Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Uzi maalum kwa wale wanaopinga uwepo wa Mungu

Sasa wewe unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?

Utafiti upi unathibitisha pasi shaka kwamba Mungu yupo?

Mungu ni nini?
siwezi, na hakuna utafiti unaoweza kuthibitisha mpaka sasa,

ndo maana nilikwambia akili ya binadamu ina limit,
nawe maswali yako yanaishia ndani ya hiyo limit,

unataka wathibitishe kwa kutumia njia za utafiti ?
hizihizi ambazo bado kuna mambo common kabisa na hayana majibu ya kisayansi ?
ndo unataka zitumike kuthibitisha uwepo wa Mungu ?

hizihizi njia ambazo zinaonekana saivi advanced za kufanya utafiti na ugundizi mbali mbali, baada ya muda zitaonekana inefficient kaabisa na zimepitwa na muda, watakapokua na namna nyingine bora zaidi

conclusion: bado kuna mambo mengi hayahesabiki, ambayo hatujayajua, mengine labda tutajua siku za karibuni, mengine labda itachukua maelfu ya miaka

kwahiyo huwezi kutumia common sense na njia za kisayansi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo,

hizi njia na tafiti za kisayansi unazoziona advanced sana leo hii ni bado kabisa yaani, zinaonekana advaced kwakua ndo uwezo wa juu zaidi tuliofikia kiakili, ila bado sana sasa.. hata baada ya ma elfu ya miaka bado kuna vitu vitaendelea kujulikana na haviishi ili uone ni jinsi gani akili ya binadamu inaishia, "ni kama unatumia kijiko kuhamisha maji kutoka baharini"

wewe ukichota kijiko kimoja ukakioeleka sehemu nyingine unaona kuna maji umeyahamisha lakini je bahari utaimaliza lini ?

soma bandiko vizuri maana unarudia maswali hayohayo
 
Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha

Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na akili. Inaweza kuonekana kupitia namna yao ya maisha.

Mfano Simba wana territory yao wanaweka alama kabisa iwe kuacha kinyesi n.k ila wana mipaka ya utawala na kuna utawala wa simba dume eneo hilo ambapo akiingiliwa na Simba mwingine ambae hakua hapo lazima wapigane vibaya sana hadi moja akubali show.

Tembo pia vilevile kiasi kwamba mwenzao akifa wanahizunika na kuonyesha kuomboleza...

Mchwa pia, wapo wana utawala wao, wana malkia, kuna walinzi kuna wajenzi, na wanajenga haswa, kichuguu kimejengwa kwa ustadi haswa inaonyesha kabisa wana mawasiliano mazuri sana na wanajua wanachokifanya.

Nyuki pia vile vile, wana jenga nyumba yao, sehemu ya kuwekea asali, kuna malkia, kuna wanaolinda eneo, nknk.

Yaani hadi wanavyotengeneza asali kumlinda malkia na kulinda eneo lao, lina onyesha wazi level yao ya kujielewa na level ya mawasiliano ni kubwa kabisa.

wanyama ni wengi ambao tunaweza kuwa tumia kama reference, Sokwe etc.

Hawa viumbe wote, kila mmoja kwa nafasi yake mfano tuchukulie nyuki, wanajiona wana akili(ni kweli wanayo),
wanajiona wanajua mambo mengi na kufikiri logically kwamba huyu ametuchokoza kwaiyo tuji-oganize kushambulia na kujilinda, wanajua kujenga, wanamuheshimu malkia na kumlinda...

ila pia kuna mambo hawajui na hawajui kama hawajui na hawawezi kukuelewa hata ukijaribu kuwaelewesha,
na hautakua hata na intrest ya kuwaelewesha...

Mfano: Je binadamu anaweza kua na interest ya kutaka kumuonyesha nyuki ni jinsi gani binadamu wameendelea kiteknolojia?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba binadamu anaweza kuongea na mtu wa marekani kupitia iternet kwamba binadamu anaweza kuwasiliana hivi Jamii Forums kwa id fulani na hawajawai kuonana wala kua na namba ya simu wala kukutana?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba hilo bomba linalotoa maji au hiyo taa inayowaka usiku barabarani au nyumbani imetengenezwa na binadamu na sio kwamba ipo tuu... inakazi na bili zinalipwa?

