Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
Mkuu kila kitu kinaambatana na imani hata hizo dawa wanazogundua ni mpaka watu waziamini ndio wazitumieAliyekwambia sayansi ina aminiwa ni nani?
Wewe umekaririshwa kingereza kwaiyo unaamini ukiongea kingereza na maneno ya kizungu ambayo yameandikwa kwenye vitabu vya chemistry, physics na biology na wazungu ndiyo upo sahihi kuliko mwingine