Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
I love myself
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂dah, wewe kweli uliumizwa. Maana kipimo cha maumivu ya kibongo ni kutumia kiingereza.
Ukisikia demu anakwambia ai heti u hata kama hajui kizungu basi juwa umemuumiza hasa.
NimefikaNgoja waje....
Akiondoka kaondoka.Habari wanaJF,
Naamini kwa idadi kubwa ya watu wa humu, kunaye mtu uliyewahi kumpenda na pia bado unampenda lakini kuna mambo yalitokea hadi hivi sasa haupo karibu nae au haupo nae katika mahusiano.
Je, unamkumbuka ni nani na kilitokea nini hadi hali kama hiyo ikatokea ilhali bado unampenda?
Karibuni kwenye uzi kwa visa vyenu murua.
Hakika,ni kujishusha thamani kabisaAkiondoka kaondoka.
Kulazimisha mapenzi ni tabia mbaya.
Kuna mtu bado Unapenda ingali mlishaachana? Sidhani kama nawe ni dhaifu kiasi hichoNimefika
Kupenda sio udhaifu ila kuzidi kumpenda mutu asiekuhitaji n udhaifu mukubwa sana mama yeyooKuna mtu bado Unapenda ingali mlishaachana? Sidhani kama nawe ni dhaifu kiasi hicho
Yani wewe haumo??😁😊Ngoja waje....
Kwan kasema tutaje wapenzi tulionao? Amesema ex afu bado unampenda.Yaan mtu mmeachana afu bado unampenda....sijui walimwengu wengine wanakuwa wamekufaa🤔☹️ akipita amepitaYani wewe haumo??😁😊
Hakika, akiondoka nawe ondoka tu....yaan jitahidi kuondoka.... hakuna kiumbe kibaya na chenye roho mbaya kama mwanadamu hasa akijua kwake umetua mabegi.Kupenda sio udhaifu ila kuzidi kumpenda mutu asiekuhitaji n udhaifu mukubwa sana mama yeyoo
Mapenzi hayana ukomo. Mama Mahusiano, ndio.Kwan kasema tutaje wapenzi tulionao? Amesema ex afu bado unampenda.Yaan mtu mmeachana afu bado unampenda....sijui walimwengu wengine wanakuwa wamekufaa🤔☹️ akipita amepita
Hakika ni kweli kabisa akuna kuweka kambi kwa mtu asiekuhitaji, nilishamwambia hadi yule msabato Ms RHakika, akiondoka nawe ondoka tu....yaan jitahidi kuondoka.... hakuna kiumbe kibaya na chenye roho mbaya kama mwanadamu hasa akijua kwake umetua mabegi.
Naanzaje kupenda mtu ambae hajawahi kuwa na ex, yaani zero experience 😅we mwanaume weweee lini umenambia mimi ivoo ujue sijawahi kupendwa jaribu wewe bas😌
huo ujuzi naanzia kwako bwana,,usiogope sitakupga matukio ya kutisha nitakuhurumia kidogoNaanzaje kupenda mtu ambae hajawahi kuwa na ex, yaani zero experience 😅
Nyie oneni, natongozwa hukuhuo ujuzi naanzia kwako bwana,,usiogope sitakupga matukio ya kutisha nitakuhurumia kidogo
Ndugu yangu...ukitaka uchunde mweke ex moyoni....hata ndoa yako haitakuwa nzuri.Mtu stahiki kupendwa ni yule uliyenaye muda huuMapenzi hayana ukomo. Mama Mahusiano, ndio.
Nakazia mno, sana, kabisa, vilivyo.Mtu stahiki kupendwa ni yule uliyenaye muda huu