Hayo ni baadhi ya maendeleo ya binadamu na kujaribi kulinganisha uwezo wa akili wa nyuki na binadamu,

Ni dhahiri kwamba hai make sense kwa nyuki, na hatuna interest ya kutaka kumuelewesha

Tumetofautiana kiakili na nyuki kiasi cha kua sisi tunaweza kumuelewa nyuki ila yeye hawezi kutuelewa

Nyuki nae usipo mlinganisha na binadamu, ana akili kubwa tuu na huenda anajiona vilevile binadamu anavyojiona kiakili, na anakiamini kile akili yake inachowaza kumbe ndo akili yake ilipoishia.

Vile vile kwa binadamu anajiona yupo advanced kiakili ambayo ni kweli pia kwa nafasi yake lakini pia na yeye ana limit ambayo akili yake inaishia.

Tunaona tu dunia, jua mwezi, maporomoko na vingine, ni kama tuu nyuki akikutana na taa, bomba la maji, kweli anaona taa inatoa mwanga, bomba linatoa maji...

Ila hajui hasa lile bomba imekuaje lipo pale, au taa imekuaje ipo pale, imewekwa na nani?

Anachojua inatoa mwanga, mechanism nyuma yake je inakuaje inawaka usiku mchana haiwaki? Inakazi gani haswa? Hajui na hana uwezo wa kufatilia kujua.

probably akiona gari anajua ni mojawapo ya viumbe wengine, hajui kama binadamu ndo yupo ndani anaendesha. au anaweza kua analichukulia kwa namna tofauti kabisa. au hata haelewi chochote.

Hiyo ni relation tu ya kuonyesha jinsi akili ya viumbe mbalimbali ina limit yake

Binadamu pia limit ya akili yetu ina limit inapoishia

Mfano ndo unakutana na Mtu anayesema "Mungu Hayupo kwasababu Huwezi kumuona wala kumgusa wala kusikia sauti yake"

Hiyo ni moja wapo ya limit ya akili yetu, ina depend moja kwa moja na milango ya fahamu, masikio macho, pua, ulimi, ngozi...

Anakwambia "jua lili kwepo tuu, na dunia ilikwepo tuu, kwamba kama jua au dunia haiwezekani kuwepo tuu, basi na Mungu hawezekani kuwepo"

Inaonyesha ni jinsi gani akili yetu inafikia limit, kuyaelewa mambo mengine..

Mambo ambayo hatuyajui bado ni mengi ni infinity ♾️, na ningumu hata kuingia akilini haya make sense kwasababu yapo beyond uwezo wa akili.

Kama vilevile tulivyoona kwa mfano wa nyuki, kwamba kumuelezea hata teknolojia yetu hai make sense, kwaajili ya limit yao ya akili.
Imeandikwa aliumba kwa siku Saba tuu, leo ulimwengu unapanuka na sayari na majua yana undwa kila uchwao
Acha ujinga
 
Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha

Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na akili. Inaweza kuonekana kupitia namna yao ya maisha.

Mfano Simba wana territory yao wanaweka alama kabisa iwe kuacha kinyesi n.k ila wana mipaka ya utawala na kuna utawala wa simba dume eneo hilo ambapo akiingiliwa na Simba mwingine ambae hakua hapo lazima wapigane vibaya sana hadi moja akubali show.

Tembo pia vilevile kiasi kwamba mwenzao akifa wanahizunika na kuonyesha kuomboleza...

Mchwa pia, wapo wana utawala wao, wana malkia, kuna walinzi kuna wajenzi, na wanajenga haswa, kichuguu kimejengwa kwa ustadi haswa inaonyesha kabisa wana mawasiliano mazuri sana na wanajua wanachokifanya.

