Uzi maalum kwa wale wanaomuamini Mungu muumba

Uzi maalum kwa wale wanaomuamini Mungu muumba

kama umekuwa ukinifuatilia humu utagundua sijawahi kupinga uwepo wa muumba
tatizo langu lipo kwa yehova na allah
Huko Mimi siingiliii na huna haja ya kupinga kwa nguvu sana muhimu ni kuwaacha wengine waendelee kuamini wanavyoamini wao.

Kwa vile umeamini God exist basi you are safe.
 
MUNGU yupo ,Aliyekuumba bila ww kutaka,ila kumrudia ni Hiyari yako au kinyume chake.
Matatizo wanayulalamika Mengi tumeyatengeneza ss Wanadamu

Ukitoka nje ya mstari unakutana na Adhabu.
Mungu yupo na shetani yupo wote tumeona kazi zao

MUNGU yupo,yupo,yupo ,yu Hai.Alitenda na anatenda mpaka milele.Hana mwanzo wala mwisho pia na matendo yake vivyo hivyo.
Amina
 
hivi nyinyi watu weusi nani kawaroga?
yani unaamini hadithi za kitoto za kwenye hayo maandishi yanayoitwa biblia?
ndio maana tunafoutiana kuhusu mungu
wengine mnaposema mungu yupo mnakuwa mnamaanisha yesu ndio mungu...pitiful
Wapi mimi nimetaja Yesu? kwani wewe umetumia nini kuleta bandiko lako? Samahani hivi hao wanasayansi waliokiri kuwa yupo supreme being ni waafrika!!! Biblia haina tofauti na hizo doctrine zingine kama utaisoma ukiwa umejilimit kiasi hicho unasoma ukiwa na mentality hiyo sishangai majibu yako.....read bible with free mind braza you will meet God because God is pure.
 
Kuna myth nyingi sana kwenye haya maswala ya Mungu kuwepo, kutokuwepo, dini zetu nk nk.

Ukisoma sana haya mambo unajikuta unabaki na sintofahamu, huu mjadala hautakaa upate mshindi.
 
Namwamini Mungu wangu muumba mbingu na nchi kwa kuniamsha salama kila siku iitwayo leo, amekuwa mwema sana kwangu anayonitendea ni zaidi na ninayostahili

Kuna mda nakwenda tofauti na mipango yake lakini ananisamehe na kunipa nafasi nyingine

Sina cha kukulipa Mungu wangu zaidi ya kulitukuza na kulisifu jina lako
Ameen
 
Huko Mimi siingiliii na huna haja ya kupinga kwa nguvu sana muhimu ni kuwaacha wengine waendelee kuamini wanavyoamini wao.

Kwa vile umeamini God exist basi you are safe.
tuwaache waendelee kuliwa hela zao eti sadaka
 
Wapi mimi nimetaja Yesu? kwani wewe umetumia nini kuleta bandiko lako? Samahani hivi hao wanasayansi waliokiri kuwa yupo supreme being ni waafrika!!! Biblia haina tofauti na hizo doctrine zingine kama utaisoma ukiwa umejilimit kiasi hicho unasoma ukiwa na mentality hiyo sishangai majibu yako.....read bible with free mind braza you will meet God because God is pure.
nimuamini hyu yesu wako wa kwenye biblia ambaye alidanganya wazi hapa
Matthew 16:28
28 “Truly I say to you, there are some of those who are standing here who will not taste death until they see the Son of Man coming in His kingdom.”
 
Mungu muweza wa yote, mwenye mapenzi kemkem, aliyepo mahali kote kwa wakati wote, na tararira zingine kama hizo, mpaka hivi sasa mungu huyo hakuna ushahidi wa uwepo wake.

Hilo mkubali mkatae, ndo ukweli wenyewe huo.

Huyo mungu mnayedai yupo anafeli mitihani midogo na myepesi sana ya maswali ya kawaida kabisa.

Jana/ leo imeletwa habari humu kuwa kuna mchungaji huko Ethiopia kauliwa na mamba ziwani alikokuwa anawabatiza sijui waumini wake wale.

