Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,116
- 2,616
Cc. blessed chiqqah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejuaje tuanzie apo,,pia naomba nianze kukuita wifi kabisaaaaYupo single huyo,mkamatie aisee
Yupo tu ...anarandaranda kwenye korido za jf... Half american au nasema uongo?umejuaje tuanzie apo,,pia naomba nianze kukuita wifi kabisaaaa
🥲😄😄😄Kwa sisi wa kununua mapenzi pale tunapohitaji tu huu uzi hautuhusu.
Demu wangu Mwajuma kishuzi kwenye tangazo lake la Telegram kaweka kabisa kwa elfu 20 mnatiana kama upo na mpenzi wako. Ukikojoa tu na upenzi unaishia hapo hapo.
Kama ni ivo,basi kwa sounds zangu hatachomokaYupo tu ...anarandaranda kwenye korido za jf... Half american au nasema uongo?
Imeisha hiyo 🥴Kama ni ivo,basi kwa sounds zangu hatachomoka
Katika kitu utapatia hadi kupewa tuzo mbinguni ni kumsikiliza To yeyeYupo tu ...anarandaranda kwenye korido za jf... Half american au nasema uongo?
Alipata kadume kwenye mpunga zaidi na anakatawala,hakapumui!Habari wanaJF,
Naamini kwa idadi kubwa ya watu wa humu, kunaye mtu uliyewahi kumpenda na pia bado unampenda lakini kuna mambo yalitokea hadi hivi sasa haupo karibu nae au haupo nae katika mahusiano.
Je, unamkumbuka ni nani na kilitokea nini hadi hali kama hiyo ikatokea ilhali bado unampenda?
Karibuni kwenye uzi kwa visa vyenu murua.
Asiponielewa baasi🥴 Hakika hakika 👊
Kwamba?ishia apa apa nna D mbili pure kabsa
umenielewa 🤣🤣Kwamba?
Acha wogahapa umedanganya,najua ni harakati za kumtetea kijana Half american ili nishushe nyuzi zaidi😂😂🙌🏾
Sijakuelewa nieleweshe.umenielewa 🤣🤣
Hili ndo la muhimu snVijana mnateswa sana na mapenzi.
Komaeni kutengeneza maisha yenu achaneni na wasaka fursa.