Nyuki pia vile vile, wana jenga nyumba yao, sehemu ya kuwekea asali, kuna malkia, kuna wanaolinda eneo, nknk.

Yaani hadi wanavyotengeneza asali kumlinda malkia na kulinda eneo lao, lina onyesha wazi level yao ya kujielewa na level ya mawasiliano ni kubwa kabisa.

wanyama ni wengi ambao tunaweza kuwa tumia kama reference, Sokwe etc.

Hawa viumbe wote, kila mmoja kwa nafasi yake mfano tuchukulie nyuki, wanajiona wana akili(ni kweli wanayo),
wanajiona wanajua mambo mengi na kufikiri logically kwamba huyu ametuchokoza kwaiyo tuji-oganize kushambulia na kujilinda, wanajua kujenga, wanamuheshimu malkia na kumlinda...

ila pia kuna mambo hawajui na hawajui kama hawajui na hawawezi kukuelewa hata ukijaribu kuwaelewesha,
na hautakua hata na intrest ya kuwaelewesha...

Mfano: Je binadamu anaweza kua na interest ya kutaka kumuonyesha nyuki ni jinsi gani binadamu wameendelea kiteknolojia?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba binadamu anaweza kuongea na mtu wa marekani kupitia iternet kwamba binadamu anaweza kuwasiliana hivi Jamii Forums kwa id fulani na hawajawai kuonana wala kua na namba ya simu wala kukutana?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba hilo bomba linalotoa maji au hiyo taa inayowaka usiku barabarani au nyumbani imetengenezwa na binadamu na sio kwamba ipo tuu... inakazi na bili zinalipwa?

Hayo ni baadhi ya maendeleo ya binadamu na kujaribi kulinganisha uwezo wa akili wa nyuki na binadamu,

Ni dhahiri kwamba hai make sense kwa nyuki, na hatuna interest ya kutaka kumuelewesha

Tumetofautiana kiakili na nyuki kiasi cha kua sisi tunaweza kumuelewa nyuki ila yeye hawezi kutuelewa

Nyuki nae usipo mlinganisha na binadamu, ana akili kubwa tuu na huenda anajiona vilevile binadamu anavyojiona kiakili, na anakiamini kile akili yake inachowaza kumbe ndo akili yake ilipoishia.

Vile vile kwa binadamu anajiona yupo advanced kiakili ambayo ni kweli pia kwa nafasi yake lakini pia na yeye ana limit ambayo akili yake inaishia.

Tunaona tu dunia, jua mwezi, maporomoko na vingine, ni kama tuu nyuki akikutana na taa, bomba la maji, kweli anaona taa inatoa mwanga, bomba linatoa maji...

Ila hajui hasa lile bomba imekuaje lipo pale, au taa imekuaje ipo pale, imewekwa na nani?

Anachojua inatoa mwanga, mechanism nyuma yake je inakuaje inawaka usiku mchana haiwaki? Inakazi gani haswa? Hajui na hana uwezo wa kufatilia kujua.

probably akiona gari anajua ni mojawapo ya viumbe wengine, hajui kama binadamu ndo yupo ndani anaendesha. au anaweza kua analichukulia kwa namna tofauti kabisa. au hata haelewi chochote.

Hiyo ni relation tu ya kuonyesha jinsi akili ya viumbe mbalimbali ina limit yake

Binadamu pia limit ya akili yetu ina limit inapoishia

Mfano ndo unakutana na Mtu anayesema "Mungu Hayupo kwasababu Huwezi kumuona wala kumgusa wala kusikia sauti yake"

Hiyo ni moja wapo ya limit ya akili yetu, ina depend moja kwa moja na milango ya fahamu, masikio macho, pua, ulimi, ngozi...

Anakwambia "jua lili kwepo tuu, na dunia ilikwepo tuu, kwamba kama jua au dunia haiwezekani kuwepo tuu, basi na Mungu hawezekani kuwepo"

Inaonyesha ni jinsi gani akili yetu inafikia limit, kuyaelewa mambo mengine..

