siwezi, na hakuna utafiti unaoweza kuthibitisha mpaka sasa,
ndo maana nilikwambia akili ya binadamu ina limit,
nawe maswali yako yanaishia ndani ya hiyo limit,
unataka wathibitishe kwa kutumia njia za utafiti ?
hizihizi ambazo bado kuna mambo common kabisa na hayana majibu ya kisayansi ?
ndo unataka zitumike kuthibitisha uwepo wa Mungu ?
hizihizi njia ambazo zinaonekana saivi advanced za kufanya utafiti na ugundizi mbali mbali, baada ya muda zitaonekana inefficient kaabisa na zimepitwa na muda, watakapokua na namna nyingine bora zaidi
conclusion: bado kuna mambo mengi hayahesabiki, ambayo hatujayajua, mengine labda tutajua siku za karibuni, mengine labda itachukua maelfu ya miaka
kwahiyo huwezi kutumia common sense na njia za kisayansi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo,
hizi njia na tafiti za kisayansi unazoziona advanced sana leo hii ni bado kabisa yaani, zinaonekana advaced kwakua ndo uwezo wa juu zaidi tuliofikia kiakili, ila bado sana sasa.. hata baada ya ma elfu ya miaka bado kuna vitu vitaendelea kujulikana na haviishi ili uone ni jinsi gani akili ya binadamu inaishia, "ni kama unatumia kijiko kuhamisha maji kutoka baharini"
wewe ukichota kijiko kimoja ukakioeleka sehemu nyingine unaona kuna maji umeyahamisha lakini je bahari utaimaliza lini ?
soma bandiko vizuri maana unarudia maswali hayohayo