Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

The force behind all power is energy. Kuna sababu milioni ambazo huitaji kuwa na degree kutambua kuwa kuna chanzo cha sababu ya kuwepo kwa ulimwengu huu.
Miti, mabonde na milima. Viumbe hai, wanyama na binadamu. Viumbe wa majini nk. Kuna sababu. Na hii sababu ndio tunaiita MUNGU.
Lakini. dini ndio imekuwa sababu kubwa ya kufanya watu wawe na mashaka haswa kwa aina ya mafundisho tunayopewa.
Mungu yupo. Ila dini ni mzigo.
Na Mungu yeye aliumbwa na nani?
 
kwani nimeongelea kitu chochote kuhusiana na Dini yoyote ?

pia mimi sijaja kuthibitisha,
nimekuja kuwaonyesha nini kipo nyuma ya akili yenu hadi mnakuja na conclusion kwamba Mungu hayupo.
Mungu yupo kwenye akili Yako tu mkuu, nje ya hapo hawez thibitishwa
 
ita gongwa lini, mbona incident zote ambazo zingeleta madhara makubwa hazijatokea, kitu gani kinacho sort
Siwezi jua, ila sababu Dunia itaendelea kuwepo milele, hata kama ss binadamu tutajiangamiza wenyewe, either kwa nyuklia n.k... Ila asilimia zipo kubwa za asteroids kuigonga Dunia mbeleni
 
Pia kwann mtu asizaliwe na ufahamu wa MUNGU tangu mwanzo na sio kuanzia kufundishwa kupitia dini na maandiko matakatifu 🤔 ndomana Kuna watu wanazaliwa India wanafundishwa kuhusu mungu Vishnu na krishna na sio Jehovah au Allah , ko hao waliozaliwa India uko na wakafata Imani Yao ya kihindu ko wanatenda dhambi ? Mana MUNGU waliofundishwa na wakubwa wao ni Vishnu na krishna kama ww ulivoshikilia Imani Yako kupitia hiyo dini Yako ya ukristo au uislam na ukafata maandiko matakatifu biblia au Quran ndomana unajiona ww uko sahihi na Kuna wengine kama wanaabudu miungu . Nakuambia hv ww ungezaliwa kule Japan ungekuwa ni muumini wa dini ya Shinto na Wala kamwe usingesikia Allah Wala Jehovah Tena ungeona kama ni vimiungu tu, ww ungekuwa unapigania Imani Yako ya Shinto mana ndo Imani kubwa japan
sijaongelea imani yoyote nimeonge lea uwepo wa Mungu,

Uislam na Ukristo unaamini Yupo,
Babu zetu kabla ya hizi dini walisha kua wanaamini Yupo,

wa hindu na dini zote ulizotaja wanaamini Yupo ?

dini ni njia tu au imani ya kumfikia Mungu

njia ni nyingi zote zinalenga Kitu kimoja

umetaja dini nyingi Je, hizo na nyingine ambazo hujataja ni dini gani ambayo inaamini Mungu hayupo ?

Kama zote zinaamini Yupo, nani aliwaambia ?
hata kama ukizaliwa unafundishwa, si ndo namna ya kumjua au wewe ulitaka namna ambayo umeiwaza wewe ?
 
sijaongelea imani yoyote nimeonge lea uwepo wa Mungu,

Uislam na Ukristo unaamini Yupo,
Babu zetu kabla ya hizi dini walisha kua wanaamini Yupo,

wa hindu na dini zote ulizotaja wanaamini Yupo ?

dini ni njia tu au imani ya kumfikia Mungu

njia ni nyingi zote zinalenga Kitu kimoja

umetaja dini nyingi Je, hizo na nyingine ambazo hujataja ni dini gani ambayo inaamini Mungu hayupo ?

Kama zote zinaamini Yupo, nani aliwaambia ?
hata kama ukizaliwa unafundishwa, si ndo namna ya kumjua au wewe ulitaka namna ambayo umeiwaza wewe ?
Hilo halithibitishi uwepo wa Mungu, zinabaki kuwa Imani tu. Lakini je kweli uyo Mungu yupo? Jibu ni hapana hayupo na hajawah kuwepo.
 
The force behind all power is energy. Kuna sababu milioni ambazo huitaji kuwa na degree kutambua kuwa kuna chanzo cha sababu ya kuwepo kwa ulimwengu huu.
Miti, mabonde na milima. Viumbe hai, wanyama na binadamu. Viumbe wa majini nk. Kuna sababu. Na hii sababu ndio tunaiita MUNGU.
Lakini. dini ndio imekuwa sababu kubwa ya kufanya watu wawe na mashaka haswa kwa aina ya mafundisho tunayopewa.
Mungu yupo. Ila dini ni mzigo.
E=mc^2
 
Mungu unayemuongelea ww haabudiwi kwny dini karibia 4000 . Mfano dini ya Buddhism haamini mambo yoyote Yale ya kiroho sijui uchawi uganga MUNGU shetani
 
Mimi nina swali kwa hawa wapinga Mungu, hivi mnawezaje kuyaamini maneno ya wazungu yalioandikwa kwa kizungu na hao hao wazungu na white race zingine ila mkaja kupinga maneno mengine walioandika haohao wazungu na white race nyingine?

Yani unaiamini science ilioandikwa na wazungu ila unaikataa bible ilioandikwa na haohao unasema walitunga, kama walitunga bible wanashindwaje kutunga science ambayo wewe umemezeshwa na kuiamini
 
Mimi nina swali kwa hawa wapinga Mungu, hivi mnawezaje kuyaamini maneno ya wazungu yalioandikwa kwa kizungu na hao hao wazungu na white race zingine ila mkaja kupinga maneno mengine walioandika haohao wazungu na white race nyingine?

Yani unaiamini science ilioandikwa na wazungu ila unaikataa bible ilioandikwa na haohao unasema walitunga, kama walitunga bible wanashindwaje kutunga science ambayo wewe umemezeshwa na kuiamini
Aliyekwambia sayansi ina aminiwa ni nani?
 
Back
Top Bottom