Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Kwahiyo shida yako ni kuhusu neno "Mungu" ?Ni ninyi kutokubali kwamba hiyo dhana yenu ya "Mungu" ni neno la kutunga tu na kutaka kufosi ndio uhalisia na ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo shida yako ni kuhusu neno "Mungu" ?Ni ninyi kutokubali kwamba hiyo dhana yenu ya "Mungu" ni neno la kutunga tu na kutaka kufosi ndio uhalisia na ukweli.
Ulisoma nomino dhahania katika lugha ya kiswahili?Na utuelezee kivipi neno "akili" yani kitu ambacho hakipo kitumike kuelezea utendaji wa ubongo , inatumikaje ?
Shida yangu ni ninyi waamini huyo Mungu kudai kwamba huyo Mungu ni nguvu halisi badala ya kukiri kwamba Mungu huyo ni mawazo yenu tu yasiyo na uhalisia wowote ule.Kwahiyo shida yako ni kuhusu neno "Mungu" ?
Hata akili tu yenyewe bado hawajaweza kuielewa ipasavyo!hadi akili ya binadamu kua na limit ni swala la kuthibitisha ?
ni vitu vingapi binadamu wameshindwa kuvielewa kwa miaka na miaka ?
mimi pia nimesoma seminari, kwaiyo hapa ni waseminari wawili tumekutana,Hoja ipi umetoa ya kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu?
Zaidi ya kuhusisha vitu vilivyopo na kutaka kudai vimeumbwa na huyo Mungu?
Thibitisha Mungu yupo yeye kama yeye.
Sio kutumia vitu vilivyopo kutaka kufosi mawazo yako uchwara kusema kwamba ni Mungu ndio kaumba.
Kwa umri nikiwa bado mdogo nimesali sana, pia nimesoma seminari.
Lakini baada ya kukua na kuanza kujifunza na kuchambua hizi dini na imani kwa kina nikagundua kwamba kuna uongo mkubwa sana kwenye mafundisho ya imani na dini kwa ujumla.
Maisha yenyewe ni nguvu iliyopo wala hayahitaji nguvu nyingine ili yaweze kuwepo.
Unazungumziaje uwepo wa Mungu bila kuthibitisha uwepo wa Mungu huyo?hata
mimi pia nimesoma seminari, kwaiyo hapa ni waseminari wawili tumekutana,
unasema umechambua dini ukaona ni uongo, ila mimi nimezungumzia uwepo wa Mungu na sijazungumzia kabisa dini,
wewe umechambuaje dini na kujua Mungu hayupo ?
hakika, hata ubongo tu unavyo fanya kazi, ni swala complex na sayansi haina majibu ya mambo mengi tu yanayoendelea kwenye ubongoHata akili tu yenyewe bado hawajaweza kuielewa ipasavyo!
Kwa sababu kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na muumbaji, Hata muumbaji atahitaji muumbaji wake.ipo tuu kivipi, kwanini unaamini ipo tuu
Hakuna definition ya Mungu, Mungu hafanani na chochote ubongo wako umewahi kufikiria. Hatuwezi kuvuta hata imagination yupoje coz hakuna anaejuaMungu ni nini?
Swali lako halitofautiani na la siafu wanaobishana juu ya uwepo wa binadamu!Sasa wewe unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
Utafiti upi unathibitisha pasi shaka kwamba Mungu yupo?
Mungu ni nini?
Elimu nyingi tumeletewa na wazungu.Nakuuliza tena aliekuletea hio elimu yamu physics ni nani hadi wewe mtu wa nanjilinji leo umeimeza na kuilezea kwa lugha ya kigeni? Jibu usikimbie swali
Kwa hiyo wewe unaji linganisha na Siafu?Swali lako halitofautiani na la siafu wanaobishana juu ya uwepo wa binadamu!
Siafu aamini au asiamini kuwa binadamu yupo hakuwezi kumfanya binadamu asiwepo!
