We ndo hutak kukubali ukwel, dark matter imekuwa proved na wanasayansi, kwa sababu Ina effect kwenye gravitational force.. Sasa mi nakushangaa unabisha, we uliona wapi sayansi ikasema ktu bila kufanya research.Hakuna mwana sayansi aliyeprove uwepo wa dark matter, kafanye research zako vizuri uelewe then come again
Sio unakuja kuleta mtu ambaye hata hujuwi alifanya nn unasema aliprove dark matter
We ndio uliekariri falsafa za uongo za uislam, sasa uislam n dini nayo, dini ya magaidi, karbia utakuwa gaidi, ukikubali uo uongo wa waislam wenzakoNdo mana nawaambieni nyie ni watu wa kukariri falsafa
Mzee wangu kama ulifanya mjadala na huyo faza hapo basi wee ni kibokoNikimbie mjadala na mtu ambaye hajui hata problem of evil ni nini?
Mimi.nimefanya mjadala na Alvin Plantinga na kumshinda.
Unamjua Alvin Plantinga wewe?
Unamfahamu Plantinga?Mzee wangu kama ulifanya mjadala na huyo faza hapo basi wee ni kiboko
Ndio lakini sio kwa undani kiihivyo Mzee wangu.Unamfahamu Plantinga?
Au kuna mwingine mkuuUnamfahamu Plantinga?
Ndiyo huyo huyo the one and only "philosopher of God".Au kuna mwingine mkuu
Uwepo wa huyo Mungu. Kabla wazungu hawajawaletea kitabu kikubwa(biblia),ulisikia aliwahi kuwepo?kauli gani imeanza hivi karibuni ?
Muongezee,hata aliebuni neno Mungu nae ni tapeli. Kaliunda tu ili imuie rahisi kuibia watuKaka ushaur mzuri naoweza kukupa, ni kuacha kuamini vtu vya nadharia, Mungu hayupo na Wala uchawi haupo, Ili kuthibitisha uchawi upo, usiangalie YouTube Wala nini, jiulize binafsi, je ushawah kumuona mchawi, hapana hujawah kumuona, kwasababu hakuna uchawi, ao watu wa YouTube n matapeli kama matapeli wengine.
Mungu alikwepo miaka na miaka, hata babu zetu walishamjua kabla,Uwepo wa huyo Mungu. Kabla wazungu hawajawaletea kitabu kikubwa(biblia),ulisikia aliwahi kuwepo?
Kabisa kakaMuongezee,hata aliebuni neno Mungu nae ni tapeli. Kaliunda tu ili imuie rahisi kuibia watu
sasa neno linahusikaje hapa, hayo si maswala ya Lugha ?Kabisa kaka
Ndo tunasema pia ni tapeli kama matapeleli wengine, unawezaje kutunga neno la kitu kisichokuwepo kaka..sasa neno linahusikaje hapa, hayo si maswala ya Lugha ?
Hakuna assertion ya aina hiyo kwenye logical argumentWe jamaa kuelewa kwako ni tatizo sana.
THE LOGIC STARTED WITH AN ASSERTION, HIYO ASSERTION SIJAAMUA KUIWEKA TU KAMA HUYO JAMAA WENU NA FALSAFA ZAKE. It is based on the laws of nature, mimi siweki kitu kwa kuamua tu kama nyie mnaoamini falsafa za watu fulani.
Unakuta unabishana na mtu anakwambia x alisema, y alisema sasa akishasema yeye ndo nn?
Leo unaziita illogic kwasababu zimekuwa pointed kwako?Kibao kipi ? Hizo illogical philosophy unazoweka wewe na wenzako???
hicho kitu behind ambacho wameshindwa kukielewa na kukiita Mungu,Ndo tunasema pia ni tapeli kama matapeleli wengine, unawezaje kutunga neno la kitu kisichokuwepo kaka..
Tunajua chanzo Cha dini na kuamini Mungu, ni baada ya mwanadamu kushindwa kuelewa yeye ametoka wapi, au Dunia, anga ni vitu vingine vimetoka wapi, ndo aka assume kwamba Kuna ktu behind, ndo akakiita Mungu,
Lakini tangu enzi izo mpaka Leo uyo Mungu hajawahi kuongea Wala kuonekana kwa mtu yoyote yule
Cha ajabu watu wa dini Wana jifanya kumjua sana, wanakuja Hadi na Sheria na kusema hataki tufanye ivi au tufanye vile.
Kutokujua chanzo Cha ulimwengu au mwanzo wa mwanadamu kunahusiana vipi na kumkataza mtu kufanya kazi jumamosi, au kumkataza mwanamke kuwa kiongozi, au kusema hutakiwi kula nguruwe?
Huijui philosophy ni unaitaja tu kimazoea kama ulivyokuwa unaitaja logic.Ndo mana nkasema nyinyi atheists mnaongozwa na falsafa, kuamini katika falsafa bila kureason ni upuuzi. Naonaga wengi mnakuwaga na huo ujinga wa x amesema, y amesema kama uyo mwenzako anakuja apa na burden of blah blah blah