Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Hoja ipi umetoa ya kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu?nimeshatoa hoja nyingi za kuthibitisha, hazijajibiwa ila zinapingwa kwa maswali yaleyale, na ambayo hayajibu hoja.
Zaidi ya kuhusisha vitu vilivyopo na kutaka kudai vimeumbwa na huyo Mungu?
Thibitisha Mungu yupo yeye kama yeye.
Sio kutumia vitu vilivyopo kutaka kufosi mawazo yako uchwara kusema kwamba ni Mungu ndio kaumba.
Kwa umri nikiwa bado mdogo nimesali sana, pia nimesoma seminari.napenda pia kujua kitu kimoja kutoka kwako na Kiranga na wengine wasioamini pia,
hujawai kusali, kuswali, au namna yoyote ya ku-contact with higher power
Lakini baada ya kukua na kuanza kujifunza na kuchambua hizi dini na imani kwa kina nikagundua kwamba kuna uongo mkubwa sana kwenye mafundisho ya imani na dini kwa ujumla.
Maisha yenyewe ni nguvu iliyopo wala hayahitaji nguvu nyingine ili yaweze kuwepo.nguvu ambae imefanya maisha yawepo,
au mtazamo wako kuhusu hilo