Kama hakuna definition yeyote ya Mungu/God.Hakuna definition ya Mungu, Mungu hafanani na chochote ubongo wako umewahi kufikiria. Hatuwezi kuvuta hata imagination yupoje coz hakuna anaejua
There's no definition of God
hicho ulicho kisema ndo nilichoongelea kwamba akili ina limit na huwezi fikiri nje ya hapo maana akili inajiona imefikiri hadi mwishoKwa sababu kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na muumbaji, Hata muumbaji atahitaji muumbaji wake.
Na Muumbaji wake atahitajika kuwa na Muumbaji wake.
Pasiwepo kitu chochote kile kilicho jitokeza chenyewe pasipo muumbaji maana kitavuruga muundo mzima wa ulazima awepo muumbaji.
Hivyo kutakuwa na waumbaji wengi endless to infinity.
Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na muumbaji wake, Hata huyo Mungu lazima awe na Muumbaji wake.
Na kama sio lazima kila kitu kiwe na muumbaji, Hata dunia haihitaji kuwa na muumbaji.
Sasa mzungu huyo huyo akuambie kuna Mungu na huyo huyo akuambie hakuna Mungu wewe huoni hapo muongo ni mzungu kwaiyo kama unakataa elimu zao zikatae zoteElimu nyingi tumeletewa na wazungu.
Zipo elimu zenye uthibitisho zinazo dhihirisha ukweli wa vitu na mambo katika dunia yetu. Zikiwemo Physics, chemistry, Biology n.k
Pia zipo elimu za kutungwa na kusadikika tu zisizo na uthibitisho wowote ule wala uhalisia. Dini zikiwemo.
nina uhakika kabisa yupo, wanaosema hayupo kunavitu hawavielewi au wamefungwa akili au wamekaza kichwaMtoa mada acha kutumia nguvu nyingi kubishana, MUNGU ni Imani tu Wala sio kitu Cha kuthibitika, unajichosha kumwaminisha na kumponda mwenzio kuwa MUNGU yupo wakati mwenzio ata ww pia hukuwahi kumuona Wala hujui anafananaje Bali unayaishi mafundisho uliyopokea Kwa dini yko hyo na jamii iliyokuwekea hofu ya MUNGU ndani yko,mnabishana bure tu hasa ww unayeamini MUNGU yupo na hujui anafananaje, we SEMA tu mm nna Imani yupo na sio kushikilia kuwa yupo uhakika km ushakaa ukapiga nae stori uyo MUNGU
Huwezi kukataa elimu yenye uthibitisho na inayothibitishika mafundisho yake kwa kuleta uvumbuzi wa shida mbalimbaliSasa mzungu huyo huyo akuambie kuna Mungu na huyo huyo akuambie hakuna Mungu wewe huoni hapo muongo ni mzungu kwaiyo kama unakataa elimu zao zikatae zote
😂Sasa mkuu siafu si wanawaona binadamu 😂 ww MUNGU ushawahi kumuona? Kama unaamini MUNGU yupo na hukuamini zumaridi alivosema yeye ni mungu VP je km kwel MUNGU alikuja Kwa njia ya zumaridi 🤔. Swala la MUNGU ni Imani tu kwnz mfano mwanadamu aunde roboti, robot litafata Kila kinachoamrishwa na mwanadamu kamwe haliwez kwenda against na aliyelitengeneza. Ila Kwa MUNGU ni tofauti Yani kaumba watu na kawapa maarifa ambayo hayo hayo maarifa wanatumia kufikiria uwepo wake,bas wasioamin uwepo wa MUNGU hawana makosa mana walipewa maarifa hyo na yeye mwnywSwali lako halitofautiani na la siafu wanaobishana juu ya uwepo wa binadamu!
Siafu aamini au asiamini kuwa binadamu yupo hakuwezi kumfanya binadamu asiwepo!