Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

tuanze kwanza kwenye existance ya dunia na kilakitu, ?

maana wewe umehamia tu kwenye kubalance nature na hiyo instability unayoongelea,

unaongelea hicho kimbunga kwasababu unakiona haki make sense na hakiendani na ulicho espect

usiongelee tuu kimbunga kwamba kina leta threat kwa binadamu, nature ina fanya mambo mengi yenyewe kabisa ambayo hayasababishwi na mtu,

mfano wildfire moto unaanza msituni bila kuwashwa na binadamu, kwa kusababishwa tu na natural causes, na ule moto una faida nyingi tu katika balance of nature na kuavoid instability,

kwa zaidi ya ma milioni ya miaka, dunia imeendelea kuwa sehemu salama inayo support uhai, mbali na kwamba njia nyingine zinazotumiwa na nature zinaonekana hatari na hazi make sense,

tangu dunia ianze kiasi cha maji kimeendelea kua relatively the same

pollunation inaendelea kwa ma million ya miaka, na mimea mingine inahitaji isaidiwe na wadudu kufanya pollination, na wadudu hawaachi na mimea inazidi kuexist,

mambo ni mengi yanaendelea na kuna mechanism nyingi kuhakikisha kilakitu kina enda sawa kwa ma milioni ya miaka

nini kipo nyuma ya mechanism zote hizi ?
Sasa iyo inathibitishaje uwepo wa Mungu?
 
1. factor zote zinazo tajwa kuthibitisha uwepo wa Mungu haujaweza kuzi prove wrong kisayansi ili kuonyesha kweli hayupo,

2. una maana gani kusema problem of evil ?

4. Factor zote ambazo zinaonyesha Mungu yupo na ambazo mechanisim zake hazielezeki ki sayansi kuna ifanya sayansi kua weak kwenye kufikia jibu lolote, Je wewe ulifikiaje jibu kua Hayupo ?

5. Thibitisha kua Hayu
Tatizo hujui hata problem of evil ni nini.

Hapa naona kama naanza kumfundisha guluguja string theory.

Hatupo kwenye level moja.

Inabidi nianze kukufundisha kwanza, uhitimu, halafu ndiyo tuanze kubishana, kama utakuwa na cha kubishana.

It is very frustrating arguing with ignorant people.
 
Kwanza unaposema nature ina balance una maana gani?

Balance unaipimaje?

Umepima nature tangu ulimwwngu uanze mpaka leo ukaona ina balance?

Kuna kimbunga kimepiga West Indies huko wiki hii, kimeua watu na kuharibu mali Granada mpaka Jamaica mpaka Mexico.

Hapo balance ya nature iko wapi? Mbona kimbunga cha Beryl kimeua watu na kuharibu mali, balance iko wapi?

Everything decays with time, the universe tends to instability, from order to disorder, this is the second law of tgermodynamics that causws time to be preceived.

Balance iko wapi hapo?
That's how the universe works, sasa wewe ulitakaaje?
Hizi points zako hazijustify kutokuepo kwake
Kwa mujibu wako, unahisi ni kwa vipi ulimwengu uliweza kuwa at this precision? Variables like Time, distance of the planets, angular speed ya galaxies, planetary motions, How come they all came to balance.
Galaxies zinaspin at a very high frequency, mpaka now scientists wamereason eti kutakuwa na dark energy (invisible to us) yenye inabalance centrifugal force from galaxy spins, kama binadam umepewa uwezo wa kufikiria na unaamini uwepo wa hii dark energy alafu huamini uwepo wa Mungu unahisi uko timamu??? What if, there's no damn dark energy but God is there to keep the balance?
 
Ila watu mnaomini mnanishangaza sana, mwanzoni mna Mungu wa aina mbili, wa kwanza hamumjui, hamuwezi kumshika , kumuona Wala kumsikia, Mungu huyu wa kwanza mnamuongelea mkiwa na maswali kama Dunia ilitoka wapi?, kwanini Kuna gravitational force? Au binadamu alitoka wapi?. Afu baada ya hapo mnaleta ujanja, mnamleta Mungu wa aina ya pili, huyu mnamjua sana, mnajua anapenda tufanye nini, tusifanye nn, tule na tusile nn, mnajua anataka tuvae vipi, tumchague nani kama kiongozi wetu, na mnajua pia anavyotaka tufanye mapenzi.
Sasa mi naulza, ni Mungu gani mnamuongelea hapa wa aina ya kwanza au wa pili?
 
Ukishaandika "existance" naona najibizana na mtu illiterate.

Yani kabla sijasoma mada yako nakuona ngumbaru hujui kuandika.
ama kwa hakika

"Atheist wana mtindio wa ubongo"

mtafute atheist mwenzio kisha msome kwa hatua !
 
Na hakuna uhusiano wowote, kati ya kutojua chanzo Cha ulimwengu au uwepo wa uhai Duniani, na kutokuvaa sketi fupi, kutokunywa pombe, au kula nguruwe.. hii ni contradiction.. Sasa mtu anaeamini uwepo wa Mungu atakwambia, hatujui nini Kiko nyuma ya nature kwa hiyo usile nguruwe, uoe mke mmoja, au wanne... N.k
 
Tatizo hujui hata problem of evil ni nini.

