kuonanmitagiwa/tagged
One love 👊Wengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Dawa yake maandamanoHata mimi wahanijuiii jamani miaka yote mnikumbukeeee
Kwamba?Pole sana mkuu dah.
tena pole sana mkuu