BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,174
- 1,196
Umepost viti vyeusi ukarasa no 1 nipe bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coffee table 80000
Tabata segereaView attachment 869718
Fanya 65k uje uchukueMkuu uko wap?? Kama inalipa nikupe 50k
Taja ofa yakoNatafuta king'amuzi cha star time, cha antena.
Unanunua unapoona nafuuMzee Baba bei zako bora niende GSM Mall
Mkuu vimeshatokaUmepost viti vyeusi ukarasa no 1 nipe bei
Elfu 30Taja ofa yako
Kabisa ajipange upya na bei zakeHiz bei ni zaidi ya dukani kabisaaa..
Hailipi mkuu kama una 40 uje uchukue na remote yakeElfu 30
Nchi gani hiyo hizo bei??Asante mkuu kuna watu wengi hawajui bei za vitu lakini wanawahi kulalamika vitu vina bei kuliko vipya ..
Godoro la inch 8 linaenda 270 hadi 300
Bado watu wanaona bei Ni kubwa kuliko dukani
Rai yangu.. kama hujui bei ya kitu kipya uliza kwanza kuliko kucomment Kama Una uhakika.. Kufanya hivyo Ni kupoteza sifa ya muuzaji
Wewe unaona kubwa wenzako wananunua wewe ndio ujipangeKabisa ajipange upya na bei zake
Wewe sio mteja nakuchulia kama mpinga kristo kama huwezi kununua kitu kaa pembeniNchi gani hiyo hizo bei??
Viko wapi hivi viti?Sofa 270,000 ..zoteView attachment 869696
Tabata segerea mkuuViko wapi hivi viti?
Daaah vingekuwa Arusha ningevichukua keshoTabata segerea mkuu
Nimepishana na hela master wanguDaaah vingekuwa Arusha ningevichukua kesho
Kweli mkuu huko mbali sana inawezakuwa gharama kubwa kusafirishaNimepishana na hela master wangu