Uzi maalum kwa wale wanaomuamini Mungu muumba

Uzi maalum kwa wale wanaomuamini Mungu muumba

naamini in african spirituality
hatuhitaji intermediate kumjua mungu
na tulikuwa na imani hii kabla ya copycats wenu wanaoitwa yehova,jesus and allah miaka 4100 kabla
kwa hiyo Mungu yupo au.
naomba mtazamo wako.
Je nikikwambia hata hiyo african spirituality uliletewa utakataa.
 
kwa hiyo Mungu yupo au.
naomba mtazamo wako.
Je nikikwambia hata hiyo african spirituality uliletewa utakataa.
siamini katika neno mungu
naamini katika neno muumba
african spirituality lisikuchanganye sababu nimeliandika kwa lugha ya malkia ukadhani nimeletewa na mzungu
 
Mpaka pumzi yangu ya mwisho nitakufa nasema...
Nasadiki kwa Mungu mmooja Muumba wa mbingu na nchi na kwa YESU kristo mwana wa pekee, Bwana wetu alitungwa kwa roho mtakatifu akazaliwa na bikira maria. Akafa, Akafa,akafufuka akapaa mbinguni.
Atarudi tena soooon.
Nasadiki kwa roho mtakatifu kanisa katoriki ushirika wa Watakatifu.
 
siamini katika neno mungu
naamini katika neno muumba
african spirituality lisikuchanganye sababu nimeliandika kwa lugha ya malkia ukadhani nimeletewa na mzungu
sawa. kama mtu anamuita Muumba Mungu vipi hapo mko sawa.
sijachanganywa na kimalkia mkuu, hata hiyo ya jadi umeletewa ndicho nilichokueleza.
unachofanya chote huko jadini kilikuwepo miaka yote huko mashariki ya kati.
 
nimuamini hyu yesu wako wa kwenye biblia ambaye alidanganya wazi hapa
Matthew 16:28
28 “Truly I say to you, there are some of those who are standing here who will not taste death until they see the Son of Man coming in His kingdom.”
Yesu hakusema uongo kwa sababu kila alilosema alipewa na Mungu kuyasema....ndio kuna watu Mungu alijua hao hawataonja mauti ....soma habari za Elliah na Musa je Mungu akiahidi hata timiza? Hesabu 23:19. hata hivyo paragumu itakapolia Mungu alisema atawachukua walio hai na wafu ikilia leo mimi na wewe tutaenda wapi mana najua leo tuko hai.
 
sawa. kama mtu anamuita Muumba Mungu vipi hapo mko sawa.
sijachanganywa na kimalkia mkuu, hata hiyo ya jadi umeletewa ndicho nilichokueleza.
unachofanya chote huko jadini kilikuwepo miaka yote huko mashariki ya kati.
quran and bible are books written from and by men for mere moral leadership of the respective societies
in fact kama walivyocopy kutoka "the egyptian book of the dead" kilichoandikwa miaka 5000 kabla quran na biblia
 
Yesu hakusema uongo kwa sababu kila alilosema alipewa na Mungu kuyasema....ndio kuna watu Mungu alijua hao hawataonja mauti ....soma habari za Elliah na Musa je Mungu akiahidi hata timiza? Hesabu 23:19. hata hivyo paragumu itakapolia Mungu alisema atawachukua walio hai na wafu ikilia leo mimi na wewe tutaenda wapi mana najua leo tuko hai.
basi mungu wake alisema uongo
halafu unavyosema kila alilosema alipewa na mungu kusema unamaanisha sio mungu?
 
quran and bible are books written from and by men for mere moral leadership of the respective societies
in fact kama walivyocopy kutoka "the egyptian book of the dead" kilichoandikwa miaka 5000 kabla quran na biblia
mzee wako akiandika historia ya ukoo wenu mwaka jana, inamaanisha babu kizaa babu yake na babu yake anaumri wa mwaka mmoja?

je unajua hata hao wamisri waliyoaandika ni copy paste?
 
mzee wako akiandika historia ya ukoo wenu mwaka jana, inamaanisha babu kizaa babu yake na babu yake anaumri wa mwaka mmoja?

je unajua hata hao wamisri waliyoaandika ni copy paste?
wacopy kwa nani wakati historically ndio society ya kwanza iliyogundua maandishi (medu neter)
 
