We ndo hutak kukubali ukwel, dark matter imekuwa proved na wanasayansi, kwa sababu Ina effect kwenye gravitational force.. Sasa mi nakushangaa unabisha, we uliona wapi sayansi ikasema ktu bila kufanya research.Hakuna mwana sayansi aliyeprove uwepo wa dark matter, kafanye research zako vizuri uelewe then come again
Sio unakuja kuleta mtu ambaye hata hujuwi alifanya nn unasema aliprove dark matter
Hayo mambo ya kuguess tumewaachia watu wa dini, sayansi ikisema ktu kipo ujue Kuna research imefanyika.