Hapa naona kama naanza kumfundisha guluguja string theory.

Hatupo kwenye level moja.

Inabidi nianze kukufundisha kwanza, uhitimu, halafu ndiyo tuanze kubishana, kama utakuwa na cha kubishana.

It is very frustrating arguing with ignorant people.
we jamaa naona unatafuta namna ya kuukimbia mjadala baada ya kuona hamna kitu kipya unaongea
 
Ila watu mnaomini mnanishangaza sana, mwanzoni mna Mungu wa aina mbili, wa kwanza hamumjui, hamuwezi kumshika , kumuona Wala kumsikia, Mungu huyu wa kwanza mnamuongelea mkiwa na maswali kama Dunia ilitoka wapi?, kwanini Kuna gravitational force? Au binadamu alitoka wapi?. Afu baada ya hapo mnaleta ujanja, mnamleta Mungu wa aina ya pili, huyu mnamjua sana, mnajua anapenda tufanye nini, tusifanye nn, tule na tusile nn, mnajua anataka tuvae vipi, tumchague nani kama kiongozi wetu, na mnajua pia anavyotaka tufanye mapenzi.
Sasa mi naulza, ni Mungu gani mnamuongelea hapa wa aina ya kwanza au wa pili?
Eti "Kwanini kuna gravitational force" then what???
Sasa uwepo wa gravity ndo unaashiria Mungu hayupo ama? Wewe ulikuwa hutaki iwepo?
 
Ukijiuliza kwa makini kuhusu origin ya ulimwengu and life-forms, conclusion inayomake sense ni uwepo wa Mungu tu basi
 
Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha

Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na akili. Inaweza kuonekana kupitia namna yao ya maisha.

Mfano Simba wana territory yao wanaweka alama kabisa iwe kuacha kinyesi n.k ila wana mipaka ya utawala na kuna utawala wa simba dume eneo hilo ambapo akiingiliwa na Simba mwingine ambae hakua hapo lazima wapigane vibaya sana hadi moja akubali show.

Tembo pia vilevile kiasi kwamba mwenzao akifa wanahizunika na kuonyesha kuomboleza...

Mchwa pia, wapo wana utawala wao, wana malkia, kuna walinzi kuna wajenzi, na wanajenga haswa, kichuguu kimejengwa kwa ustadi haswa inaonyesha kabisa wana mawasiliano mazuri sana na wanajua wanachokifanya.

Nyuki pia vile vile, wana jenga nyumba yao, sehemu ya kuwekea asali, kuna malkia, kuna wanaolinda eneo, nknk.

Yaani hadi wanavyotengeneza asali kumlinda malkia na kulinda eneo lao, lina onyesha wazi level yao ya kujielewa na level ya mawasiliano ni kubwa kabisa.

wanyama ni wengi ambao tunaweza kuwa tumia kama reference, Sokwe etc.

Hawa viumbe wote, kila mmoja kwa nafasi yake mfano tuchukulie nyuki, wanajiona wana akili(ni kweli wanayo),
wanajiona wanajua mambo mengi na kufikiri logically kwamba huyu ametuchokoza kwaiyo tuji-oganize kushambulia na kujilinda, wanajua kujenga, wanamuheshimu malkia na kumlinda...

ila pia kuna mambo hawajui na hawajui kama hawajui na hawawezi kukuelewa hata ukijaribu kuwaelewesha,
na hautakua hata na intrest ya kuwaelewesha...

Mfano: Je binadamu anaweza kua na interest ya kutaka kumuonyesha nyuki ni jinsi gani binadamu wameendelea kiteknolojia?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba binadamu anaweza kuongea na mtu wa marekani kupitia iternet kwamba binadamu anaweza kuwasiliana hivi Jamii Forums kwa id fulani na hawajawai kuonana wala kua na namba ya simu wala kukutana?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba hilo bomba linalotoa maji au hiyo taa inayowaka usiku barabarani au nyumbani imetengenezwa na binadamu na sio kwamba ipo tuu... inakazi na bili zinalipwa?

Hayo ni baadhi ya maendeleo ya binadamu na kujaribi kulinganisha uwezo wa akili wa nyuki na binadamu,

Ni dhahiri kwamba hai make sense kwa nyuki, na hatuna interest ya kutaka kumuelewesha

Tumetofautiana kiakili na nyuki kiasi cha kua sisi tunaweza kumuelewa nyuki ila yeye hawezi kutuelewa

Nyuki nae usipo mlinganisha na binadamu, ana akili kubwa tuu na huenda anajiona vilevile binadamu anavyojiona kiakili, na anakiamini kile akili yake inachowaza kumbe ndo akili yake ilipoishia.

Vile vile kwa binadamu anajiona yupo advanced kiakili ambayo ni kweli pia kwa nafasi yake lakini pia na yeye ana limit ambayo akili yake inaishia.

Tunaona tu dunia, jua mwezi, maporomoko na vingine, ni kama tuu nyuki akikutana na taa, bomba la maji, kweli anaona taa inatoa mwanga, bomba linatoa maji...

