Uzi maalum kwa wale wanaomuamini Mungu muumba

Asante mkuu. Nimekuelewa vizuri.
 
first civilised society ni kemet(ancient egypt)
hao wengine sijui umewaokotea wapi
 
unaamini yule mzungu ndiye mungu unayemuamini wewe?
 
first civilised society ni kemet(ancient egypt)
hao wengine sijui umewaokotea wapi
Hapo tutaingia kwenye mjadala ambao haujapata hitimisho kati ya Sumer(along side ancient rivers Tigris and euphrates) na egypt (civilization along river nile) nani wa kwanza kujanjaruka.
Ila kwa ushahidi wa kisasa ambao Unaumana na Biblical history Sumer au babeli imekuwepo katika civilization kuliko hata hiyo misri unayoiamini mkuu.
hermes ndio orginator hata wa ibada nyingi za huko misri na kuna miungu mingi tu yenye majina sanjari na miungu ya babeli.
We are coming from ancient babylon and the word is returning to babylon with the speed of photon.
nothing new.

God exist. haya unayoyaona yalianzia Sumer, babylon siku kadhaa baada ya 17/7 wa kiyahudi baada ya safina kutua juu ya mlima hararati na watu wakaanza kuzaliana na kuasi upya kisha kusambaa dunia nzima.
 
Mungu yupo Jana nmetumiwa meseji toka mwaka 2020 .. Sababu ya act nlyotaka kuifanya .. Tena mesej imetumwa siku ya birth day yangu aisee nyie hii dunia INA maajabu sana aisee
 
hakuna kitu kama hicho
alexander the invader kutoka mesopotania alifundishwa ustaarabu egypt alipofanya uvamizi wake wa kihuni
usilete habari za kutunga za safina nilishakwambia
hakukuwahi kuwepo gharika ya nuhu
kasome kitabu cha Dr.Ben Yosef Jochannan (Africa,the source of western civilization) na uachane hao watoto wanaotupia ujinga huko wikipedia
 
hahaha mkuu nikusahihishe kwanza naona kuna magap kwenye sentensi au hao jamaa wanakupotosha au umebobea kwenye story za upande mmoja.

Alexander hakuwahi kuwa mmesopotamia. Alikuwa Mgiriki kijana mwanafunzi wa SOCRATE.

ndio maana nimekukumbusha tu.

Safari ilianzia Babylon, Ikaenda Misri, wagiriki wakajifunza huko akiwemo na Aristotle wengi wamekuwa wanafunzi wa philosophia huko misri. Warumi kwa kuwahusudu wagiriki wakaiga kwao kila kitu hadi miungu ila wakaipa majina yao.

Mungu yupo. hizo story za hao wazee na waandishi achana nazo.
 

Mungu ni imani tu. Na imani ni kitu cha kufikirika tu.

Mtaishia kusema mungu yupo mungu yupo lakini kujibu maswali mepesi juu ya huyo mungu hamuwezi.

Saying it so doesn’t make it so.
 
inawezekana nimechanganya mesopotania na macedonia...alexander ana asili ya moja ya hayo majina mawili..neno greec lilikuja badae
alexander na wavamizi wenzake by the time wanafika kemet walikuta watu wana ustaarabu wa miaka elfu kadhaa
hata homer(wagiriki wanamtukuza ndiye mwandishi wa kwanza) alienda kujifunza uandishi misri
akina socrates,aristotle,plato wote walienda misri kujifunza
taifa la ugiriki lilizaliwa miaka si zaidi ya 1000 before common era
warumi kujifunza kutoka kwa ugiriki ni baada ya kuwafukuza wagiriki misri na kukuta lugha yao imetamalaki kule
 
Nizuie basi. Au kama vipi muombe mungu wako anizuie.
Huu ni ukorofi wa wazi kabisa umeambiwa huu ni Uzi special kwa wale wanaomuamini Mungu. Sasa wewe usiemuamini sijui unatafuta nini humu!?

Afu unasema tumwambie Mungu wetu akuue..kama Kova mwenyewe hafanyi kazi kwa unlawful orders kama zako basi Mungu wetu ni zaidi... Hawezi kufanya Kazi kwa unlawful order zako hizi chief.
 
Mm kuna baadhi ya comment nikizisoma zinaniletea ukakasi mdomoni, JAMANI ACHENI KUKUFURU, BINAADAMU ATUNA UJANJA, ATUJUI MUDA GANI MTU ATAREJEA KWA MUUMBA, VIBURI IVYO ATA KINA FIRAUNI WALIKUA NAVYO NA KILICHOWATOKEA TUNAKIELEWA, NA ULE NI MFANO KUWA MUNGU YUPO, OMBENI MSAMAHA NA MURUDI KWA MOLA WENU HARAKA HAMJACHELEWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…