Dalili kubwa kabisa na ya pekee inayoweza kukufanya ujue kama Mungu yupo, (ambayo isipokutokea katika maisha yako, huwezi kujua kuwa Mungu yupo hata kama ungeishi miaka million 3), ni hii hapa: ni pale tu inapotokea unakuja kugundua kuwa matukio karibia yote uliyokuwa unayaona katika maisha yako kuwa ni coincidences, hazikuwa coincidences na yana conform to a certain very well organised pattern, na ya hali ya juu sana kuonyesha kuwa yalikuwa deliberately planned but by no one you know of in this world, except that either nature au someone special, na yamekuwa organised katika namna ambayo hata wewe mwenyewe ungeambiwa uyapange kwa utaalamu huo, usingeweza.

Sasa ukirudi kwenye nature, yenyewe haina organised pattern, ina random pattern au coincidences tu na ndiyo maana inapotokea kuna pattern somewhere inabidi watu wafanye utafiti, kwa mfano the most poular case of the Bermuda Triangle, watu walishtuka baada ya kuona kama kuna pattern ikabidi waanze kufanya utafiti. Nature huwa haina organized pattern na ukikuta kuwa organized pattern ipo, na katika matukio ambayo ni natural kwa maana kwamba si binadamu anayehusika wala si nature inayohusika, then huyo ni Mungu. Hiyo ndiyo revealation pekee hapa duniani inayoweza kukufanya u-confirm uwepo wa Mungu.

Revealation ya namna hii huwa inatokea kwa kila binadamu ila uwezo wetu wa ku-capture scenes za namna hii ndiyo tunaotofautiana kwa kiwango kikubwa sana, lakin the best thing ni kwamba kila mwanadamu anao. Hata hivyo, mwingine anakuwa ana uwezo mdogo mno wa kuona pattern from a mixed set of several coincidences na hii ndiyo inakuwa shida, hawezi akaja aka-discern uwepo wa Mungu hata angeishi miaka billion 10!

Kwa mfano Kanisani kuna kitu kinaitwa Ujazo wa Roho Mtakatifu. Watu walioko kanisani wana-enjoy karama hii kwa viwango tofauti tofauti , hawafanani, na kulingana na wanavyoamini ni kwamba wale ambao hawako Kanisani hawana karama hii. Still, utafiti wangu umekuja kunionyesha kuwa watu wote wana Karama hii, isipokuwa inakuwa enhanced zaidi kwa mtu anayeenda Kanisani ukilinganisha na yule ambaye huwa haendi. Lakini hata wale ambao wamo Kanisani, wanaipokea kwa viwango tofauti tofauti, hawalingani. Na kwa wale ambao huwa hawaendi kabisa makanisani walishaibatiza jina MACHALE, bila kujua kuwa ni Roho Mtakatifu!

By the way, let me pose a fundamental question to you. Hapo ulipo sasa hivi kuna vitu physical vimekuzunguka, ambavyo si viumbe hai. Vyote ni kazi ya mikono ya wanadamu. Je, kwa vile ambavyo si kazi ya mikono ya wanadamu ukiwemo wewe mwenyewe, ni kazi ya nani?

cc: Kiranga
Asante sana kwa elimu uliyotupa haya ni madini matupu nitashangaa bado kuna watu watayakataa ....Barikiwa sana.
 
basi mungu wake alisema uongo
halafu unavyosema kila alilosema alipewa na mungu kusema unamaanisha sio mungu?
Mungu ni roho asingeweza kuja kama roho duniani kubadilisha mfumo uliokuwepo wa utawala ilibidi auvae mwili hapa ndipo Yesu msingi wake ulipo. Yesu ni Mungu huyo huyo alikuja ili abadilishe mfumo ulikuwepo ambao shetani aliweka. Kumbuka hata shetani alipotupwa duniani alitafuta mwili ili kumshawishi Eva kumuasi Mungu ndipo akavaa mwili wa nyoka.
 
Acha tu Mimi niamini mungu yupo kwa sababu sasa vitu vyote hivi tunavyoviona mfano dunia,jua,galaxies nk vimeundwa na nani sasa?
Halafu pia kingine najiuliza huyu mungu aliundwa na nani sasa?
 