Huyo mchungaji alikuwepo hapo ziwani akifanya kazi ya ki-mungu. Na nadhani ni haki nikimuita huyo mchungaji kuwa ni 'wakala' wa mungu.

Sasa huyo mungu alikuwa wapi kumnusuru kifo huyo 'wakala' wake? Iweje huyo mungu akampa akili na uwezo huyo mamba wa kumshambulia huyo 'wakala' wake huko ziwani hadi kumuua?

Sijawahi hata kuparuriwa na paka lakini nadhani kung'atwa na mamba hadi ufe kunauma kweli kweli.

Huyo mungu alishindwa nini kumnusuru huyo 'wakala' wake kuepuka hayo maumivu?

Ukweli ni kwamba mpaka hivi sasa hakuna ushahidi wa huyo mungu. Kilichopo ni mambo ya kufikirika tu, au waweza kuyaita 'imani'.

Kwa hiyo, kwangu mimi, mpaka hivi sasa huyo mungu ni kiumbe msasili [mythical figure].

Hakuna ushahidi unaothibitisha, unaotosha, na unaohitimisha kuhusu uwepo wake.

Dalili kubwa kabisa na ya pekee inayoweza kukufanya ujue kama Mungu yupo, (ambayo isipokutokea katika maisha yako, huwezi kujua kuwa Mungu yupo hata kama ungeishi miaka million 3), ni hii hapa: ni pale tu inapotokea unakuja kugundua kuwa matukio karibia yote uliyokuwa unayaona katika maisha yako kuwa ni coincidences, hazikuwa coincidences na yana conform to a certain very well organised pattern, na ya hali ya juu sana kuonyesha kuwa yalikuwa deliberately planned but by no one you know of in this world, except that either nature au someone special, na yamekuwa organised katika namna ambayo hata wewe mwenyewe ungeambiwa uyapange kwa utaalamu huo, usingeweza.

Sasa ukirudi kwenye nature, yenyewe haina organised pattern, ina random pattern au coincidences tu na ndiyo maana inapotokea kuna pattern somewhere inabidi watu wafanye utafiti, kwa mfano the most poular case of the Bermuda Triangle, watu walishtuka baada ya kuona kama kuna pattern ikabidi waanze kufanya utafiti. Nature huwa haina organized pattern na ukikuta kuwa organized pattern ipo, na katika matukio ambayo ni natural kwa maana kwamba si binadamu anayehusika wala si nature inayohusika, then huyo ni Mungu. Hiyo ndiyo revealation pekee hapa duniani inayoweza kukufanya u-confirm uwepo wa Mungu.

Revealation ya namna hii huwa inatokea kwa kila binadamu ila uwezo wetu wa ku-capture scenes za namna hii ndiyo tunaotofautiana kwa kiwango kikubwa sana, lakin the best thing ni kwamba kila mwanadamu anao. Hata hivyo, mwingine anakuwa ana uwezo mdogo mno wa kuona pattern from a mixed set of several coincidences na hii ndiyo inakuwa shida, hawezi akaja aka-discern uwepo wa Mungu hata angeishi miaka billion 10!

Kwa mfano Kanisani kuna kitu kinaitwa Ujazo wa Roho Mtakatifu. Watu walioko kanisani wana-enjoy karama hii kwa viwango tofauti tofauti , hawafanani, na kulingana na wanavyoamini ni kwamba wale ambao hawako Kanisani hawana karama hii. Still, utafiti wangu umekuja kunionyesha kuwa watu wote wana Karama hii, isipokuwa inakuwa enhanced zaidi kwa mtu anayeenda Kanisani ukilinganisha na yule ambaye huwa haendi. Lakini hata wale ambao wamo Kanisani, wanaipokea kwa viwango tofauti tofauti, hawalingani. Na kwa wale ambao huwa hawaendi kabisa makanisani walishaibatiza jina MACHALE, bila kujua kuwa ni Roho Mtakatifu!