Mambo ambayo hatuyajui bado ni mengi ni infinity ♾️, na ningumu hata kuingia akilini haya make sense kwasababu yapo beyond uwezo wa akili.

Kama vilevile tulivyoona kwa mfano wa nyuki, kwamba kumuelezea hata teknolojia yetu hai make sense, kwaajili ya limit yao ya akili.
Uko sahihi. Hata mimi wakati fulani nimehoji kupitia uzi. Kwa binadamu nini kinafuata baada ya ufahamu? Tumeishia kwenye consciousness. Hiyo next level ndio uungu
 
Uko sahihi. Hata mimi wakati fulani nimehoji kupitia uzi. Kwa binadamu nini kinafuata baada ya ufahamu? Tumeishia kwenye consciousness. Hiyo next level ndio uungu
ni kweli kabisa uungu huenda pia upo level za juu zaidi...
 
hoja zao ni zilezile zinajirudia kilasiku hadi unazikariri
atakwambia kama Mungu yupo, wote tungekua tunajua tusinge bishana
Anakwambia kama yupo basi na yeye kaumbwa.....
An mzee ukibishana nae anakuleta kwenye ka cycle flani hvi apo utoboi yeye anakua pembeni anakucheka tu na maswali yake ya thibitisha ahahaha
 
Anakwambia kama yupo basi na yeye kaumbwa.....
An mzee ukibishana nae anakuleta kwenye ka cycle flani hvi apo utoboi yeye anakua pembeni anakucheka tu na maswali yake ya thibitisha ahahaha
Cycle ndo hiyohiyo maana limit ya ufikiri inaishia humohumo kwaiyo, kwaiyo mtu akitoa hiyo mada anajiona amefikiri hadi mwisho,

ila kuna vingine vingi havielezeki, na havi make sense kwasababu uwezo wa akili haufikii huko,

ndo maana hata zamani kunavitu vilikia havi make sense mfano tu simu ila baada ya kugunguliwa vinaonekana kawaida

viko vingi ni infinity haviishi hata miaka elf10 ijayo bado watakua wanagundua vitu vipya kabla ya hata kufikia kumuelewa Mungu na kuthibitisha yupo kama wanavyodai
 
siwezi, na hakuna utafiti unaoweza kuthibitisha mpaka sasa,
Sasa kama huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu, Utasemaje yupo?

Huoni kwamba unafosi mawazo yako uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?
ndo maana nilikwambia akili ya binadamu ina limit,
nawe maswali yako yanaishia ndani ya hiyo limit,
Kama wewe ubongo wako una limit uliwezaje kujua na unathibitishaje Mungu huyo yupo?

Na si mawazo yako tu yasiyo na uthibitisho wala uhalisia wowote ule?
unataka wathibitishe kwa kutumia njia za utafiti ?
hizihizi ambazo bado kuna mambo common kabisa na hayana majibu ya kisayansi ?
ndo unataka zitumike kuthibitisha uwepo wa Mungu ?

hizihizi njia ambazo zinaonekana saivi advanced za kufanya utafiti na ugundizi mbali mbali, baada ya muda zitaonekana inefficient kaabisa na zimepitwa na muda, watakapokua na namna nyingine bora zaidi

conclusion: bado kuna mambo mengi hayahesabiki, ambayo hatujayajua, mengine labda tutajua siku za karibuni, mengine labda itachukua maelfu ya miaka

kwahiyo huwezi kutumia common sense na njia za kisayansi kuthibitisha kwamba Mungu hayupo,

hizi njia na tafiti za kisayansi unazoziona advanced sana leo hii ni bado kabisa yaani, zinaonekana advaced kwakua ndo uwezo wa juu zaidi tuliofikia kiakili, ila bado sana sasa.. hata baada ya ma elfu ya miaka bado kuna vitu vitaendelea kujulikana na haviishi ili uone ni jinsi gani akili ya binadamu inaishia, "ni kama unatumia kijiko kuhamisha maji kutoka baharini"

wewe ukichota kijiko kimoja ukakioeleka sehemu nyingine unaona kuna maji umeyahamisha lakini je bahari utaimaliza lini ?

soma bandiko vizuri maana unarudia maswali hayohayo
Hujathibitisha Mungu yupo, ila unadai yupo!

