Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Kila kitu kina limit. Kuanzia dini, akili, imani hata sayansi. Limiti ni kikomo cha kuchakata ili upate majibu au matokeo.
Limit ya binadamu iko pote kwa anayeamini Mungu au hasiye amini. Maana wote hawana majibu ya kutetea ushahidi wao.
Binandamu mwenye akili ambayo ni active lazima ajaji uwepo wa Mungu. Na. hata sidhani kama Mungu anaweza jaji hilo, kama kweli yupo Binafsi, naamini ulimwengu ni siri kubwa ambayo hatujui ndo maana tunavurugwa na tamaduni za watu (dini). Yote haya ni kutaka kuhakikisha tutakuwa salama
 
Kwa hiyo wewe unaji linganisha na Siafu?
Nimeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu! Nitathubutuje kujilinganisha na siafu?

Nikiukuta mjadala wa siafu wakibishania juu ya uwepo wa Mungu, labda siafu wa kwanza anasemaje "kuna viumbe vikubwa viitwavyo ninadaiwa", halafu siafu wa pili anamwambia athibitishe kuwa kuna binadamu, nitaishia tu kusema kuwa siafu wa kwanza ana akili!

Ndivyo Mungu atuonavyo pia! Wote wenye akili wanakiri kuwa kuna Mungu, na wanaopinga kuwa kuna Mungu ni "wapumbavu".
 
nina uhakika kabisa yupo, wanaosema hayupo kunavitu hawavielewi au wamefungwa akili au wamekaza kichwa

kuna uzi nilikutana nao humu muda fulani umeandikwa

"Atheist wana mtindio wa ubongo"

labda ni kweli, kwasababu kuna namna ata ukijaribi kuwaelezea hawaelewi,
kuna kitu nataka wakipate nawapa ma mfano rahisi ila hamna kitu wanaelewa yaani

ila nikawaza huenda wameelewa ila hawataki kukubalihapa kswala la kisaikolojia) kwasababu wameshakua kwenye upande huo kwa muda
Una uhakika kabisa yupo 🤔 kvipi ulimshuhudia Kwa macho ama🤔 ulitumia angalau mlango mmoja wa faham kuthibitisha hlo? Macho? Maskio? Pua? Ngozi ama mdomo
 
hicho ulicho kisema ndo nilichoongelea kwamba akili ina limit na huwezi fikiri nje ya hapo maana akili inajiona imefikiri hadi mwisho
Akili yako iliwezaje kufikiri Mungu yupo?

Hii dhana ya Mungu ilitokana na nini?
kuna namna nyingine sisi tunaweza kufikiri kitu na ku tatua au kubuni njia fulani,
ila ukimwambia nyani, hawezi hata umuue, hawezi kwasababu kuna sehemu ufikiri wake unaishia

kwaiyo hata hapo ulipoona kwamba cycle zitajirudia to infinity ndo conclusion inayokuja kwenye akili ya kibinadamu kutokana na level ya ufikiri.
Sasa hii conclusion ya " cylce zitajirudia to infinity" inathibitisha vipi kwamba Mungu yupo?
 
Kila kitu kina limit. Kuanzia dini, akili, imani hata sayansi. Limiti ni kikomo cha kuchakata ili upate majibu au matokeo.
Limit ya binadamu iko pote kwa anayeamini Mungu au hasiye amini. Maana wote hawana majibu ya kutetea ushahidi wao.
Binandamu mwenye akili ambayo ni active lazima ajaji uwepo wa Mungu. Na. hata sidhani kama Mungu anaweza jaji hilo, kama kweli yupo. Binafsi, naamini ulimwengu ni siri kubwa ambayo hatujui ndo maana tunavurugwa na tamaduni za watu (dini). Yote haya ni kutaka kuhakikisha tutakuwa salama
 
Nimeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu! Nitathubutuje kujilinganisha na siafu?