Ila hajui hasa lile bomba imekuaje lipo pale, au taa imekuaje ipo pale, imewekwa na nani?

Anachojua inatoa mwanga, mechanism nyuma yake je inakuaje inawaka usiku mchana haiwaki? Inakazi gani haswa? Hajui na hana uwezo wa kufatilia kujua.

probably akiona gari anajua ni mojawapo ya viumbe wengine, hajui kama binadamu ndo yupo ndani anaendesha. au anaweza kua analichukulia kwa namna tofauti kabisa. au hata haelewi chochote.

Hiyo ni relation tu ya kuonyesha jinsi akili ya viumbe mbalimbali ina limit yake

Binadamu pia limit ya akili yetu ina limit inapoishia

Mfano ndo unakutana na Mtu anayesema "Mungu Hayupo kwasababu Huwezi kumuona wala kumgusa wala kusikia sauti yake"

Hiyo ni moja wapo ya limit ya akili yetu, ina depend moja kwa moja na milango ya fahamu, masikio macho, pua, ulimi, ngozi...

Anakwambia "jua lili kwepo tuu, na dunia ilikwepo tuu, kwamba kama jua au dunia haiwezekani kuwepo tuu, basi na Mungu hawezekani kuwepo"

Inaonyesha ni jinsi gani akili yetu inafikia limit, kuyaelewa mambo mengine..

Mambo ambayo hatuyajui bado ni mengi ni infinity ♾️, na ningumu hata kuingia akilini haya make sense kwasababu yapo beyond uwezo wa akili.

Kama vilevile tulivyoona kwa mfano wa nyuki, kwamba kumuelezea hata teknolojia yetu hai make sense, kwaajili ya limit yao ya akili.
kaka una pepo yako,🙏🙏🙏🙏akili nyingi sana! kwanza umewezaje kufikiria nje ya box kusaidia wengine? ni dhahiri kuwa unaumia kuona watu wanakufuru uwepo wa mungu. na mungu akubariki na akuongezee maarifa katika kutoa elimu kwa jamii hasa katika zama hizi ambapo wimbi la kukufuru linakua kwa Kasi kama masikhara lakini wanamaanisha kabisa hakuna mungu! inalilah wa inalilah rajiun
 
Na hakuna uhusiano wowote, kati ya kutojua chanzo Cha ulimwengu au uwepo wa uhai Duniani, na kutokuvaa sketi fupi, kutokunywa pombe, au kula nguruwe.. hii ni contradiction.. Sasa mtu anaeamini uwepo wa Mungu atakwambia, hatujui nini Kiko nyuma ya nature kwa hiyo usile nguruwe, uoe mke mmoja, au wanne... N.k
mantiki ya uzi ni kuonyesha uwepo wa Mungu kabla hata ya kutumia maandiko ya dini

wewe unavyoanza kuongelea mambo ya nguruwe n.k umehamia kwenye Dini

Baada ya kukubaliana yupo bila ku reference Dini yoyote, ndo tutahamia sasa kwenye Dini.

Hakuna wakwanza wala wapili aliyeongelewa ni wewe umeamua kuchanganya madesa na unajiletea contradiction mwenyewe,

"soma kwa hatua"

ndo maana inasemekana
" Atheists wana mtindio wa ubongo"
 
mantiki ya uzi ni kuonyesha uwepo wa Mungu kabla hata ya kutumia maandiko ya dini

wewe unavyoanza kuongelea mambo ya nguruwe n.k umehamia kwenye Dini

Baada ya kukubaliana yupo bila ku reference Dini yoyote, ndo tutahamia sasa kwenye Dini.

Hakuna wakwanza wala wapili aliyeongelewa ni wewe umeamua kuchanganya madesa na unajiletea contradiction mwenyewe,

"soma kwa hatua"

ndo maana inasemekana
" Atheists wana mtindio wa ubongo"
Sasa kaka, utaongelea vipi uwepo wa Mungu, bila dini, wakati izo hadithi za uwepo wake umefundishwa kwenye dini?
 
we jamaa naona unatafuta namna ya kuukimbia mjadala baada ya kuona hamna kitu kipya unaongea
Nikimbie mjadala na mtu ambaye hajui hata problem of evil ni nini?

Mimi.nimefanya mjadala na Alvin Plantinga na kumshinda.

Unamjua Alvin Plantinga wewe?
 
Ukijiuliza kwa makini kuhusu origin ya ulimwengu and life-forms, conclusion inayomake sense ni uwepo wa Mungu tu basi
Umeconclude vipi? Una uthibitisho kuwa yupo? Naomba unithibitishie uwepo wake, achana na Quran, nithibitishie ww kama wewe uwepo wake
 
Nikimbie mjadala na mtu ambaye hajui hata problem of evil ni nini?

Mimi.nimefanya mjadala na Alvin Plantinga na kumshinda.

Unamjua Alvin Plantinga wewe?
simjui,

hili bandiko limekua Powered By Nature

you can't compete

kumbe wewe umekuja na mentality ya kushindana ?
 
Back
Top Bottom