By the way, let me pose a fundamental question to you. Hapo ulipo sasa hivi kuna vitu physical vimekuzunguka, ambavyo si viumbe hai. Vyote ni kazi ya mikono ya wanadamu. Je, kwa vile ambavyo si kazi ya mikono ya wanadamu ukiwemo wewe mwenyewe, ni kazi ya nani?

cc: Kiranga
 
Dalili kubwa kabisa na ya pekee inayoweza kukufanya ujue kama Mungu yupo, (ambayo isipokutokea katika maisha yako, huwezi kujua kuwa Mungu yupo hata kama ungeishi miaka million 3), ni hii hapa: ni pale tu inapotokea unakuja kugundua kuwa matukio karibia yote uliyokuwa unayaona katika maisha yako kuwa ni coincidences, hazikuwa coincidences na yana conform to a certain very well organised pattern, na ya hali ya juu sana kuonyesha kuwa yalikuwa deliberately planned but by no one you know of in this world, except that either nature au someone special, na yamekuwa organised katika namna ambayo hata wewe mwenyewe ungeambiwa uyapange kwa utaalamu huo, usingeweza.

Sasa ukirudi kwenye nature, yenyewe haina organised pattern, ina random pattern au coincidences tu na ndiyo maana inapotokea kuna pattern somewhere inabidi watu wafanye utafiti, kwa mfano the most poular case of the Bermuda Triangle, watu walishtuka baada ya kuona kama kuna pattern ikabidi waanze kufanya utafiti. Nature huwa haina organized pattern na ukikuta kuwa organized pattern ipo, na katika matukio ambayo ni natural kwa maana kwamba si binadamu anayehusika wala si nature inayohusika, then huyo ni Mungu. Hiyo ndiyo revealation pekee hapa duniani inayoweza kukufanya u-confirm uwepo wa Mungu.

Revealation ya namna hii huwa inatokea kwa kila binadamu ila uwezo wetu wa ku-capture scenes za namna hii ndiyo tunaotofautiana kwa kiwango kikubwa sana, lakin the best thing ni kwamba kila mwanadamu anao. Hata hivyo, mwingine anakuwa ana uwezo mdogo mno wa kuona pattern from a mixed set of several coincidences na hii ndiyo inakuwa shida, hawezi akaja aka-discern uwepo wa Mungu hata angeishi miaka billion 10!

Kwa mfano Kanisani kuna kitu kinaitwa Ujazo wa Roho Mtakatifu. Watu walioko kanisani wana-enjoy karama hii kwa viwango tofauti tofauti , hawafanani, na kulingana na wanavyoamini ni kwamba wale ambao hawako Kanisani hawana karama hii. Still, utafiti wangu umekuja kunionyesha kuwa watu wote wana Karama hii, isipokuwa inakuwa enhanced zaidi kwa mtu anayeenda Kanisani ukilinganisha na yule ambaye huwa haendi. Lakini hata wale ambao wamo Kanisani, wanaipokea kwa viwango tofauti tofauti, hawalingani. Na kwa wale ambao huwa hawaendi kabisa makanisani walishaibatiza jina MACHALE, bila kujua kuwa ni Roho Mtakatifu!

By the way, let me pose a fundamental question to you. Hapo ulipo sasa hivi kuna vitu physical vimekuzunguka, ambavyo si viumbe hai. Vyote ni kazi ya mikono ya wanadamu. Je, kwa vile ambavyo si kazi ya mikono ya wanadamu ukiwemo wewe mwenyewe, ni kazi ya nani?

cc: Kiranga
Maandishi murua sana haya uliyoandika muhimu watu wayasome na kuyatafakari kwa kina.

Nimependa!
 
ana sifa zote zipi?
mungu anakufa?
mungu anasema uongo (yesu alisema uongo)
malizia na swali langu mkuu.
naona kama umekubwisha kwenye masuala chipukizi, huku hoja kuu unayotakiwa wewe kueleza ukiitia kapuni. ukimaliza nitatoa maoni yangu juu ya maswali yako chipukizi.

huo ndio uungwana
 
Back
Top Bottom