Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

simjui,

hili bandiko limekua Powered By Nature

you can't compete

kumbe wewe umekuja na mentality ya kushindana ?
Mimi sijaja na mentality ya kushindana, ila pia siogopi kushindana.

Wewe ndiye umekuja na habari za kushindana kwa kusema nitakimbia.

Wewe ni mjinga, hujui problem of evil ni nini.

Unabishana mambo ambayo huyajui. Problem of evil ni moja kati ya the most basic arguments against tje existence of God.

Na wewe huijui.

Bisha.

Ni kama mtu ambaye hajui kuhesabu halafu anabishana mahesabu ya Syring Theory.

No wonder nikikuambia kwamba hoja yako ya complexity inaonesha Mungu hayupo, haioneshi Mungu yupo hunielewi.

Tuna tofauti kubwa sana ya uelewa.

Yani ulipo wewe leo mimi nilipavuka miaka mingi sana iliyopita.

Ndiyo maana hata kukuelezea makosa yako inakuwa shida. Kwa sababu kabla ya kukuelezea inabidi nianze kukufundisha lugha ya kukuelezea.

Your grasp of logic is severely wanting.

Your grasp of basic arguments for and against the existence of God is very shallow. To the extent that you are giving arguments against the existence of God, thinking that they are for tje existence of God.

Without addressing that deficiency hatuwezi kuelewana.

Kibaya zaidi, una ubishi wa kijinga, si ubishi wa kutaka kuelewa.

Ndiyo maana inakuwa vigumu kukuelewesha.
 
Unathibitishaje Mungu huyo aliumba binadamu?

Kwanza thibitisha Mungu huyo yupo ndipo useme Mungu huyo aliumba binadamu.

Yani hujathibitisha Mungu yupo, Halafu Unarukia kusema Mungu huyo kaumba binadamu.

Mungu huyo yeye aliumbwa na nani?

Mungu huyo kabla hajaumba mbingu na dunia, alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kulitoka wapi?

Na kuliumbwa na nani?
 
Umeconclude vipi? Una uthibitisho kuwa yupo? Naomba unithibitishie uwepo wake, achana na Quran, nithibitishie ww kama wewe uwepo wake
Origin of the life-form, wewe unahisi hii imetokana na nini??
If we both agree, all spontaneous process should end up increasing the entropy of a system. Iliwezekanaje hii chemical reaction iliyopelekea uwepo wa life-form hapa duniani??
 
Origin of the life-form, wewe unahisi hii imetokana na nini??
If we both agree, all spontaneous process should end up increasing the entropy of a system. Iliwezekanaje hii chemical reaction iliyopelekea uwepo wa life-form hapa duniani??
Kwa hivo we unaamini kitu hakiwezi kuwepo bila chanzo sio? Bahati mbaya ilo swali huwa halina mwisho, mfano Mimi nikikuulza Mungu aliumbwa na nani utaweza kunijibu?
 
Kwa nini una mu exclude Mungu kwenye logic ya kuumbwa halafu unalazimisha na kutaka dunia na binadamu viwe vimeumbwa?

Kabla ya kutaka kujua ulimwengu uliwezaje kuwa at this precision, Mbona huanzi kujiuliza huyo Mungu na yeye yupoje kwenye hiyo precision?
 
Ukiwa unaargue unatakiwa uelewe pia.
Umesema kama sina definition ya Mungu basi hiyo ita-imply kwamba hayupo (A simple logic you tried to make)
Hoja haikuwa kuthibitisha uwepo, ni ku-nullify logic uliyojaribu kuijenga kutokana na hizo premises zako.
In the case, nilikwambia hakuna mtu alikuwa aware kuhusiana na existence ya molecules from 20 Century back. According to your logic shouldn't we conclude kwamba molecules hazikuwepo?
 
Ukweli simple.

Mpaka sasa hakuna mtu aliyethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Kwa nini?

Kwa sababu hayupo.

Unabisha?

Kuni prove wrong unatakiwa kufanya kitu kimoja tu.

Thibitisha Mungu huyo yupo.
 
Do you expect the same rules of Newtonian Mechanics to work in quantum scale? No!, je ni uongo ??
The same when it comes to God, tunaweza kuexplain how humans came into existence but not how God did. Mungu hafananii na chochote alichokiumba, Yeye pekee ndiye alikuwepo kabla ya kila kitu
 
Ukiwa unaargue unatakiwa uelewe pia.
Umesema kama sina definition ya Mungu basi hiyo ita-imply kwamba hayupo (A simple logic you tried to make)
Hoja haikuwa kuthibitisha uwepo, ni ku-nullify logic uliyojaribu kuijenga kutokana na hizo premises zako.
Sasa kama huna definition ya Mungu Utasemaje yupo?

