Uzi huu ni kwa wale tuliopo JamiiForums lakini uwepo wetu hauonekani

Uzi huu ni kwa wale tuliopo JamiiForums lakini uwepo wetu hauonekani

Hata mm pia sijulikani kmaa mtoa mada,ila nimejiunga tangu 2016,nilichojifunza mm ktk jamii forums,ni elimu nyingi zisizo naidadi kutoka majukwaa tofauti tofauti,pia nimekiri kua kuna watu wanajua kuchambua mambo kwa kina sana,pia kuburudika, nnashukuru snaa mexince mello na wenzie ,hakika jamii forum ni kisima cha maarifa.
 
Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Kumbe ni heri kukumbukwa hatakama kwa mabaya ila sio kupass like a shadow 😅😅😅
 
Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Mkuu uchawi ni hilo jina unalotumia.
 
Back
Top Bottom