[emoji120][emoji120][emoji120]gharama zake so kubwa sana,mbegu peke ake ni 30,000 kwa hzo ekar mbil,haihtaj mbolea kama shamba linalutuba ata ya wastan na halihtaj mvua ya kutoxha ili listawi ,hasa pale linapochanua huhtaj ukame ili kupata alzet zenye mafuta meng
Safi sana mkuuNipeni mchongo ndugu zangu nipo juu ya vigogo sina mchongo mishe yeyote sehemu yeyote nafanya ilimradi mkono uende kinywani
Shukran sana kwa kushitua mchongo huomchongo kwa sasa ni kilimo tu,ukilima ekar 2 za alizet lazma utatoka na m4+,mafuta tz imekuwa tatzo wajanja tunachangamkia fursa hii
Nipe raman kakaMwaga CV nikupe pa kuomba kazi
Kuna sehem umesema umewahi kuwa bar manager?FOR WHO IT MAY CONCERN;
I'm a young man of 32 yrs Old,I hereby write to indicate my interest for any vacant position in your Project or company according to my education level. I am a young and passionate individual with sound knowledge of client management and relationship. My Education level is Ordinary Level/College.
I used to work in a park (Serengeti) as a Curio Shop Cashier and Attendant since 2016,Waiter/Bartender in Tented Lodge,e.t.c . I have enough experience in various activities related to tourism because I was in a places that meets people in Tourism field such as Tour Guides, Camps and Lodges Workers,Balloon Crew and Tourists as well. Due to COVID-19,I had to go back home, so at present I haven't a specific job.
I will look forward to hearing from you, while I am available for an interview at your convenience.
My PM is OPEN. You're warmly welcome!
Haikua settings nahisi nilikula burnKaka kila nikitaka niku PM,inagoma... Inaonekana kwenye Privacy Settings zako hujaruhusu PM.
Naomba tuzungumze tafadhali!
Shukrani
Mkuu hio post ipo sema nahis bado ujajua kutumia huo mtandao,cheki kwenye activities.
Niliiona mkuu baada ya uchunguzi wa muda kidogo.Mkuu hio post ipo sema nahis bado ujajua kutumia huo mtandao,cheki kwenye activities.
Yaah. Nimewahi kuwa Meneja wa Bar kabla sijatimkia Porini kuangalia fursa nyingine mkuuKuna sehem umesema umewahi kuwa bar manager?
Kwa hiyo now iko OPEN mkuu?Haikua settings nahisi nilikula burn
SawiaNiliiona mkuu baada ya uchunguzi wa muda kidogo.
My appreciation.
Ndio kakaKwa hiyo now iko OPEN mkuu?
Mi naomba kazi jmn kwa mwenye connection ya waandishi wa article za kiswahili kama phonix ,opera na nyingine nyingi za kiswahili , nambeni kwa anaejua aniunganishe nami niandike articles zangu huko, nisaidieni jamani sina ajiraYaah. Nimewahi kuwa Meneja wa Bar kabla sijatimkia Porini kuangalia fursa nyingine mkuu
Wewe ni KE au MEMi naomba kazi jmn kwa mwenye connection ya waandishi wa article za kiswahili kama phonix ,opera na nyingine nyingi za kiswahili , nambeni kwa anaejua aniunganishe nami niandike articles zangu huko, nisaidieni jamani sina ajira
MeWewe ni KE au ME
Free call 21000 (miaka 3)Weka na bei,tukuungishe kwenye mchongo wako kama ni wa uhakika.
Yaan hizo GB 72 zitakuwa zinajiunga kila mwez au ni mara moja tu ndio zinakaa mwaka mzimaFree call 21000 (miaka 3)
GB 72 20000 ( mwaka mmoja//)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Huduma zote malipo baada ya kazi kwa uwakala zinatofautiana kila siku
Kama hujampata nicheki 0692114825Nahitaji mfanyakazi wa ndani,awe na jinsia ya kike,umri kati ya miaka 18-40 atakula na kulala kwangu,in case of emergency kama ataugua nitagharimia matibabu mimi,kuna issues kama za sikukuu ama mapumziko nitagharimia mimi,location ni Arusha mjini