Huoni kwamba unafosi mawazo yako yasiyo na uhalisia wowote ule?
 
Haijalishi wangapi wanapinga uwepo wa Mungu, bado yeye ni Muweza wa yote na ni Mungu wa wote.
Pia haijalishi ni wangapi wanaamini uwepo wa huyo Mungu, Bado Mungu huyo hayupo na wala hajawahi kuwepo kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile Hayupo, hajawahi kuwepo na hatawahi kuwepo kujiongelea, kujidhihirisha na kujitetea mwenyewe.
 
Unathibitisha vipi wameshindwa kuvielewa?

Au ni kwamba bado utafiti na uchunguzi wa kina haujafanyika kufahamu vitu hivyo?

Watu wangapi walikufa kwa ugonjwa wa malaria kabla dawa za malaria hazijafahamika na kugunduliwa?

Watu wangapi walishindwa kusafiri angani kabla ndege🛫 hazijafanikiwa kuruka?

Si kwamba akili ya binadamu ina limit, Ni kwamba kuna baadhi ya mambo bado hatuyafahamu ila kadiri ya tafiti, uchunguzi na udadisi zinavyo endelea kufanyika tunafahamu vitu vingi na kuondoa hiyo limit unayo idai.

Hatuwezi kujua tusivyo vijua, ila tunaendelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, uchunguzi na udadisi.

Na si kweli kwamba akili zetu zipo limited.

Maana kuna vitu vingi sana tulikuwa hatuvijui ila leo hii tunavijua.

Kwa hiyo huwezi kusema kwamba akili zetu zilikuwa limited, Ni kwamba utafiti na uchunguzi ulikuwa bado haujafanyika ipasavyo kuleta uvumbuzi.
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Sitatumia maandiko ya Dini Quran wala Bible, labda wataelewa kidogo, maana humu JF nimegundua wapo wengi, unaweza ukajikuta una chati hata na shetani directly, anapotosha

Tuanzie kwenye Civilization na Level ya akili na kufikiri viumbe mbalimbali wapo kwenye level tofauti za civilization na akili. Inaweza kuonekana kupitia namna yao ya maisha.

Mfano Simba wana territory yao wanaweka alama kabisa iwe kuacha kinyesi n.k ila wana mipaka ya utawala na kuna utawala wa simba dume eneo hilo ambapo akiingiliwa na Simba mwingine ambae hakua hapo lazima wapigane vibaya sana hadi moja akubali show.

Tembo pia vilevile kiasi kwamba mwenzao akifa wanahizunika na kuonyesha kuomboleza...

Mchwa pia, wapo wana utawala wao, wana malkia, kuna walinzi kuna wajenzi, na wanajenga haswa, kichuguu kimejengwa kwa ustadi haswa inaonyesha kabisa wana mawasiliano mazuri sana na wanajua wanachokifanya.

Nyuki pia vile vile, wana jenga nyumba yao, sehemu ya kuwekea asali, kuna malkia, kuna wanaolinda eneo, nknk.

Yaani hadi wanavyotengeneza asali kumlinda malkia na kulinda eneo lao, lina onyesha wazi level yao ya kujielewa na level ya mawasiliano ni kubwa kabisa.

wanyama ni wengi ambao tunaweza kuwa tumia kama reference, Sokwe etc.

Hawa viumbe wote, kila mmoja kwa nafasi yake mfano tuchukulie nyuki, wanajiona wana akili(ni kweli wanayo),
wanajiona wanajua mambo mengi na kufikiri logically kwamba huyu ametuchokoza kwaiyo tuji-oganize kushambulia na kujilinda, wanajua kujenga, wanamuheshimu malkia na kumlinda...

ila pia kuna mambo hawajui na hawajui kama hawajui na hawawezi kukuelewa hata ukijaribu kuwaelewesha,
na hautakua hata na intrest ya kuwaelewesha...

