Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,913
Nenda Gardaworld utapata kazi ukikidhi vigezoJamani mpaka sasa bado natafuta kazi ya ulinzi kwenye makampuni yaliyosajiliwa kisheria.
Nimehitimu form 4 .
Udhoefu wangu wa miaka mitatu nikiwa kwenye ulinzi .
Nimesoma maswala ya haki za binadamu.
Risk Assessment , customer care n.k
Urefu wangu 5.57 .
Kazi ninaipenda na ntaifanya kwa weledi wangu.
Nahitaji kampuni iliyosajiliwa kisheria na inatoa mkataba kwa mfanyakazi.
Pia nina uwezo wakuzungumza kiswahili na kiingereza.
Mawasiliano Yangu
0745186254/0789850480 pia unaweza nicheki kwa email:williammawazo63@gmail.com
Wenu
Ashomile .
Shukran sana kiongozi kwa kuendelea kutokuwa mchoyo wa michongo hakika ipo siku Mungu atakulipa kwa jema lako.
Kule niliwahi kwenda sema wao huwa wakihitaji watu wenye urefu wa 5.7 , ila hakuna namna ilinibidi niachane nao .Nenda Gardaworld utapata kazi ukikidhi vigezo
Kama una laki 2 sema tufanye mchongo.Kule niliwahi kwenda sema wao huwa wakihitaji watu wenye urefu wa 5.7 , ila hakuna namna ilinibidi niachane nao .
Mkuu inbox tuwasiliane wala hakuna shida , au naomba namba yakoKama una laki 2 sema tufanye mchongo.
hizi kazi kama huna vigezo lazima uwe na hela.
watu wafupi kama nyie huwa tunawapeleka kigoma hukoo hakuna kwenda Head quarters Dar mtarudishwa na makofi juu[emoji28][emoji28][emoji28]
nitumie yako. Vipi unapatikana wapi? ukiwa mwanza itapendezaMkuu inbox tuwasiliane wala hakuna shida , au naomba namba yako
Shukran sana kiongozi kwa kuendelea kutokuwa mchoyo wa michongo hakika ipo siku Mungu atakulipa kwa jema lako.
Tupo pamoja[emoji120]
Tupeane Michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Shukran sana kiongozi kwa kushare mchongoKuna hizi nafasi zingine za kazi: www.nelicotz.org wenye sifa muombe zipo vizuri na mishahara ya kueleweka! Angalizo: Mwisho wa kuomba ni kesho (4/10).
Habari zenu ndugu na jamaa.
Naimani nyote ni wazima.
Kama hadaa yangu niendelee kutoa shukran za dhati sana kwa wanaoendelea kushare michongo mbalimbali.
Naomba Muendelee na moyo huo huo kwa kuwa tunajivunia kuwa sehemu ya watu tunaothubutu kuisaidia jamii yetu kujikwamua katika hali ngumu zinazowakabili.
Hivyo bhasi tuendelee kuwa faraja kwa wale waliokata tamaa hasa katika maswala ya utaftaji wa ajira, tukawe msaada kwao.
Ahsanteni sana na Mungu awabariki.
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo
Tupeane michongo.
Shukran sana kiongozi umetukumbusha kitu muhimu sana ndugu yangu.Uandikaji wa barua za kuomba kazi pamoja na CV ni moja ya changamoto kubwa sana kwa wanaoomba kazi! Kwa zaidi ya miaka 15 nimekuwa panelist kwenye kupitia barua za wanaoomba kazi, ku short list, na hatimaye kuwafanyia interview/usaili. Kama humu kuna mtu ambaye anahisi vipengele hivi viwili bado vinampa changamoto asisite kuomba msaada ili nimsaidie, pia naweza kujibu maswali yoyote ambayo mtu anayo juu ya vipengele tajwa hapo juu! Kuna candidates wengi ambao barua zao na CV huwa hatupotezi hata dakika 2 kuzipitia! Ni lazima uongeze uwezekano wa kupata kazi kwa kuhakikisha barua yako na CV vipo Sawa sawa! Imagine nafasi ya kazi labda ni moja na mlioomba ni 100! Unafikiri kila barua na CV vinasomwa na kupitiwa?!...Hapana! Hata ungekuwa wewe usingeweza. Lazima zitumike namna za kuzipunguza hizo barua na CVs ili kuwapata wachache ambao watapita kwenye “vigezo” vya ujumla na hatimaye ndipo tuweze sasa kuzisoma na kuona kama wanafaa au la!