Mungu ni roho asingeweza kuja kama roho duniani kubadilisha mfumo uliokuwepo wa utawala ilibidi auvae mwili hapa ndipo Yesu msingi wake ulipo. Yesu ni Mungu huyo huyo alikuja ili abadilishe mfumo ulikuwepo ambao shetani aliweka. Kumbuka hata shetani alipotupwa duniani alitafuta mwili ili kumshawishi Eva kumuasi Mungu ndipo akavaa mwili wa nyoka.
kwa hiyo mungu alikuja duniani na kuiacha mbingu/kiti cha mbinguni wazi
na mungu(yesu) alipokufa nani alikuwa in-charge?!!!
 
Acha tu Mimi niamini mungu yupo kwa sababu sasa vitu vyote hivi tunavyoviona mfano dunia,jua,galaxies nk vimeundwa na nani sasa?
Halafu pia kingine najiuliza huyu mungu aliundwa na nani sasa?
Ukifika hapo Mungu aliumbwa na nani? Ndio utagundua akili zetu tunazoziaminia kwamba ni kubwa kwa Mungu ni ujinga sana na hatuwezi kumchunguza na kuijua njia zake...maana mwisho wa akili zetu ndio mwanzo wa akili zake.

He knows it all!
 
wacopy kwa nani wakati historically ndio society ya kwanza iliyogundua maandishi (medu neter)
hapo inategemea.
wasumeria(Sumer) au wababylon au wakazi wa kusini mwa mesopotamia wanasadikiwa kuanza kuandika karne mbili kabla ya wamisri.
lkn pia kucopy na kupaste sio lazima maandishi. ndio maana nimekwambia hata uchawi na dini za kiafrika sio orgin bali ni c/p. they wewe there in ancient mesopotamia mamiaka kibao tu.

hapo ndipo uchawi,maandishi mengi ya kupinga Mungu huku wakikumbatia miungu yalichupukia. Yakaingilia Misri, yakiibukia ugiriki na rumi kisha kusambazwa kwa lugha tamu na usomi katka dunia ya sasa. mengi yanayofanyika leo Kupinga Mungu ni marudio mkuu.
 
kwa hiyo mungu alikuja duniani na kuiacha mbingu/kiti cha mbinguni wazi
na mungu(yesu) alipokufa nani alikuwa in-charge?!!!
Alipokuja aliacha kila kitu akaja kama mwanadamu wa kawaida akaishi kama mwanadamu tofauti ni jinsi gani mimba yake ilipatikana....aliishi kama mwanadamu wa kawaida ili basi tuamini ya kwamba anatoka katika kiti cha enzi na kupitia maisha tupate ukombozi na pia kutufundisha habari za ufalme wa mbinguni. Kifo cha Yesu na ufufuko wake ndio uliokamilisha kazi ya kukomboa wanadamu. Baada ya kufa sikuya tatu alifufuka akarudi kwenye kiti chake.
 
Safi sana kwa Maelezo mazuri,lakini naona kwa kiasi kikubwa yemehitimishwa kwa "God of the gaps"

Vipi bwana Antony anadai kuwepo Mungu yupi..? Mungu biblia au Quran..? au Intelligent designer.

Baadhi ya watu walidai bwana Roy mambo mengi yaliyoandikwa alimlisha bwana Flew kutokana na hali yake iliyokuwa ikielekea kwenye mental decline japo mwenyewe alikana tuhuma hizo.

Mungu wa biblia au Qur'an kwa njisi sifa zake lukuki zinavyoelezewa kwangu Mimi hayupo, lakini tunaweza kuweka mjadala wa labda kuna kitu au muumba wa ulimwengu lakini haingilii mfumo wa maisha wa binadamu hata kidogo.
 
Ukifika hapo Mungu aliumbwa na nani? Ndio utagundua akili zetu tunazoziaminia kwamba ni kubwa kwa Mungu ni ujinga sana na hatuwezi kumchunguza na kuijua njia zake...maana mwisho wa akili zetu ndio mwanzo wa akili zake.

He knows it all!
Ngumu sana kuchunguza kitu kilichokuunda na kukupa maarifa

Sisi tumejikuta tupo dunia tunaishi na tutakufa,mambo mengine yatajipa huko yenyewe.
Aina haja hata ya kuumiza sana kichwa
 
Back
Top Bottom