Nikiukuta mjadala wa siafu wakibishania juu ya uwepo wa Mungu, labda siafu wa kwanza anasemaje "kuna viumbe vikubwa viitwavyo ninadaiwa", halafu siafu wa pili anamwambia athibitishe kuwa kuna binadamu, nitaishia tu kusema kuwa siafu wa kwanza ana akili!

Ndivyo Mungu atuonavyo pia! Wote wenye akili wanakiri kuwa kuna Mungu, na wanaopinga kuwa kuna Mungu ni "wapumbavu".
😂😂 Mbona matusi Tena, afu atheist ni wastaarabu sana wanatoa point vzuri kutetea hoja . Lakin theist ni wazee wa mikwara vitisho ,hofu na matusi
 
Akili yako iliwezaje kufikiri Mungu yupo?

Hii dhana ya Mungu ilitokana na nini?

Sasa hii conclusion ya " cylce zitajirudia to infinity" inathibitisha vipi kwamba Mungu yupo?
haithibitishi yupo ila inathibitisha ufikiri unapo ishia, ndo maana utawaza to infinity unarudi kwenye cycle hiyohiyo
 
Point; asiyeamini uwepo wa MUNGU lkn anaish Kwa upendo na watu , hawafanyii ubaya wenzake, anawasaidia wenye uhitaji. Mwengine mfia dini anaamini MUNGU yupo afu ni mlawiti mbakaji tapeli muonevu . Ww km MUNGU mfano yupi apo utamchagua?
 
Nimeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu! Nitathubutuje kujilinganisha na siafu?
Unathibitishaje kwamba uliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu?

Kama uliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu, Leta hiyo sura ya Mungu tuione hapa?
Nikiukuta mjadala wa siafu wakibishania juu ya uwepo wa Mungu, labda siafu wa kwanza anasemaje "kuna viumbe vikubwa viitwavyo ninadaiwa", halafu siafu wa pili anamwambia athibitishe kuwa kuna binadamu, nitaishia tu kusema kuwa siafu wa kwanza ana akili!
Mifano yako wala haina mantiki yeyote.
Ndivyo Mungu atuonavyo pia! Wote wenye akili wanakiri kuwa kuna Mungu, na wanaopinga kuwa kuna Mungu ni "wapumbavu"
Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wote tukamwamini na kumjua yupo?

Si mnadai Mungu huyo ni Mungu muweza wa vyote?

Kama binadamu wasio mwamini Mungu ni wapumbavu na Mungu huyohuyo ndiye muumbaji wetu, Pia huyo Mungu ni MPUMBAVU kwa kuumba binadamu wapumbavu ambao wameshindwa kumwamini.
 
Unathibitishaje kwamba uliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu?

Kama uliumbwa kwa sura na mfano wa Mungu, Leta hiyo sura ya Mungu tuione hapa?

Mifano yako wala haina mantiki yeyote.

Huyo Mungu, Alishindwaje kuumba binadamu wote tukamwamini na kumjua yupo?

Si mnadai Mungu huyo ni Mungu muweza wa vyote?

Kama binadamu wasio mwamini Mungu ni wapumbavu na Mungu huyohuyo ndiye muumbaji wetu, Pia huyo Mungu ni MPUMBAVU kwa kuumba binadamu wapumbavu ambao wameshindwa kumwamini.
Kweli kabisa basi itàkua MUNGU aliumba watakaomuamini na wasiomuamini🤔
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Sayansi haiaminiwi bali inafahamika na kujulikana kwa uthibitisho.
Hapana misingi ya imani ni kuona, kusikia, kuhisi na kutenda na wala sio kuwa na uhakika

Sasa utakiamini vipi kitu usichokuwa na uhakika nacho hiyo ndio huitwa imani potofu

Nakuamini wewe kuwa ni mtu hai kwa kuona text zako, pia naamini kuna viongozi wapo humu jf kwakuwa wanaban wachanhiaji hasa wakileta matusi na lugha mbovu