0742186254 nipo Shinyanganitumie yako. Vipi unapatikana wapi? ukiwa mwanza itapendeza
Uandikaji wa barua za kuomba kazi pamoja na CV ni moja ya changamoto kubwa sana kwa wanaoomba kazi! Kwa zaidi ya miaka 15 nimekuwa panelist kwenye kupitia barua za wanaoomba kazi, ku short list, na hatimaye kuwafanyia interview/usaili. Kama humu kuna mtu ambaye anahisi vipengele hivi viwili bado vinampa changamoto asisite kuomba msaada ili nimsaidie, pia naweza kujibu maswali yoyote ambayo mtu anayo juu ya vipengele tajwa hapo juu! Kuna candidates wengi ambao barua zao na CV huwa hatupotezi hata dakika 2 kuzipitia! Ni lazima uongeze uwezekano wa kupata kazi kwa kuhakikisha barua yako na CV vipo Sawa sawa! Imagine nafasi ya kazi labda ni moja na mlioomba ni 100! Unafikiri kila barua na CV vinasomwa na kupitiwa?!...Hapana! Hata ungekuwa wewe usingeweza. Lazima zitumike namna za kuzipunguza hizo barua na CVs ili kuwapata wachache ambao watapita kwenye “
Mkuu legend binafs hii namini inaweza kuwa tatizo kwanguUandikaji wa barua za kuomba kazi pamoja na CV ni moja ya changamoto kubwa sana kwa wanaoomba kazi! Kwa zaidi ya miaka 15 nimekuwa panelist kwenye kupitia barua za wanaoomba kazi, ku short list, na hatimaye kuwafanyia interview/usaili. Kama humu kuna mtu ambaye anahisi vipengele hivi viwili bado vinampa changamoto asisite kuomba msaada ili nimsaidie, pia naweza kujibu maswali yoyote ambayo mtu anayo juu ya vipengele tajwa hapo juu! Kuna candidates wengi ambao barua zao na CV huwa hatupotezi hata dakika 2 kuzipitia! Ni lazima uongeze uwezekano wa kupata kazi kwa kuhakikisha barua yako na CV vipo Sawa sawa! Imagine nafasi ya kazi labda ni moja na mlioomba ni 100! Unafikiri kila barua na CV vinasomwa na kupitiwa?!...Hapana! Hata ungekuwa wewe usingeweza. Lazima zitumike namna za kuzipunguza hizo barua na CVs ili kuwapata wachache ambao watapita kwenye “vigezo” vya ujumla na hatimaye ndipo tuweze sasa kuzisoma na kuona kama wanafaa au la!
Anahitaji kazi halali yoyote ni msichana.Wakuu habari za weekend,
Kuna binti anahitaji kazi iwe dukani,mgahawa,usafi kwa yeyote mwenye details za mchongo kwenye field hizo atupie hapa.
Asanteni
mchongo kwa sasa ni kilimo tu,ukilima ekar 2 za alizet lazma utatoka na m4+,mafuta tz imekuwa tatzo wajanja tunachangamkia fursa hiiHabari nimeamua kuadika uzi huu kwa lengo la kusaidiana hasa kwa wale pata shida kwa kukosa ajira na kuishi kulimbikiza stress kichwa na wakti mwingine kufikia kujiwazia mabaya katika maisha yao.
Hivyo bhasi niombe wanzengo kama kuna mwenye mchongo wowote ilhali ni salama na usio kinyume sheria unaweza share ili kusaidia jamii yetu.
Lengo ni kujikwamu kimaisha.
Pia unaweza share mchongo+
Ushauri
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
#Tupeane Michongo.
mimi nadhani bora kwa sasa ungeenda kujiandikisha pale TAESA opposite na D.I.T ili wakutafutie intern ujishikize kwa kuanzia ukiwa huko ni rahisi kupata mchongo kuliko kukaa nyumbani maana wao wenyewe huwa wanatoa posho na huko utakapo pangiwa kufanya huwa pia wanakupa poshoDaah , Nashukuru Sana mkuu Mungu azidi kukubariki endelea kunisupport nipate japo nipate ata sehemu ya kujitolea maana mtaani kungumu sana
Afu na hapo garama za uwekezaji mpaka kuvuna Ni kiasi gani?mchongo kwa sasa ni kilimo tu,ukilima ekar 2 za alizet lazma utatoka na m4+,mafuta tz imekuwa tatzo wajanja tunachangamkia fursa hii
gharama zake so kubwa sana,mbegu peke ake ni 30,000 kwa hzo ekar mbil,haihtaj mbolea kama shamba linalutuba ata ya wastan na halihtaj mvua ya kutoxha ili listawi ,hasa pale linapochanua huhtaj ukame ili kupata alzet zenye mafuta mengAfu na hapo garama za uwekezaji mpaka kuvuna Ni kiasi gani?