Uzi kwa ajili ya mtu uliyempenda na bado unampenda lakini aliondoka ghafla katika ukaribu wenu

Kwa sisi wa kununua mapenzi pale tunapohitaji tu huu uzi hautuhusu.

Demu wangu Mwajuma kishuzi kwenye tangazo lake la Telegram kaweka kabisa kwa elfu 20 mnatiana kama upo na mpenzi wako. Ukikojoa tu na upenzi unaishia hapo hapo.
πŸ₯²πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Alipata kadume kwenye mpunga zaidi na anakatawala,hakapumui!
 
Dada Prishaz alimtorosha mchuchu wangu nayempenda miaka buku... eti kisa sina ng'ombe wa kuhonga.

Prishaz sitokusamehe kwa hili. Bado namzimia sana huyo manzi.

Mie komandoo wa mapenzi, ila kwa ile asali walahi niko mateka! 😎

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…