Huoni kwamba una elezea speculations zako tu zisizo na uhalisia wowote ule?
In the case, nilikwambia hakuna mtu alikuwa aware kuhusiana na existence ya molecules from 20 Century back. According to your logic shouldn't we conclude kwamba molecules hazikuwepo?
Molecules zilikuwepo na baada ya tafiti na uchunguzi zikathibitishika zipo,

Haya ni utafiti upi unathibitisha kwamba Mungu yupo?

Aliyesema Mungu yupo, Alifanya utafiti na uchunguzi upi akagundua Mungu huyo yupo?
 
Pamoja mkuu shukran
 
Kwa hivo we unaamini kitu hakiwezi kuwepo bila chanzo sio? Bahati mbaya ilo swali huwa halina mwisho, mfano Mimi nikikuulza Mungu aliumbwa na nani utaweza kunijibu?
That's not the point I was trying to make.
Vitu vingi vinaweza kuwepo bila chanzo as long they agree with the laws of physics. That's how the nature works
 
Sasa kama huwezi ku explain how did God come to existence, Ulijuaje yupo?

Huoni kwamba unafosi mawazo na mafikirio yako tu yasiyo na uthibitisho wowote ule?
 
In this case argument ya kusema hayupo tunaifuta manake pia hakuna aliyethibitisha kama hayupo,
Kukosa definition haimaanishi hazipo, nikakupa example. Kama karne ya 19 hatukuwa na definition ya molecules tulipaswa kuconclude kama hayupo???
In this case hiyo logic ya
No definition of God-> God doesn't exist haina mashiko
 
🙌🙌
 
Sasa kama huwezi ku explain how did God come to existence, Ulijuaje yupo?

Huoni kwamba unafosi mawazo na mafikirio yako tu yasiyo na uthibitisho wowote ule?
Kuna vitu vingi huwezi kuthibitisha vimekujaje should we conclude havipo pia!?
You're not making sense
 
In this case argument ya kusema hayupo tunaifuta manake pia hakuna aliyethibitisha kama hayupo,
Hivi anaye takiwa kuthibitisha kitu kipo ni yule anayesema kipo au ambaye anasema hakipo?

Ukisema kitu kipo ina maana unajua na una uthibitisho wa uwepo wake, na ukisema kitu hakipo ina maana kitu hicho hakipo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika kipo.

Una elewa hilo?
Kukosa definition haimaanishi hazipo, nikakupa example. Kama karne ya 19 hatukuwa na definition ya molecules tulipaswa kuconclude kama hayupo???
In this case hiyo logic ya
No definition of God-> God doesn't exist haina mashiko
Molecules ni nini?

God ni nini?
 
Ngoja nikusaidie, problem of evil Iko hivi, kama kweli Mungu yupo kwanini Kuna mema na mabaya? Haya mjibu Kiranga kuhusu hilo
hilo swali ni la ki jinga sanasiku espect kwamba anaweza kua na maana hiyo ndo maana nikauliza anamaanisha nini anavyosema problem of evil,

pia kila mara narudia bado hatujaingia kwenye dini yoyote, tuna verify tu kwanza kua Mungu yupo mbali na maandiko ya Dini, kwasababu Mungu ni zaidi ya dini yoyote ile,

kwanini unaingiza concept ya mema na mabaya wakati huu mjadala hauja base kwenye Dini Bado,

Dini ilikuja Baadae sana, kwaiyo tukishakubaliana Mungu yupo, ndo Dini ifuate na tuanze kuchambua maswala ya dini kama hayo unayoyaita "mema na mabaya"
 
Rekebisha hapo kwenye kuthibitisha, hapa tunajaribu kujenga logics then tuone ipi inamake sense, hakuna anayeweza kuthibitisha kama Mungu yupo au hayupo. (still haioneshi kama hayupo, to this point we were all supposed to be neutral)
Sasa argument ianze kwa wewe kujenga logics zako kwamba hayupo [nanukuu, ulisema kwasababu hatuna definition ya Mungu, I discarded your logic kwamba haimake sense. Kutokuwa na definition haioneshi kwamba hayupo], let suppose a cat is in the box (kimya na box imefungwa), There's no way to say 'hakuna paka ndani ya lile boksi unless tulifungue' labda uwe mwendawazimu
Tukija kwenye logic yangu, I suppose you know about galaxies and how they spin. Unahisi kuna mass ya kutosha kutoa gravity ya kubalance centrifugal force ya galaxies (Rem, universe is mostly empty space) Science says kuna invisible matter (dark matter) yenye inaprovide hii sufficient gravity ya kushikilia galaxies.
My question, wewe unaamini uwepo wa hii dark energy? [NDIYO, HAPANA]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…