myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sawa Dada au Mdada au Bint Depal ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Dada au Mdada au Bint Depal ..
Sawa mama DepalMama
Unaweza kuwa baba🤣🤣Mama
Nilivyoona jina mr bann tukajua tu wewe ndio unaetupiga ban JF😄 kumbe sio modWengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Aah weee acha uongo😄Hata mimi wahanijuiii jamani miaka yote mnikumbukeeee
😁😁 Mm naumaarufu ganiAah weee acha uongo😄
Muulize Mtu anaitwa Gentamycin 🤔Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Wewe ndio gentampyne aka Ubobo aka shetani mkuu🤣 kwa nini usijulikane😄😁😁 Mm naumaarufu gani
😂😂😂 Leo nashuka na lile jambo letuWewe ndio gentampyne aka Ubobo aka shetani mkuu🤣 kwa nini usijulikane😄
Kibwego mtaka vituLeejay49 atakuw jini🤣 akome kucheza na ukoo wetu 🤣🤣🤣
Ahahahahah mpendwa mwana jf mr bann KULA CHUMA HIKO 😂😂😂😂