DahWengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Nakazia.....expectations ni mbaya sanaExpect nothing from anyone mkuu utaishi Kwa amani Sana ........
Kumbe ni heri kukumbukwa hatakama kwa mabaya ila sio kupass like a shadow π π πNakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Pamoja sana MpetdeWengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Mkuu uchawi ni hilo jina unalotumia.Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Oya mod unazingua π€£π€£π€£πMkuu uchawi ni hilo jina unalotumia.
NAKAZIA HAPA.Expect nothing from anyone mkuu utaishi Kwa amani Sana ........
Present βοΈπ€Wengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
πππ Kumbe ndio maanaMkuu uchawi ni hilo jina unalotumia.
Tupo wengi mkuu hata mimi pia
Rafiki za miaka mingi? Nimekumiss mshenga wangu πππππAisee humu sasa nani akujue kama haujatengeneza koneksheni hata huko PM, JF ya miaka ya nyuma usipomuona uliyemzoea unamfuata PM kumuuliza kulikoni
Pamoja sana Mpetde π€Wengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
π π π Hata wewe unasema hivyo?Tupo wengi mkuu hata mimi pia
Mkuu, kuna Uzi wenu kule unaosema mambo tunayotaka kuwaambia nyie mods, naona mmetagiwa sana ila mnaurukaMkuu uchawi ni hilo jina unalotumia.