Mfano: Je binadamu anaweza kua na interest ya kutaka kumuonyesha nyuki ni jinsi gani binadamu wameendelea kiteknolojia?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba binadamu anaweza kuongea na mtu wa marekani kupitia iternet kwamba binadamu anaweza kuwasiliana hivi Jamii Forums kwa id fulani na hawajawai kuonana wala kua na namba ya simu wala kukutana?

Nyuki anaweza kuelewa kwamba hilo bomba linalotoa maji au hiyo taa inayowaka usiku barabarani au nyumbani imetengenezwa na binadamu na sio kwamba ipo tuu... inakazi na bili zinalipwa?

Hayo ni baadhi ya maendeleo ya binadamu na kujaribi kulinganisha uwezo wa akili wa nyuki na binadamu,

Ni dhahiri kwamba hai make sense kwa nyuki, na hatuna interest ya kutaka kumuelewesha

Tumetofautiana kiakili na nyuki kiasi cha kua sisi tunaweza kumuelewa nyuki ila yeye hawezi kutuelewa

Nyuki nae usipo mlinganisha na binadamu, ana akili kubwa tuu na huenda anajiona vilevile binadamu anavyojiona kiakili, na anakiamini kile akili yake inachowaza kumbe ndo akili yake ilipoishia.

Vile vile kwa binadamu anajiona yupo advanced kiakili ambayo ni kweli pia kwa nafasi yake lakini pia na yeye ana limit ambayo akili yake inaishia.

Tunaona tu dunia, jua mwezi, maporomoko na vingine, ni kama tuu nyuki akikutana na taa, bomba la maji, kweli anaona taa inatoa mwanga, bomba linatoa maji...

Ila hajui hasa lile bomba imekuaje lipo pale, au taa imekuaje ipo pale, imewekwa na nani?

Anachojua inatoa mwanga, mechanism nyuma yake je inakuaje inawaka usiku mchana haiwaki? Inakazi gani haswa? Hajui na hana uwezo wa kufatilia kujua.

probably akiona gari anajua ni mojawapo ya viumbe wengine, hajui kama binadamu ndo yupo ndani anaendesha. au anaweza kua analichukulia kwa namna tofauti kabisa. au hata haelewi chochote.

Hiyo ni relation tu ya kuonyesha jinsi akili ya viumbe mbalimbali ina limit yake

Binadamu pia limit ya akili yetu ina limit inapoishia

Mfano ndo unakutana na Mtu anayesema "Mungu Hayupo kwasababu Huwezi kumuona wala kumgusa wala kusikia sauti yake"

Hiyo ni moja wapo ya limit ya akili yetu, ina depend moja kwa moja na milango ya fahamu, masikio macho, pua, ulimi, ngozi...

Anakwambia "jua lili kwepo tuu, na dunia ilikwepo tuu, kwamba kama jua au dunia haiwezekani kuwepo tuu, basi na Mungu hawezekani kuwepo"

Inaonyesha ni jinsi gani akili yetu inafikia limit, kuyaelewa mambo mengine..

Mambo ambayo hatuyajui bado ni mengi ni infinity ♾️, na ningumu hata kuingia akilini haya make sense kwasababu yapo beyond uwezo wa akili.

Kama vilevile tulivyoona kwa mfano wa nyuki, kwamba kumuelezea hata teknolojia yetu hai make sense, kwaajili ya limit yao ya akili.
Safi kabisa, Dunia inazunguka jua Kwa kasi ya karibu km 1000 Kwa saa ! Ni maajabu hayo MUNGU YUPO
 
Mi nachoweza tu kusema ni kua kwa tulipofikia, binadamu hana limit tena ya ufikiriaji. Ni eidha tu labda kitokee kitu ambacho hakijawai kuonekana kabisa ndo watu wanaweza shindwa kukielewa ila baada ya muda kitachunguzwa na majibu yatapatikana.
 
Back
Top Bottom