Neno IMAN linathibitishwa kwa kuona, kusikia na kutenda
 
Hapana misingi ya imani ni kuona, kusikia, kuhisi na kutenda na wala sio kuwa na uhakika

Sasa utakiamini vipi kitu usichokuwa na uhakika nacho hiyo ndio huitwa imani potofu

Nakuamini wewe kuwa ni mtu hai kwa kuona text zako, pia naamini kuna viongozi wapo humu jf kwakuwa wanaban wachanhiaji hasa wakileta matusi na lugha mbovu

Neno IMAN linathibitishwa kwa kuona, kusikia na kutend
Hapana misingi ya imani ni kuona, kusikia, kuhisi na kutenda na wala sio kuwa na uhakika

Sasa utakiamini vipi kitu usichokuwa na uhakika nacho hiyo ndio huitwa imani potofu

Nakuamini wewe kuwa ni mtu hai kwa kuona text zako, pia naamini kuna viongozi wapo humu jf kwakuwa wanaban wachanhiaji hasa wakileta matusi na lugha mbovu

Neno IMAN linathibitishwa kwa kuona, kusikia na kutenda
Mbona unajfunga sasa , we umemuona au kusikia sauti ya MUNGU 🤔( usinambie uliisikia ndotoni au ktk maombi)
 
Hapana misingi ya imani ni kuona, kusikia, kuhisi na kutenda na wala sio kuwa na uhakika
Sasa muonyeshe huyo Mungu tumjue?

Msingi wa imani si kuona, Eleza na muonyeshe huyo Mungu hapa?
Sasa utakiamini vipi kitu usichokuwa na uhakika nacho hiyo ndio huitwa imani potofu
Sasa thibitisha uwepo wa Mungu huyo kwa uhakika na kwa imani yako isiyo potofu.
Nakuamini wewe kuwa ni mtu hai kwa kuona text zako, pia naamini kuna viongozi wapo humu jf kwakuwa wanaban wachanhiaji hasa wakileta matusi na lugha mbovu
Sasa na wewe thibitisha huyo Mungu ni kitu hai na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Neno IMAN linathibitishwa kwa kuona, kusikia na kutenda
Muonyeshe huyo Mungu hapa sasa.

Si tayari ushamuona na kumsikia.
 
Anyway ata kama uyo MUNGU yupo ama hayupo , naona km ni muonevu na mpendelevu, wengne awape maisha Bora wengine magumu mpka kifo wengine awape miguu na mikono wengine awape ulemavu 🤔 why matabaka yapo😭 kulikuwa na haja Gani kuumba ulemavu 🤔 ( ata mkinijibu kiimani kwamba majaribu sijui ukuu , vyovote vile we ungezaliwa na mtindio wa ubongo ungefurahi🤔 upo kwny wheelchair na udenda unakutoka😭
 
Sasa muonyeshe huyo Mungu tumjue?

Msingi wa imani si kuona, Eleza na muonyeshe huyo Mungu hapa?

Sasa thibitisha uwepo wa Mungu huyo kwa uhakika na kwa imani yako isiyo potofu.

Sasa na wewe thibitisha huyo Mungu ni kitu hai na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Muonyeshe huyo Mungu hapa sasa.

Si tayari ushamuona na kumsikia.
Kabla sijaenda kuonesha ni kwa nini naamini Mungu yupo ushaelewa maana ya neno IMAN na misingi ya imani?
 
Shida yangu ni ninyi waamini huyo Mungu kudai kwamba huyo Mungu ni nguvu halisi badala ya kukiri kwamba Mungu huyo ni mawazo yenu tu yasiyo na uhalisia wowote ule.
Kwaiyo neno la dhahania halina uhalisia? Neno njaa halina uhalisia kuwa njaa ipo kweli au haipo?
 
Back
Top Bottom