myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sawa Dada au Mdada au Bint Depal ..
Sawa mama DepalMama
Unaweza kuwa baba๐คฃ๐คฃMama
Nilivyoona jina mr bann tukajua tu wewe ndio unaetupiga ban JF๐ kumbe sio modWengine hawapendwi kutagiwa haya hawa hapa sijawasahau Depal Lenie Da'Vinci Nakubusu Basi Nenda To yeye figo76 DeepPond masai dada Bantu Lady National Anthem Mzee wa kupambania Gily
Aah weee acha uongo๐Hata mimi wahanijuiii jamani miaka yote mnikumbukeeee
๐๐ Mm naumaarufu ganiAah weee acha uongo๐
Muulize Mtu anaitwa Gentamycin ๐คNakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Wewe ndio gentampyne aka Ubobo aka shetani mkuu๐คฃ kwa nini usijulikane๐๐๐ Mm naumaarufu gani
๐๐๐ Leo nashuka na lile jambo letuWewe ndio gentampyne aka Ubobo aka shetani mkuu๐คฃ kwa nini usijulikane๐
Kibwego mtaka vituLeejay49 atakuw jini๐คฃ akome kucheza na ukoo wetu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ahahahahah mpendwa mwana jf mr bann KULA CHUMA HIKO ๐๐๐๐