GANA BANKS
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 608
- 872
Ni sawa tu mkuu mwache ajitangaze mm keshanisaidia gharama za bando, gb 6 wiki 2 si mchezo si habaHuu kweli ni uzi kwa ajili ya kupeana michongo 🙄
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]free call tigo IPO IPO IPO tuwahi!Ni sawa tu mkuu mwache ajitangaze mm keshanisaidia gharama za bando, gb 6 wiki 2 si mchezo si haba
Niunge mkuu ..fanya kweli Nina kaki apa..Naunganisha tgo gb 72 za mwaka mzima ambapo kila mwez utapata GB 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima Bei Pm. ( Malipo kabla ya kazi).
Pia naunganisha free call tgo kwa miaka 2 ( malipo baada ya kazi)
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Only for seriously people.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aisee wakuu kitaa ni kigumu sana. Nina leseni daraja D kama kuna boss anahitaji kuendeshwa dereva nipo. Naendesha gari vizuri tu na nina uzoefu wa kutosha kuendesha manual na Automatic.
Asanten sana wakuu.
Njoo nikuweke ndani binti usipate tabu na maisha.Habari ndugu zangu mwenye connection za sheli anisaidie au supermarket hali ngumu mtaani unaeza jikuta unafanya vitu vya ajabu hasa sisi mabinti [emoji22]
elimu yangu kidato cha nne
Unaweza kuzama shimoni kupiga sururu?Habarini..
Mwenye connection ya kazi ya ukemia(uchenjuaji/mineral processing) kwa geita nipo hapa dada yenu nina uzoefu na uaminifu pia katika kazi,mwenye plant ama connection naomba anisaidie hata kazi nyingine pia naweza kufanya kama kusimamia mradi,shell,storekeeper n.k...Maisha ni magumu bila ajira ndugu zangu naomba tusaidiane..
Asanteni..
Bado hujapata kazi?Msaada
Ndugu zangu naomba kujua kiwanda cha afya kiko wapi hapa dar es salaam na vipi kinatoa ajira au kibarua ?!msiniangushe nawaaminia
Asanteni
Niko Mimi naongea kifaransa na Spanish nipe mchongo.ANAHITAJIKA MWANAMKE ANAYEJUA KUONGEA SPANISH AWE ANAJUA KUTUMIA COMPUTER MSHAHARA MILLION 1.5 KAMA YUPO ANIPIGIE SIMU MUDA HUU 0742930458
Uko kote alipopiga kazi hakuwekeza? Kweli maisha haya...53
Ana nguvu yupo fiti sana.
Nichek pm mkuuNiunge mkuu ..fanya kweli Nina kaki apa..
Ndio mkuuBado hujapata kazi?
DuhhNjoo nikuweke ndani binti usipate tabu na maisha.