Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Hii haiwezi kuwa sababu, sababu inaonyesha uongo wa wazi. Kitu ambacho hakijawahi kuwepo huwezi kukijua mpaka ulete ushahidi wa hakika.
Sasa wewe si unajua Mungu huyo yupo, leta ushahidi wa hakika.
Hapa umeandika sentensi isiyo kuwa na maana katika lugha na kiakili pia.

Nakuuliza swali rahisi kitu ambacho hakijawahi kuwepo umeijuaje au unakijuaje ?
Kitu ambacho unajua kipo, unashindwaje kukileta hapa kijidhihirishe kipo?

Mlete huyo Mungu wako kama yupo aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo!
 
Umeandika mengi lakini hujajibu swali nililokuuliza.

Narudia.

Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
nimekwambia una relay kwenye ufikiri wa namna moja, hiyo ndo level ya akili ya bianadamu labda,

kwanini unataka kufikia conclusion kupitia namna hiyo, there are infinity ways,

ni hakika kwamba nyingine hazijulikani bado kwa binadamu ndo maana sayansi inashindwa kutoa majibu ya vitu vingi tuu,

the fact that sayansi inashindwa ku elezea vitu vingi, inathibitisha kwa hakika pia inashindwa ku prove uwepo wa Mungu

"kuwepo na kutowepo"
je wewe unafikiaje conclusion ya kusema hayupo ukiitumia sayansi ?
 
Imeasisiwa na mkamilifu ambaye ni Mungu.
Mwambie huyo Mungu wako aje hapa mwenyewe ajidhihirishe mwenyewe na aseme kwamba ameasisi yeye.

Nitathibitisha vipi maneno yako ya uongo?

Mwambie huyo Mungu wako aje hapa mwenyewe.
 
Unazijua nomino dhahania?

Njaa, akili, pumzi, hofu ni mfano wa nomino hizo.

Na nomino hizo hazipo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika tu.

Huwa napenda sana mnapojaribu kujibu hoja, huonyesha ni watupu sana.

Unatoka nje ya maana, jina haliwi jina pasi na sifa kijana unalijua hilo ? Sasa nashangaa unaleta jambo ambalo halibadilishi chochote katika hoja yangu.

Jibu, vipo ? Inaonekana hujui maana ya Nomino, kwa ufupi Nomino ni tamko linalo elezea dhati ya kitu na halifungamani na muda. Ndio maana kuna Akili, kuna Juma. Ukiiangalia akili ina sifa zake anuai na Juma linasifa zake anuai, sifa ambazo hutofautisha jina na kitendo.

Ukisema hazipo kiuhalisia wewe unafaa upigwe makofi, kwahiyo njaa haipo kiuhalisia ? Unaijuaje Njaa mpaka ukaitofautisha na shibe, halafu muda huo unadai havipo kiuhalisia. Hivi huwa unasoma unachokiandika ?
 
Unasema Mungu yupo kwasababu ya ukomo wako wa kushindwa kujua majibu.

Una surrender na kuamua kubashiri jibu ambalo halijapitia uchunguzi.
wewe unasema hayupo kwasababu gani
 
nimekwambia una relay kwenye ufikiri wa namna moja, hiyo ndo level ya akili ya bianadamu labda,

kwanini unataka kufikia conclusion kupitia namna hiyo, there are infinity ways,

ni hakika kwamba nyingine hazijulikani bado kwa binadamu ndo maana sayansi inashindwa kutoa majibu ya vitu vingi tuu,

the fact that sayansi inashindwa ku elezea vitu vingi, inathibitisha kwa hakika pia inashindwa ku prove uwepo wa Mungu

"kuwepo na kutowepo"
je wewe unafikiaje conclusion ya kusema hayupo ukiitumia sayansi ?
Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
 
Na nomino hizo hazipo katika uhalisia bali katika dhana za kufikirika tu.

Kama havipo kiuhalisia unavitofautisha vipi na vitu ambavyo ni kinyume chake ?

Lakini ni msomi gani aliyekutangulia katika hili ?
 
Huwa napenda sana mnapojaribu kujibu hoja, huonyesha ni watupu sana.

Unatoka nje ya maana, jina haliwi jina pasi na sifa kijana unalijua hilo ? Sasa nashangaa unaleta jambo ambalo halibadilishi chochote katika hoja yangu.

Jibu, vipo ? Inaonekana hujui maana ya Nomino, kwa ufupi Nomino ni tamko linalo elezea dhati ya kitu na halifungamani na muda. Ndio maana kuna Akili, kuna Juma. Ukiiangalia akili ina sifa zake anuai na Juma linasifa zake anuai, sifa ambazo hutofautisha jina na kitendo.

Ukisema hazipo kiuhalisia wewe unafaa upigwe makofi, kwahiyo njaa haipo kiuhalisia ? Unaijuaje Njaa mpaka ukaitofautisha na shibe, halafu muda huo unadai havipo kiuhalisia. Hivi huwa unasoma unachokiandika ?
Mwambie huyo Mungu wako unayedai yupo aje hapa mwenyewe ajidhihirishe yupo.

Kwa nini una hangaika kumtetea na kumwelezea?
 
Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
binadamu ambae ni compex inakuaje anaundwa na seli mbili tu zikikutana
 
Kama havipo kiuhalisia unavitofautisha vipi na vitu ambavyo ni kinyume chake ?

Lakini ni msomi gani aliyekutangulia katika hili ?
Mwambie Allah aje hapa ajidhihirishe mwenyewe yupo!! 😄

Unahangaika kumtetea Allah Mdhaifu ambaye hawezi na wala hajawahi kuweza kujiongelea mwenyewe!!
 
Mwambie Allah aje hapa ajidhihirishe mwenyewe yupo!! 😄

Unahangaika kumtetea Allah Mdhaifu ambaye hawezi na wala hajawahi kuweza kujiongelea mwenyewe!!

Shida yenu huanzia hapa. Mkiambiwa waoga mnakataa, mbona umeishiwa hoja mapema sana ?

Jibu maswali niliyo kuuliza kwanza.

Huku kwa Allah usipaguse kwa sasa, sababu huku ndio hitimisho lilipo.
 
Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
katika kufikia conclusion binadamu wame jikuta wakitumia njia fulani ambayo wamesha prove na ina make sense kwenye akili yao,

wanaitumia kufikia jibu
ila kiuhakisia ina limitation na inategemea aina ya conclusion unayotaka kufikia

nikitoa mfano una kifaa hakina uwezo wa kuplay MP4
uki taka ku play file la MP4 Itakwambia
"unsupported type"

sasa hiyo njia unayotaka kutumia ni "unsurpoted"
ndo maana sayansi inashindwa ku prove Mungu Yupo au Hayupo

inaposhindwa ku prove ndo ninyi mnapo sema hayupo,
reason mnayotoa ? sayansi haiwezi ku prove,
 
Shida yenu huanzia hapa. Mkiambiwa waoga mnakataa, mbona umeishiwa hoja mapema sana ?

Jibu maswali niliyo kuuliza kwanza.

Huku kwa Allah usipaguse kwa sasa, sababu huku ndio hitimisho lilipo.
Mwambie huyo Allah aje hapa ajidhihirishe mwenyewe na kujiongelea mwenyewe..

Mbona mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu..😄

Huoni kwamba mnajitahidi kumwongelea Allah Mdhaifu ambaye hayupo kujiongelea mwenyewe????
 
katika kufikia conclusion binadamu wame jikuta wakitumia njia fulani ambayo wamesha prove na ina make sense kwenye akili yao,

wanaitumia kufikia jibu
ila kiuhakisia ina limitation na inategemea aina ya conclusion unayotaka kufikia

nikitoa mfano una kifaa hakina uwezo wa kuplay MP4
uki taka ku play file la MP4 Itakwambia
"unsupported type"

sasa hiyo njia unayotaka kutumia ni "unsurpoted"
ndo maana sayansi inashindwa ku prove Mungu Yupo au Hayupo

inaposhindwa ku prove ndo ninyi mnapo sema hayupo,
reason mnayotoa ? sayansi haiwezi ku prove,
Swali rahisi unashindwa kujibu.

Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
 
wewe unasema hayupo kwasababu gani
Jibu rahisi hapo ni kwamba, mtu yeyote atayeleta madai anakuwa na jukumu la kuthibitisha burden of proof

Lakini hii imekuwa trend naiona sana inafanywa kimazoea na Theists halafu wanatugeuzia sisi kibao tuthibitishe kuwa hayupo.

Kwa kukujuza tu ni kwamba jukumu la kuthibitisha lipo kwa yule aliyekuja na madai ambayo yana contradict default position.

Ikiwa kama hakuna uthibitisho wa jambo kuwepo, basi default position hapo ni hicho kitu hakipo.

Kama kuna mtu akaja na madai kuwa kuwa hicho kitu kipo basi burden of proof inakuwa upande wake kuthibitisha ushahidi uliokosekana.

Kwa mfano hakuna ushahidi kuwa Kwenye Flyover ya Mfugale kuna Dragon mwekundu anayeonekana majira ya saa 8 usiku.

Katika default position ni kwamba hakuna Dragon mwekundu kwenye Flyover ya Mfugale na hao wanaodai kuwa yupo Dragon basi wanajukumu la kuja kuthibitisha.

Sasa nyinyi mnaodai Mungu yupo, katika mazingira ambayo default position inapinga madai yenu, mnao wajibu wa kuthibitisha kwa kutoa ushahidi ni kivipi huyo Mungu yupo
 
Swali rahisi unashindwa kujibu.

Complexity ni lazima iumbwe na complexity nyingine kubwa zaidi, au inaweza kutokea tu kutoka simpler complexity?
unataka nikujubuje, em niambie wewe unataka jibu gani haswa,

kwani ni lazima niendane na unavyo espect wewe? nimekujibu ingeneral
ukisoma kwa hatua utagundua jibu
 
unataka nikujubuje, em niambie wewe unataka jibu gani haswa,

kwani ni lazima niendane na unavyo espect wewe? nimekujibu ingeneral
ukisoma kwa hatua utagundua jibu
Kabla ya kwenda kwenye jibu, swali umelielewa?

Nimeuliza nini?
 
Back
Top Bottom